Kimya hiki Tanesco kwa sababu gani?
Hizi si habari njema kwa Watanzania, hasa watumiaji wa nishati ya umeme ambao hivi sasa wanaishi gizani kutokana na mgawo usio rasmi wa nishati hiyo ulioanza kimya kimya katika siku za karibuni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo531 Aug
Squeezer: Nilikuwa kimya kwa sababu za kifamilia
9 years ago
Bongo525 Nov
Rich Mavoko ataja sababu zilizomfanya awe kimya kwa zaidi ya mwaka mmoja
![mavoko new](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/mavoko-new-300x194.jpg)
Rich Mavoko ameachia wimbo mpya Jumanne (Nov.24), ikiwa ni mwaka mzima na miezi miwili toka alipoachia single ya mwisho ‘Pacha Wangu’.
Wakati akitambulisha single mpya iitwayo ‘Naimani’ kupitia XXL ya Clouds Fm, Mavoko amezitaja sababu zilizomfanya asitoe wimbo kwa kipindi kirefu toka mwaka jana.
“Cha kwanza Pacha Wangu ni wimbo nimetoa mwezi wa 9 (2014) lakini pia imekuwepo kwa muda mrefu, sisemi kwamba natakiwa nitoe nyimbo ikae muda mrefu hapana.”
Mavoko aliendelea,
“lakini kusuasua...
9 years ago
Bongo514 Nov
Mrembo huyu ndiye sababu iliyomfanya Nisher awe kimya? (Picha)
![12237118_1529233004034970_1250876929_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12237118_1529233004034970_1250876929_n-300x194.jpg)
Muongozaji wa video, Nisher amemweka wazi mpenzi wake.
Nisher aliyewahi kushinda tuzo za muongozaji wa video zinazopendwa kwenye Tuzo za Watu, amemweka wazi mrembo huyo kwenye Instagram.
Kwa wengi mrembo huyo anaweza kuwa ndio sababu ya ukimya wake kwenye uongozaji wa video. Hivi karibuni muongozaji huyo mwenye makazi yake jijini Arusha alidai kuwa anafikiria kuoa na pengine mpango huo unaweza kufanyika mapema zaidi.
“Umri wangu unaenda,” Nisher aliiambia Bongo5, September 12 mwaka...
5 years ago
BBCSwahili26 Apr
Kutokaribiana kipindi hiki cha corona ni umbali gani?
9 years ago
Mwananchi25 Sep
Tanesco yatoa sababu kukatika umeme mara kwa mara
11 years ago
Mwananchi11 Jan
Kulikuwa na sababu gani ya kuanzisha Ewura?
10 years ago
Bongo Movies08 Jul
Baada ya Kuficha Ujauzito, Snura Adaiwa Kufunga Ndoa Kimya Kimya
Staa wa Bongo Fleva alieanzia uigizaji, Snura Mushi amedaiwa kufunga ndoa ya siri na mchumba wake wa siku nyingi ambaye pia ni mzazi mwenziye,DJ maarufu mjini Mbeya,Hunter.
Habari zinasema kuwa katika sherehe ya ndoa hiyo walialikwa watu wachache kutoka kwenye pande mbili za familia ya wanandoa hao na ilifungwa kwa siri jijini Dar.
Kupitia U heard na Soudy Brown amezungumza na Snura ambaye amekana kufunga ndoa,lakini alipoulizwa kama aliweza kuficha mimba hadi alipojifungua je? Hawezi...
10 years ago
Vijimambo20 Feb
HII NDIYO YANGA NA MBIO ZA KUUSAKA UBIGWA KIMYA KIMYA TU UNAISOMA
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-2ske2H6ibPs%2FVOZJSSyXGaI%2FAAAAAAADZ5A%2FMwgawl1uLNs%2Fs1600%2F1.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-nuzUTtxZEhY%2FVOZJSfqWZaI%2FAAAAAAADZ5E%2F3S76cANil-0%2Fs1600%2F6.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
9 years ago
Bongo528 Sep
Usher afunga ndoa kimya kimya na meneja wake Grace Miguel