MBEGU ZA MABOGA KWA AFYA YA MOYO, MIFUPA NA NGUVU ZA KIUME-2
![](http://api.ning.com:80/files/Uf5Jdma8M321FtV0quIBJc4Nf*AJhOM0WiRhURW1XUfD346KKy*MCibHIlLGhd2tbRTewSc0N2E4-109tMRLZBII9ndtpo3h/boga1.jpg?width=650)
Leo naendelea kuelezea faida za mbegu za maboga ambapo utafiti uliofanywa kupitia wanyama ulionesha kuwa mbegu hizo husaidia kurekebisha kiwango cha nyongo (Insulin) inayohusika na kulinda kiwango cha sukari mwilini kisipande au kushuka sana, hivyo kujiepusha na tatizo la kisukari. UKOMO WA HEDHI Utafiti unaonesha pia kuwa mafuta yatokanayo na mbegu za maboga huondoa kolestro mbaya mwilini pamoja na kushusha shinikizo la juu la...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo510 Nov
Machangudoa wa Zimbabwe wakusanya mbegu za kiume na kuziuza kwa gharama kubwa
![Prostitute+sex+worker](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Prostitute-sex-worker-300x194.jpg)
Wanaume wasio waaminifu walionywa mwaka jana nchini Zimbabwe kutoka miji ya Gwanda na Beitbridge iliyopo mpakani mwa Zimbabwe na Afrika ya Kusini.
Machangudoa kutoka miji hiyo hukusanya mbegu za kiume na kwenda kuziuza nchini Afrika ya Kusini. Inasadikika kuwa mbegu hizo zinakwenda kwa waganga wa kienyeji maarufu kama sangoma ili kutumika kwa mambo ya kishirikina.
Wengine wakihisi kwamba wanawake hao huuza mbegu hizo kati ya dola 25 hadi 30 kwa chupa ya milimeta 250 yaani robo lita....
10 years ago
Mwananchi19 Jun
Mazoezi kwa ajili ya afya ya mifupa
11 years ago
BBCSwahili04 Aug
UK kuanzisha benki ya mbegu za kiume
11 years ago
BBCSwahili28 Jun
UK yakumbwa na uhaba wa mbegu za kiume
10 years ago
BBCSwahili09 May
Wanasayansi watengeza mbegu za kiume
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_fcGoRmruJU/Ve644t4a9LI/AAAAAAAH3R4/pk5NFu635YY/s72-c/Neema-Herbalistic-Clinic.jpg)
LISHE MAALUMU KWA WANAUME WENYE TATIZO LA UKOSEFU NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.
![](http://3.bp.blogspot.com/-_fcGoRmruJU/Ve644t4a9LI/AAAAAAAH3R4/pk5NFu635YY/s640/Neema-Herbalistic-Clinic.jpg)
10 years ago
BBCSwahili26 Jun
Vuna mbegu za kiume mkiwa na miaka18
9 years ago
Bongo531 Dec
Utafiti: Upungufu wa nguvu za kiume huongeza hatari ya kupoteza maisha mapema kwa asilimia 70
![Anorgasmia](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Anorgasmia-300x194.jpg)
Ni kitu kinachofedhehesha ambacho huathiri shughuli ya mwanaume kitandani.
Lakini sasa, wanasayansi wameonya kuwa upungufu wa nguvu za kiume ambao kitaalam hujulikana kama (erectile dysfunction) unaweza kuwa na athari katika maisha ya mwanaume.
Wamebaini kuwa wanaume wenye matatizo hayo wana asilimia 70 ya kufa mapema. Hii ni kwasababu tatizo hilo lina uhusiano na magonjwa ya moyo.
Kwa kawaida, upungufu wa nguvu za kiume umekuwa ukichukuliwa kama kitu kinachoathiri watu wenye umri mkubwa....
9 years ago
BBCSwahili07 Dec
Ripoti: Unene wa mwanaume huathiri mbegu za kiume