Ewura yakamilisha kanuni
MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), imesema kuwa imetayarisha na kukamilisha kanuni ndogo za uendeshaji wa biashara ya mafuta nchini.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki na mamlaka hiyo, kanuni hizo ndogo ni za uendeshaji wa biashara ya mafuta ya vilainishi (lubricants).
“Kanuni hizo zipo tangu mwaka 2014 na zilichapishwa kwenye gazeti la serikali namba 64/2014,” inasomeka taarifa hiyo iliyotolewa na Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziMGALU AITAKA EWURA KUHARAKISHA UANDAAJI KANUNI KWA WAWEKEZAJI BINAFSI WA UMEME
Hafsa Omar-PwaniNAIBU Waziri wa Nishati, Subira Mgalu, imeitaka Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma ya Nishati na Maji(EWURA) kuharakisha uandaaji wa kanuni ambazo zitatumika kudhibiti bei za umeme ambazo zitatumiwa na wawekezaji binafsi wa umeme nchini.
Ameyasema hayo, Februari 20,2020 wakati alipokuwa akijibu maswali mbalimbali ya wananchi ambao walikuwa wakilalamikia bei kubwa ya umeme wanaotozwa na Mkandarasi wa kampuni ya Husk Power iliyopo katika kijiji cha Matipwili kata Mkange, Wilaya ya...
11 years ago
Michuzi05 Aug
11 years ago
Tanzania Daima29 Jun
CUF yakamilisha safu yake
HATIMAYE Chama cha Wananchi (CUF) kimekamilisha mchakato wa kuchagua safu ya uongozi wa kitaifa kwa kuwachagua wajumbe 45 wa Baraza Kuu la Uongozi Taifa, 20 kati yao wakitokea Zanzibar. Wajumbe...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jun
BFT yakamilisha leseni za mabondia
SHIRIKISHO la Ngumi za Ridhaa Tanzania (BFT), limekabidhi leseni za mabondia watakaoshiriki mashindano ya Jumuiya ya Madola nchini Scotland, kwa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC). Akizungumza jijini Dar es Salaam...
10 years ago
Habarileo27 Feb
Serikali yakamilisha usambazaji wa Katiba
SERIKALI imesema imekamilisha usambazaji wa Katiba Inayopendekezwa kwa halmashauri na mamlaka za miji 169 nchi nzima.
11 years ago
Mwananchi12 May
Tanesco yakamilisha miradi 10 ya Jica
9 years ago
Habarileo12 Sep
Twiga Stars yakamilisha ratiba
TIMU ya soka ya Taifa ya Wanawake, Twiga Stars, leo inacheza mechi ya mwisho dhidi ya wenyeji Congo Brazzaville kwenye Michezo ya Afrika.
10 years ago
Tanzania Daima03 Oct
Swala yakamilisha utafiti Pangani
KAMPUNI ya mafuta na gesi ya Swala hapa nchini imetangaza kukamilika utafiti wa kupata nishati hiyo uliyoanza Agosti 24 mwaka huu bonde la mto Pangani Tanzania uliohusisha kilomita 200 ....
10 years ago
Raia Tanzania13 Jul
Simba yakamilisha kambi Lushoto
TIMU ya Simba inatarajia kurejea Dar es Salaam mwishoni mwa wiki hii, baada ya kumaliza kambi ya wiki mbili wilayani Lushoto kwa ajili ya kujiandaa na Ligi Kuu Tanzania Bara.
Kocha Msaidizi wa Simba Seleman Matola alisema jana kuwa timu yao ilikuwa Lushoto kwa kambi ya wiki mbili kwa ajili ya mazoezi ya ukamilifu wa mwili kabla hawajaanza rasmi mazoezi ya uwanjani.
Alisema Kocha wao Mkuu, Dylan Kerr, alitaka timu iweke kambi sehemu ya baridi, kwa kuwa ni rahisi kufanya mazoezi kwa...