MATATIZO KATIKA UZALISHAJI WA MBEGU ZA KIUME (LOW SPERM COUNT)
![](http://api.ning.com:80/files/sRY-hG6lRQ*6XyHsPwyZTjqbgI5PtLyqUluzXUJDzuaIAtW-*jk3qv7QGa0KDkIDm4gyXQ4xHTETbSG31tqYNfd5dptOpt9h/www.usnews.com.jpg?width=650)
Matatizo katika uzalishaji wa mbegu za kiume inahusiana na kutokuwepo kwa mbegu za kiume kwenye manii au uwepo wa mbegu kidogo sana katika manii. Mbegu za kiume huwa zinachunguzwa kwa kutumia kifaa maalum au darubini katika maabara, kwa kawaida mwanaume ili aweze kumpa mwanamke mimba anatakiwa atoe kiasi cha mbegu kati ya milioni ishirini hadi milioni mia tatu hamsini kwa tendo, chini ya milioni ishirini huwezi kumpa mimba...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Mbegu za kiume za mwenye VVU zaoshwa zatumika katika uzazi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lQPrNDYOFLw/XrEFuHxb5WI/AAAAAAALpJk/txLnj0UxWbIEMrl11GDIKoxykrG33Z8yQCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_2818-2048x1365.jpg)
WIZARA YA KILIMO YAWAPONGEZA WATAFITI WA MBEGU ZA MICHIKICHI KWA KUONGEZA UZALISHAJI WA MBEGU BORA
![](https://1.bp.blogspot.com/-lQPrNDYOFLw/XrEFuHxb5WI/AAAAAAALpJk/txLnj0UxWbIEMrl11GDIKoxykrG33Z8yQCLcBGAsYHQ/s640/DSC_2818-2048x1365.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/DSC_2783.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akiwa ameshika mche bora wa mchikichi uliozalishwa na Kituo cha utafiti TARI Kihinga mkoa wa Kigoma leo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/DSC_2804.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw. Gerald Kusaya akikagua kitalu cha miche bora ya zao la michikichi katika Gereza Kwitanga mkoa wa Kigoma leo alipotembelea kuona utekelezaji wa...
11 years ago
BBCSwahili28 Jun
UK yakumbwa na uhaba wa mbegu za kiume
10 years ago
BBCSwahili09 May
Wanasayansi watengeza mbegu za kiume
11 years ago
BBCSwahili04 Aug
UK kuanzisha benki ya mbegu za kiume
10 years ago
BBCSwahili26 Jun
Vuna mbegu za kiume mkiwa na miaka18
9 years ago
Mwananchi16 Oct
Mbegu za kiume huhifadhi virusi vya ebola
9 years ago
BBCSwahili07 Dec
Ripoti: Unene wa mwanaume huathiri mbegu za kiume
11 years ago
Mwananchi12 Jun
Uzalishaji wa mbegu bora tatizo - Rais Kikwete