EU yaombea uchaguzi wa amani
BALOZI wa Jumuiya ya Ulaya, Filberto Cerian Sebregondi amezitaka taasisi zinazoshughulikia uchaguzi mkuu kuhakikisha unafanyika katika mazingira ya haki na kufuata demokrasia.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziWADAU WA AMANI MKOA WA SHINYANGA WAKUTANA KUJADILI JINSI YA KUDUMISHA AMANI KIPINDI CHA UCHAGUZI
Mambo kadha wa kadha yamejadiliwa ikiwemo kuhakikisha ulinzi na usalama wa...
9 years ago
Habarileo10 Sep
JK asisitiza uchaguzi wa amani
TANZANIA imeendelea kusisitiza kuwa, Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge, Wawakilishi, Madiwani na Masheha unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu utafanyika kwa amani na utulivu ambapo Watanzania watakuwa na uhuru wa kupiga kura bila woga kuwachagua viongozi wanaowataka.
11 years ago
Tanzania Daima06 Feb
Tunataka uchaguzi wa amani
WAKATI wananchi wa kata 27 kutoka halmashauri mbalimbali nchini wakisubiri kupiga kura Jumapili ijayo kuwachagua madiwani wa kata zao, taarifa za kuwepo kwa vurugu kwenye kampeni hizo zinasikika na kusababisha...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-gNUUf2HCvog/VeSyUdd15GI/AAAAAAAH1aE/FNLnqjJYk9A/s72-c/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
NITASHIRIKI UCHAGUZI KWA AMANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-gNUUf2HCvog/VeSyUdd15GI/AAAAAAAH1aE/FNLnqjJYk9A/s640/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-104qP020bkY/VeSyUW61rWI/AAAAAAAH1aA/IPgZ2Cgq9BE/s640/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-fq7v2nutbsI/VeSyUdJrFBI/AAAAAAAH1aI/f7yztN4dKno/s640/unnamed%2B%252819%2529.jpg)
9 years ago
Raia Mwema21 Oct
Tunawatakia uchaguzi wa amani na utulivu
JUMAPILI ijayo, Watanzania watafanya uamuzi wa kuchagua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Mwandishi Wetu
9 years ago
Habarileo18 Sep
Polisi wahimiza uchaguzi wa amani
JESHI la Polisi nchini limehimiza wananchi kuhakikisha wanashiriki katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 25 mwaka huu kwa amani na utulivu.
9 years ago
MichuziKUDUMISHA AMANI WAKATI WA UCHAGUZI
Mhonda amesema wananchi wahakikishe amani inakuwepo na hata wageni wanaoishi hapa kutokana na historia ya miaka ya nyuma ya hapa nchini kuwa ya amani.
Aidha amewataka watanzania wasikubali baadhi ya watu wachache kuja kuchochea utovu wa...
9 years ago
Habarileo20 Oct
Dk Shein: Uchaguzi utakuwa wa amani
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amesisitiza serikali ina imani kuwa Zanzibar itakuwa katika utulivu na amani wakati wote wa uchaguzi kwa kuwa utafanyika kwa misingi ya uhuru na haki kwa mujibu wa sheria zilizopo.
11 years ago
BBCSwahili06 Apr
Afghanistan yafanya uchaguzi wa amani