KUDUMISHA AMANI WAKATI WA UCHAGUZI
WATANZANIA wametakiwa kuendelea kudumisha amani hasa kipindi cha uchaguzi kwani bado nchi yetu inasifika kwa amani dunia kotekauli hiyo imetolewa na mwanaharakati wa amani Mhonda Joseph wakati akizungumza na waandishi wa habari jiji Dar es Salaam.
Mhonda amesema wananchi wahakikishe amani inakuwepo na hata wageni wanaoishi hapa kutokana na historia ya miaka ya nyuma ya hapa nchini kuwa ya amani.
Aidha amewataka watanzania wasikubali baadhi ya watu wachache kuja kuchochea utovu wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mzalendo Zanzibar21 Oct
SERIKALI YA TANZANIA YATAKIWA KUDUMISHA AMANI WAKATI WA UCHAGUZI
Profesa Nicholas Boaz, Wednesday, October 21, 2015 NA MWANDISHI WETU WASHINGTON Serikali ya Tanzania imetakiwa kuhakikisha kuwa amani na usalama vinakuwepo wakati na baada ya kupiga kura katika uchaguzi mkuu utakaofanyika nchini Tanzania tarehe 25 mwezi […]
The post SERIKALI YA TANZANIA YATAKIWA KUDUMISHA AMANI WAKATI WA UCHAGUZI appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
MichuziWADAU WA AMANI MKOA WA SHINYANGA WAKUTANA KUJADILI JINSI YA KUDUMISHA AMANI KIPINDI CHA UCHAGUZI
Mambo kadha wa kadha yamejadiliwa ikiwemo kuhakikisha ulinzi na usalama wa...
9 years ago
VijimamboKAMISHNA WA POLISI ZANZIBAR AWATAKA VIONGOZI WA SIASA NA WANANCHI KUDUMISHA AMANI NA UTULIVU WAKATI WA KAMPENI
9 years ago
Dewji Blog24 Oct
Mkurugenzi wa Apex Group aomba wananchi kudumisha Amani na Utulivu katika Uchaguzi Mkuu utakao fanyika kesho nchini kote
Mkurugenzi Mkuu wa Makampuni ya Apex Group na Mwanaharakati, Joseph Mhonda (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu amani na utulivu kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika kesho nchini kote. Kulia ni Ofisa Habari wa Makampuni hayo, Pipino Sudi.
Mkurugenzi Msaidizi wa Idara Habari Maelezo, Vicent Tiganya (kushoto), akizungumza katika mkutano huo. Kulia ni Ofisa Habari wa Makampuni hayo, Pipino Sudi na Mkurugenzi Mkuu wa Makampuni ya Apex...
9 years ago
VijimamboMKURUGENZI WA MAKAMPUNI YA APEX GROUP AOMBA WANANCHI KUDUMISHA AMANI NA UTULIVU KATIKA UCHAGUZI MKUU UTAKAO FANYIKA KESHO KUTWA KOTE NCHINI
9 years ago
Mwananchi21 Oct
Wanasiasa wahimiza amani wakati wa uchaguzi
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/N0Xct7ZPYQ0/default.jpg)
Simu TV: Mahujaji wa Tanzania wafanya Ibada kuombea amani Tanzania wakati na baada ya uchaguzi mkuu
Kwa habari zaidi BOFYA HAPA
9 years ago
VijimamboMKUU WA MKOA WA DODOMA AWATAKA VIONGOZI WA DINI KUSISITIZA AMANI NA UTULIVU WAKATI WA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 25
11 years ago
MichuziVIJANA WAASWA KUDUMISHA AMANI
Na...