Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Swala yakamilisha utafiti Pangani

KAMPUNI ya mafuta na gesi ya Swala hapa nchini  imetangaza kukamilika utafiti wa kupata nishati hiyo uliyoanza Agosti 24 mwaka huu bonde la mto Pangani Tanzania uliohusisha kilomita 200 ....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

SWALA kuanza utafiti upatikanaji nishati

KAMPUNI ya Mafuta na Gesi ya Swala (Tanzania), imetangaza rasmi kuanza kwa mpango wake wa mwaka 2014 kuanza utafiti wa upatikanaji wa nishati ujulikanao kama 2D. Lengo la utafiti huo...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Utafiti wa Swala kusaidia upatikanaji wa mafuta, gesi

KAMPUNI ya mafuta na gesi ya Swala imetoa ushahidi mafanikio ya utafiti uliofanyika katika bonde la Kilombero wilayani Kilosa ambapo matokeo hayo yatatasaidia kurahisisha kazi ya uchimbaji visima mwaka 2015....

 

10 years ago

Raia Tanzania

Ewura yakamilisha kanuni

MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), imesema kuwa imetayarisha na kukamilisha kanuni ndogo za uendeshaji wa biashara ya mafuta nchini.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki na mamlaka hiyo, kanuni hizo ndogo ni za uendeshaji wa biashara ya mafuta ya vilainishi (lubricants).

“Kanuni hizo zipo tangu mwaka 2014 na zilichapishwa kwenye gazeti la serikali namba 64/2014,” inasomeka taarifa hiyo iliyotolewa na Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu...

 

9 years ago

Habarileo

Twiga Stars yakamilisha ratiba

TIMU ya soka ya Taifa ya Wanawake, Twiga Stars, leo inacheza mechi ya mwisho dhidi ya wenyeji Congo Brazzaville kwenye Michezo ya Afrika.

 

11 years ago

Tanzania Daima

BFT yakamilisha leseni za mabondia

SHIRIKISHO la Ngumi za Ridhaa Tanzania (BFT), limekabidhi leseni za mabondia watakaoshiriki mashindano ya Jumuiya ya Madola nchini Scotland, kwa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC). Akizungumza jijini Dar es Salaam...

 

11 years ago

Mwananchi

Tanesco yakamilisha miradi 10 ya Jica

Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania (Tanesco), limekamilisha miradi kadhaa ya umeme kwenye maeneo mbalimbali nchini kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo la Japan (Jica).

 

11 years ago

Tanzania Daima

CUF yakamilisha safu yake

HATIMAYE Chama cha Wananchi (CUF) kimekamilisha mchakato wa kuchagua safu ya uongozi wa kitaifa kwa kuwachagua wajumbe 45 wa Baraza Kuu la Uongozi Taifa, 20 kati yao wakitokea Zanzibar. Wajumbe...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Simba yakamilisha kambi Lushoto

TIMU ya Simba inatarajia kurejea Dar es Salaam mwishoni mwa wiki hii, baada ya kumaliza kambi ya wiki mbili wilayani  Lushoto kwa ajili ya kujiandaa na Ligi Kuu Tanzania Bara.

Kocha Msaidizi wa Simba Seleman Matola alisema jana kuwa timu yao ilikuwa Lushoto kwa kambi ya wiki mbili kwa ajili ya mazoezi ya ukamilifu wa mwili kabla hawajaanza rasmi mazoezi ya uwanjani.

Alisema Kocha wao Mkuu, Dylan Kerr, alitaka timu iweke kambi sehemu ya baridi, kwa kuwa ni rahisi kufanya mazoezi kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani