Ripoti: Unene wa mwanaume huathiri mbegu za kiume
Utafiti uliofanywa nchini Denmark umeonyesha uzani wa mwanamume huathiri seli za mbegu za kiume na huenda ukachangia katika kuwafanya watoto wanaozaliwa kuwa wanene.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili09 May
Wanasayansi watengeza mbegu za kiume
Seli za mbegu za kiume zimetengezwa katika maabara kwa mara ya kwanza na hivyobasi kuwapa matumaini wanaume wasio na uwezo wa kupata watoto.
11 years ago
BBCSwahili28 Jun
UK yakumbwa na uhaba wa mbegu za kiume
Upungufu wa mbegu za kiume huenda ikalazimu kiliniki za uzazi Uingereza kuchukua mbegu duni.
11 years ago
BBCSwahili04 Aug
UK kuanzisha benki ya mbegu za kiume
Uingereza inatarajia kuanzisha benki ya mbegu za kiume kuondokana na upungufu wa mbegu hizo za uzazi
10 years ago
BBCSwahili26 Jun
Vuna mbegu za kiume mkiwa na miaka18
Mtafiti mmoja wa maswala ya uzazi nchini Uingereza amezua mjadala mkali baada ya kuwashauri vijana kuvuna mbegu za kiume wakiwa na miaka18
9 years ago
Mwananchi16 Oct
Mbegu za kiume huhifadhi virusi vya ebola
Utafiti umeonyesha virusi vya ebola vinaweza kudumu kwenye mbegu za kiume kwa baadhi ya watu waliopona ugonjwa huo kwa takriban miezi tisa.
11 years ago
Mwananchi21 Jun
MAKALA: Mkojo, mbegu za kiume zinapotokea kwenye paja
>Paja la mguu wa kushoto wa Hubert Mkenda (49) mkazi wa Kijiji cha Msaranga, Kata ya Kitale, Rombo mkoani Kilimanjaro, limetoboka na kutengeneza sehemu ambayo inapitisha haja ndogo (mkojo) na mbegu za kiume.
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Mbegu za kiume za mwenye VVU zaoshwa zatumika katika uzazi
Hakika teknolojia inazua mengi, hata yale ambayo hayakuwahi kufikiriwa na mababu zetu karne nyingi zilizopita.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sRY-hG6lRQ*6XyHsPwyZTjqbgI5PtLyqUluzXUJDzuaIAtW-*jk3qv7QGa0KDkIDm4gyXQ4xHTETbSG31tqYNfd5dptOpt9h/www.usnews.com.jpg?width=650)
MATATIZO KATIKA UZALISHAJI WA MBEGU ZA KIUME (LOW SPERM COUNT)
Matatizo katika uzalishaji wa mbegu za kiume inahusiana na kutokuwepo kwa mbegu za kiume kwenye manii au uwepo wa mbegu kidogo sana katika manii. Mbegu za kiume huwa zinachunguzwa kwa kutumia kifaa maalum au darubini katika maabara, kwa kawaida mwanaume ili aweze kumpa mwanamke mimba anatakiwa atoe kiasi cha mbegu kati ya milioni ishirini hadi milioni mia tatu hamsini kwa tendo, chini ya milioni ishirini huwezi kumpa mimba...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Uf5Jdma8M321FtV0quIBJc4Nf*AJhOM0WiRhURW1XUfD346KKy*MCibHIlLGhd2tbRTewSc0N2E4-109tMRLZBII9ndtpo3h/boga1.jpg?width=650)
MBEGU ZA MABOGA KWA AFYA YA MOYO, MIFUPA NA NGUVU ZA KIUME-2
Leo naendelea kuelezea faida za mbegu za maboga ambapo utafiti uliofanywa kupitia wanyama ulionesha kuwa mbegu hizo husaidia kurekebisha kiwango cha nyongo (Insulin) inayohusika na kulinda kiwango cha sukari mwilini kisipande au kushuka sana, hivyo kujiepusha na tatizo la kisukari. UKOMO WA HEDHI Utafiti unaonesha pia kuwa mafuta yatokanayo na mbegu za maboga huondoa kolestro mbaya mwilini pamoja na kushusha shinikizo la juu la...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania