Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tunataka kampeni za amani

MWISHONI mwa wiki hii, vyama vya siasa vitazindua rasmi kampeni zao kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa

Ezekiel Kamwaga

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

TUNATAKA KAMPENI ZA AMANI NCHINI KOTE

Tuanze makala haya kwa kumsifu Mungu, muumba wa vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana katika dunia hii. Hakika tumhimidi daima huku tukimuomba atuzidishie maarifa ya kutambua umoja wetu na amani katika taifa letu. Hivi sasa vyama vya siasa vipo katika kampeni zao kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25. Hili ni zoezi muhimu katika nchi zote zinazoheshimu misingi ya utawala bora na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tunataka uchaguzi wa amani

WAKATI wananchi wa kata 27 kutoka halmashauri mbalimbali nchini wakisubiri kupiga kura Jumapili ijayo kuwachagua madiwani wa kata zao, taarifa za kuwepo kwa vurugu kwenye kampeni hizo zinasikika na kusababisha...

 

11 years ago

Mtanzania

Mama Pinda: Wanawake wote tunataka amani

Mke wa Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Mama Tunu Pinda

Mke wa Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Mama Tunu Pinda

NA MWANDISHI WETU, SEOUL

MKE wa Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Mama Tunu Pinda, amesema wanawake wote duniani wanalilia amani na hawapendi vita wala machafuko kwani husababisha amani kutoweka.

Mama Pinda alitoa wito huo jana wakati akitoa mada kama mzungumzaji mkuu kwenye mkutano wa dunia wa siku tano ulioanza Seoul, Korea Kusini jana.

Mkutano huo ambao umeandaliwa na Taasisi ya Universal Peace Federation (UPF) ambayo inatoa ushauri kwenye Baraza...

 

9 years ago

Habarileo

Waanzisha kampeni ya amani

TAASISI ya Suleiman Kova Security and Disaster Management (SUKOS) imeanzisha kampeni maalumu ya kudumisha amani na upendo. Kampeni hiyo inakuja baada ya wadau wa taasisi hiyo kusema kuwa wameona nchi imeanza kuonesha viashiria vya kutoweka kwa amani kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ukosefu wa ajira pamoja na ugumu wa maisha.

 

9 years ago

Raia Tanzania

Kampeni zizingatie kulinda amani

KESHO ndio mwanzo wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu ambapo mbali na wagombea urais, pia wagombea wa ubunge na udiwani wataanza kujinadi na kuomba ridhaa ya wananchi kuwa viongozi wao.

Ni siku 64 za vumbi kutimka kila kona ya nchi yetu huku kwa mara nyingine taifa hili la pili kwa ukubwa kiuchumi; la kwanza kwa ukubwa wa eneo na wingi wa watu Afrika Mashariki, likishuhudia kutekelezwa kwa demokrasia ya kuchaguana.

Kwa kawaida kwa nchi nyingi za Kiafrika, kipindi kama...

 

9 years ago

Mwananchi

Polisi, vyama wajadili amani katika kampeni

Jeshi la Polisi limerejea tena tamko lake la kupiga marufuku vikundi vya ulinzi vya vyama vya siasa, ambavyo limeeleza kuwa vina mwelekeo wa kijeshi, kufanya kazi za ulinzi likidai kuwa linaingilia majukumu yake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kampeni ya amani Chuo kikuu cha Garissa

Wanaharakati nchini Kenya leo wanaanza kampeni ya siku nne katika Chuo Kikuu cha Garissa, lengo moja wapo kutaka kifunguliwe.

 

9 years ago

Mwananchi

Watu 41 wakamatwa kwa kutishia amani kwenye kampeni

Watu 41 wakiwamo wanawake  tisa wamekamatwa mkoani hapa kwa tuhuma za kufanya vurugu katika maeneo mbalimbali wakati wa kampeni zinazoendelea kuwanadi madiwani na wabunge.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Video: Mkutano wa kampeni za Urais CUF Amani/Magomeni

The post Video: Mkutano wa kampeni za Urais CUF Amani/Magomeni appeared first on Mzalendo.net.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani