Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MASEBU: EWURA tumefanya mageuzi makubwa 

HARUNA Masebu si jina geni masikioni mwa wengi. Amekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kwa miaka minane na sasa amestaafu.  Alianza kazi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Masebu aaga EWURA

MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Haruna Masebu, amewaaga rasmi Watanzania na wanahabari baada ya kutumikia mamlaka hiyo kwa miaka minane. Masebu alitumia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Masebu astaafu akijivunia EWURA

“NASUBIRI kwa hamu kuona katiba ya mwisho itakuaje halafu niangalie ni fursa gani naweza kufanya baada ya hapo.” Hayo ni maneno ya aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa...

 

10 years ago

Bongo Movies

VAN VICKER :Tumefanya Kazi Na Kucheza Kama Marafiki

Muigizaji  na muongozaji  wa filamu Van Vicker  kutoka Ghana, ameonyesha kufurahishwa na jinsi alivyofanya kazi  na muigizaji Wema Sepetu kutoka Tanzania. Akieleza kupitia mtandaoni Van Vicker alieleza kuwa ni heshma kwake kufanya kazi  na Wema na wamefanya kazi kama marafiki, baada ya kuweka picha hiyo aliandika;

"Fun time Baby! We work and play at the same time. Working as colleagues is not the same as working as FRIENDS. I am honored”

Wema na Van Vicker  ndio wahusika wa kuu kwenye...

 

9 years ago

Vijimambo

ALIYEKUWA MAKAMU MWENYEKITI WA NCCR-MAGEUZI ASEMA TARARIBU ZA KUNING'OA NAFASI YANGU ZILIKIUKWA NA NCCR -MAGEUZI


Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi,Letcia Mosore (katikati)akizungumza na waandishi wa (habari hawapo pichani)  juu  ya ukiukaji wa katiba ya chama hicho kumvua madaraka iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam.Kulia ni Mwakilishi NCCR-Mageuzi ,Hamlyn Erasto,Kushoto ni Kamishina Mkoa wa Ruvuma,Mchatta Mchatta.Baadhi ya waandishi wakiwa katika mkutano huo.

Na Chalila Kibuda

AALIYEKUWA  Makamu Makamu Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Letcia Mosore amesema kuwa taratibu za kumvua nafasi...

 

10 years ago

TheCitizen

There might be oil theft, says Ewura

>The Energy and Water Utilities Regulatory Authority (Ewura) has conceded that there might be huge theft of petroleum products from pipelines connected to tanks of oil marketing companies.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Ewura yakamilisha kanuni

MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), imesema kuwa imetayarisha na kukamilisha kanuni ndogo za uendeshaji wa biashara ya mafuta nchini.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki na mamlaka hiyo, kanuni hizo ndogo ni za uendeshaji wa biashara ya mafuta ya vilainishi (lubricants).

“Kanuni hizo zipo tangu mwaka 2014 na zilichapishwa kwenye gazeti la serikali namba 64/2014,” inasomeka taarifa hiyo iliyotolewa na Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ngamlagosi Mkurugenzi Mkuu Ewura

WAZIRI wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe,  amemteua Felix Ngamlagosi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), kuanzia Februari mosi mwaka huu. Ngamlagosi anachukua...

 

11 years ago

Habarileo

Bosi wa Ewura kuagwa leo

ALIYEKUWA Meneja Biashara ya Mafuta wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), Julius Gashaza aliyefariki dunia juzi, anatarajiwa kuagwa leo nyumbani kwake Yombo Vituka, Dar es Salaam.

 

10 years ago

GPL

TAARIFA KWA UMMA EWURA

  UAMUZI WA BODI YA WAKURUGENZI KUHUSU MAOMBI YA TPDC YA  TOZO ZA HUDUMA ZA KUCHAKATA NA KUSAFIRISHA GESI ASILIA 1.                  Tarehe 1 Septemba 2014, Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) ilipokea ombi Na. TR-G-14-039 kutoka kwa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kuhusu kanuni ya kukokotoa tozo za huduma ya kuchakata na kusafirisha Gesi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani