Tunataka kampeni za amani
MWISHONI mwa wiki hii, vyama vya siasa vitazindua rasmi kampeni zao kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa
Ezekiel Kamwaga
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Uf5Jdma8M30uxCsq9iebCQv-gRy-4wz4j5Ob4lQ4Exg8JNYeg*-8gTGCBYF13*1tr9nPMHhLfrm1GaaN64VmFRtVJXwS5xYE/11.jpg?width=650)
TUNATAKA KAMPENI ZA AMANI NCHINI KOTE
11 years ago
Tanzania Daima06 Feb
Tunataka uchaguzi wa amani
WAKATI wananchi wa kata 27 kutoka halmashauri mbalimbali nchini wakisubiri kupiga kura Jumapili ijayo kuwachagua madiwani wa kata zao, taarifa za kuwepo kwa vurugu kwenye kampeni hizo zinasikika na kusababisha...
11 years ago
Mtanzania11 Aug
Mama Pinda: Wanawake wote tunataka amani
![Mke wa Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Mama Tunu Pinda](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Tunu-Pinda.jpg)
Mke wa Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Mama Tunu Pinda
NA MWANDISHI WETU, SEOUL
MKE wa Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Mama Tunu Pinda, amesema wanawake wote duniani wanalilia amani na hawapendi vita wala machafuko kwani husababisha amani kutoweka.
Mama Pinda alitoa wito huo jana wakati akitoa mada kama mzungumzaji mkuu kwenye mkutano wa dunia wa siku tano ulioanza Seoul, Korea Kusini jana.
Mkutano huo ambao umeandaliwa na Taasisi ya Universal Peace Federation (UPF) ambayo inatoa ushauri kwenye Baraza...
9 years ago
Habarileo02 Sep
Waanzisha kampeni ya amani
TAASISI ya Suleiman Kova Security and Disaster Management (SUKOS) imeanzisha kampeni maalumu ya kudumisha amani na upendo. Kampeni hiyo inakuja baada ya wadau wa taasisi hiyo kusema kuwa wameona nchi imeanza kuonesha viashiria vya kutoweka kwa amani kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ukosefu wa ajira pamoja na ugumu wa maisha.
9 years ago
Raia Tanzania21 Aug
Kampeni zizingatie kulinda amani
KESHO ndio mwanzo wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu ambapo mbali na wagombea urais, pia wagombea wa ubunge na udiwani wataanza kujinadi na kuomba ridhaa ya wananchi kuwa viongozi wao.
Ni siku 64 za vumbi kutimka kila kona ya nchi yetu huku kwa mara nyingine taifa hili la pili kwa ukubwa kiuchumi; la kwanza kwa ukubwa wa eneo na wingi wa watu Afrika Mashariki, likishuhudia kutekelezwa kwa demokrasia ya kuchaguana.
Kwa kawaida kwa nchi nyingi za Kiafrika, kipindi kama...
9 years ago
Mwananchi23 Aug
Polisi, vyama wajadili amani katika kampeni
10 years ago
BBCSwahili30 Jul
Kampeni ya amani Chuo kikuu cha Garissa
9 years ago
Mwananchi23 Sep
Watu 41 wakamatwa kwa kutishia amani kwenye kampeni
9 years ago
Mzalendo Zanzibar07 Oct
Video: Mkutano wa kampeni za Urais CUF Amani/Magomeni
The post Video: Mkutano wa kampeni za Urais CUF Amani/Magomeni appeared first on Mzalendo.net.