NITASHIRIKI UCHAGUZI KWA AMANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-gNUUf2HCvog/VeSyUdd15GI/AAAAAAAH1aE/FNLnqjJYk9A/s72-c/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
Wanahabari wakimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Baraza la Dini Mbalimbali la Amani Tanzania Thomas Godda juu ya kuwahimiza wanachi kwenda kupiga kura kwa amni na kumchanguwa kiongozi bora leo jiji Dar es Salaam
Mkurungenzi Mkuu wa Global Peace Foundation Tanzania Martha Nghambi juu ya wananchi kupiga kula kwa amani nautulivu na kujitokesa kwa wingi siku ya kupiga kula kikao hicho kimefanyika leo Jiji Dar es Salaam
Mkurugenzi Mtendaji wa Baraza la Dini Mbalimbali la Amani...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog17 Dec
RC Arusha awapongeza wadau kwa kufanikisha uchaguzi serikali za mitaa kwa amani
Mkuu wa mkoa wa Arusha, Daud Felix Ntibenda akiwa ofisini kwake jijini Arusha.
Na Mahmoud Ahmad, Arusha
MKUU Wa mkoa wa Arusha, Daud Felix Ntibenda (Kijiko), amewapongeza wananchi wa jimbo la Arusha, pamoja na vyombo vya habari na vyombo vya ulinzi na usalama kwa kufanikisha zoezi la uchaguzi bila ya vurugu wala matukio ya uvunjifu wa Amani .
Mkuu huyo wa mkoa ametoa pongezi hizo leo ofisini kwake alipokuwa akipokea taarifa ya uchaguzi wa marudio wa jiji la Arusha ,uliowasilishwa na...
9 years ago
Habarileo26 Oct
Yametimia, uchaguzi wafanyika kwa amani
UCHAGUZI Mkuu wa tano wa Tanzania tangu kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi mwaka 1992, umefanyika kwa amani na utulivu kote nchini, na Watanzania wakipongezwa kwa ukomavu waliouonesha.
10 years ago
Mwananchi06 May
Tufanye uchaguzi kwa muda mwafaka na amani
11 years ago
GPLUCHAGUZI JIMBO LA KALENGA WAENDELEA KWA AMANI
9 years ago
MichuziTAWLA YAENDELEZA MIDAHALO YA AMANI KWA WADAU WA UCHAGUZI
9 years ago
MichuziWADAU WA AMANI MKOA WA SHINYANGA WAKUTANA KUJADILI JINSI YA KUDUMISHA AMANI KIPINDI CHA UCHAGUZI
Mambo kadha wa kadha yamejadiliwa ikiwemo kuhakikisha ulinzi na usalama wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-0MTvmzi6emI/Va6cQnAzB-I/AAAAAAAHq8Q/4jaJtKDXolA/s72-c/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
Uchaguzi Mkuu wa Rais nchini Burundi wafanyika kwa amani
![](http://1.bp.blogspot.com/-0MTvmzi6emI/Va6cQnAzB-I/AAAAAAAHq8Q/4jaJtKDXolA/s640/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-TiryPbpJJHM/Va6cQyc2LwI/AAAAAAAHq8U/Tg8X-qLRDhY/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-d8BFVztuISI/Va6cSZspAVI/AAAAAAAHq8k/FoBSoeeZSWc/s640/unnamed%2B%252834%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1oro46rJeZU/Va6cR3ziQCI/AAAAAAAHq8g/KmLkE455gIY/s640/unnamed%2B%252835%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-oDGbkTeHNzE/Va6c_DD5KuI/AAAAAAAHq8w/UDGCNzpWsIA/s640/unnamed%2B%252836%2529.jpg)
9 years ago
StarTV24 Oct
Sekta binafsi Yalilia Uchaguzi wa Amani kwa kuzingatia sheria za nchi
Taasisi ya Sekta binafsi imewasisitiza wananchi kuzingatia sheria za uchaguzi zilizowekwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar ZEC ili uchaguzi ufanyike kwa amani na kuepuka kuingia kwenye machafuko ya kisiasa.
Mkurugenzi wa Sekta Binafsi Godfrey Simbeye amesema mbali na sababu nyingine za kiuchumi amani iliyopo Tanzania ndiyo imechangia kwa kiasi kikubwa kuvutia wawekezaji na kukua kwa uchumi wa nchi mpaka kufikia asilimia Saba.
Simbeye amesema baadhi ya nchi za...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-pNBdVlin5Lw/VbHEumWFvGI/AAAAAAAHrYs/5dS9hlmWL6c/s72-c/unnamed.jpg)
BAADA YA UCHAGUZI WA AMANI, BURUNDI BAN KI MOON ATAKA KUTEJEA KWA MAZUNGUMZO
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon, amezitaka pande zinazopingana nchini Burundi kubaki watulivu na kurejea mara moja katika meza ya majadiliano jumuishi ya kisiasa ili kumaliza tofauti zao na kujadili changamoto zinazolikabili taifa lao.
Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Katibu Mkuu, Julai 23, Ban Ki Moon ametambua hali ya Amani na utulivu iliyotawala wakati wa uchaguzi wa Rais wa nchi hiyo ( Burundi )uliofanyika Julai 21...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10