Masebu aaga EWURA
MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Haruna Masebu, amewaaga rasmi Watanzania na wanahabari baada ya kutumikia mamlaka hiyo kwa miaka minane. Masebu alitumia...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima08 Jan
Masebu astaafu akijivunia EWURA
“NASUBIRI kwa hamu kuona katiba ya mwisho itakuaje halafu niangalie ni fursa gani naweza kufanya baada ya hapo.” Hayo ni maneno ya aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa...
11 years ago
Tanzania Daima14 Jan
MASEBU: EWURA tumefanya mageuzi makubwaÂ
HARUNA Masebu si jina geni masikioni mwa wengi. Amekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kwa miaka minane na sasa amestaafu. Alianza kazi...
11 years ago
Mwananchi27 Jul
Kidunda aaga Madola
10 years ago
Habarileo07 Jun
JK aaga Watanzania ughaibuni
RAIS Jakaya Kikwete ameendelea kuaga Watanzania kila anapopata fursa ya kukutana nao, huku mafanikio ya miaka kumi ya uongozi wake yakijidhihirisha katika maeneo mbalimbali, ikiwemo katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambako Bajeti ya Serikali kupitia wizara mbalimbali imekuwa ikijadiliwa na kupitishwa.
10 years ago
Vijimambo18 Mar
Ngasa aaga Yanga.
Winga hatari wa Yanga na Taifa Stars, Mrisho Ngasa, amewaaga na kuwashukuru mashabiki wake kwa kumpa sapoti katika kipindi chote alichokaa kwenye klabu hiyo ya Jangwani.
Ngasa, mfungaji bora wa michuano ya Klabu Bingwa Afrika mwaka jana na mfungaji bora wa Yanga msimu uliopita, mwishoni mwa wiki alikisaidia kikosi cha wanajangwani kupata ushindi mnono wa mabao 5-1 dhidi ya Platinum FC ya Zimbabwe kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Katika mechi hiyo ya hatua ya kwanza ya michuano ya...
10 years ago
Raia Tanzania06 Jul
Ewura yakamilisha kanuni
MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), imesema kuwa imetayarisha na kukamilisha kanuni ndogo za uendeshaji wa biashara ya mafuta nchini.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki na mamlaka hiyo, kanuni hizo ndogo ni za uendeshaji wa biashara ya mafuta ya vilainishi (lubricants).
“Kanuni hizo zipo tangu mwaka 2014 na zilichapishwa kwenye gazeti la serikali namba 64/2014,” inasomeka taarifa hiyo iliyotolewa na Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu...
10 years ago
TheCitizen03 Mar
There might be oil theft, says Ewura
11 years ago
Mwananchi16 Jul
Tido Mhando aaga Mwananchi
10 years ago
BBCSwahili28 Aug
Ebola:Daktari aaga Nigeria