Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BFT yakamilisha leseni za mabondia

SHIRIKISHO la Ngumi za Ridhaa Tanzania (BFT), limekabidhi leseni za mabondia watakaoshiriki mashindano ya Jumuiya ya Madola nchini Scotland, kwa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC). Akizungumza jijini Dar es Salaam...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MAKALA SHERIA: HAITOSHI KUUNDA KAMPUNI, LAZIMA UWE NA LESENI YA BIASHARA, HII NI NAMNA YA KUPATA LESENI YA BIASHARA

Na   Bashir     Yakub
Katika  makala  iliyopita  nilisema  kuwa  vijana  wengi   wajasiriamali  wanaofungua   biashara  za  makampuni   wanao  uwezo  mkubwa   wa kufika mbali   isipokuwa  tatizo  lao  ni  taarifa za  mambo  mbalimbali   kuhusu uendeshaji  wa  kampuni   hizo. 
 Mambo  ya uendeshaji   wa  kampuni  ni  mepesi sana  na  yanawezwa   na  mtu  yeyote isiopokuwa   tatizo   ni   taarifa   na  elimu ya  namna  ya  uendeshaji  kisheria   ili   kampuni   ionekane  ni kampuni.  Nilieleza...

 

11 years ago

Mwananchi

Wadau wa ngumi waisusia BFT

Wakati Shirikisho la Ngumi za Ridhaa Tanzania (BFT) likiongeza siku za uchukuaji fomu kwa wagombea wa nafasi ya rais kwenye uchaguzi mdogo, wadau wa ngumi wameonekana kususia kugombea nafasi hiyo kwa kutojitokeza kugombea.

 

11 years ago

TheCitizen

BFT leaders face ‘another election’

The Boxing Federation of Tanzania (BFT) leadership is likely to be dissolved after it emerged that there were irregularities in the voting process.

 

11 years ago

Mwananchi

Uongozi wa sasa BFT batili

Uongozi wa sasa wa Shirikisho la Ngumi za Ridhaa nchini (BFT) ni batili kutokana na kuhirikishwa kwa wajumbe wasiokuwa na sifa ya kupiga kura katika uchaguzi mkuu wa mwaka jana na wa mwaka huu katika nafasi ya urais.

 

11 years ago

Mwananchi

BFT yagonga mwamba kwa Daba

>Uongozi wa Shirikisho la Ngumi za Ridhaa (BFT) umegonga mwamba adhima yake ya kuuondoa madarakani uongozi wa Chama cha Ngumi Mkoa wa Dar es Salaam (Daba).

 

11 years ago

Tanzania Daima

BFT: Ndondi Taifa baada ya Madola

SHIRIKISHO la Ngumi za Ridhaa Tanzania (BFT), limesema mashindano ya taifa yatafanyika baada ya kwisha kwa mashindano ya Jumuiya ya Madola yatakayoanza kesho hadi Agosti 3, mjini Glasgow, Scotland. Kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Fedha zinapogeuka kigezo cha kugombea BFT!

NI Jumatatu nyingine tunakutana wadau wa Uwanja wa Kuchonga, kama ada kupeana changamoto za kimichezo, lengo likiwa ni kuchochea ufanisi katika sekta hii muhimu katika jamii. Kwanza kabla ya kuendelea,...

 

11 years ago

TheCitizen

BFT drops games trainers a day before the deadline

The Boxing Federation of Tanzania (BFT) has dropped two trainers ahead of the Commonwealth Games scheduled to take place in Glasgow, Scotland from next month.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani