Wanasiasa wahimiza amani wakati wa uchaguzi
Vyama vya siasa vimewataka wadau wote wa uchaguzi kuzingatia amani katika Uchaguzi Mkuu, huku vikisisitiza haki kutendeka ili kuiwezesha nchi kubaki salama.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo18 Sep
Polisi wahimiza uchaguzi wa amani
JESHI la Polisi nchini limehimiza wananchi kuhakikisha wanashiriki katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 25 mwaka huu kwa amani na utulivu.
10 years ago
MichuziKUDUMISHA AMANI WAKATI WA UCHAGUZI
Mhonda amesema wananchi wahakikishe amani inakuwepo na hata wageni wanaoishi hapa kutokana na historia ya miaka ya nyuma ya hapa nchini kuwa ya amani.
Aidha amewataka watanzania wasikubali baadhi ya watu wachache kuja kuchochea utovu wa...
10 years ago
Mzalendo Zanzibar21 Oct
SERIKALI YA TANZANIA YATAKIWA KUDUMISHA AMANI WAKATI WA UCHAGUZI
Profesa Nicholas Boaz, Wednesday, October 21, 2015 NA MWANDISHI WETU WASHINGTON Serikali ya Tanzania imetakiwa kuhakikisha kuwa amani na usalama vinakuwepo wakati na baada ya kupiga kura katika uchaguzi mkuu utakaofanyika nchini Tanzania tarehe 25 mwezi […]
The post SERIKALI YA TANZANIA YATAKIWA KUDUMISHA AMANI WAKATI WA UCHAGUZI appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
MichuziKATIBU MKUU TAMISEMI AWAASA WANASIASA,WAGOMBEA NA WASHABIKI KUENDESHA KAMPENI KWA AMANI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI Bw. Jumanne Sagini akiongea na waandishi wa habari kuhusu maandalizi ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Desemba 14 mwaka huu ambapo amesema...
10 years ago
Michuzi
Simu TV: Mahujaji wa Tanzania wafanya Ibada kuombea amani Tanzania wakati na baada ya uchaguzi mkuu
Kwa habari zaidi BOFYA HAPA
10 years ago
Habarileo16 Aug
Wahimiza mazingira rafiki uchaguzi mkuu
CHAMA cha Walemavu Mkoa wa Mwanza (CHAWATA) kimeiomba Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuweka mazingira rafiki kwa watu wote wenye ulemavu katika vituo vya kupigia kura, ili wapate haki yao ya kupiga kura.
10 years ago
VijimamboMKUU WA MKOA WA DODOMA AWATAKA VIONGOZI WA DINI KUSISITIZA AMANI NA UTULIVU WAKATI WA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 25
10 years ago
StarTV08 Sep
Wanasiasa wahimizwa kulinda amani na utulivu
Wanasiasa wa vyama mbalimbali wametakiwa kuilinda na kuiendeleza amani na utulivu iliyopo nchini katika kipindi hiki cha kampeni za kuelekea uchaguzi mkuu kwa kutotoa maneno yatakayo hamasisha watanzania kufanya vurugu
Wakiongea na Star Tv baadhi ya wananchi wamesema kuwa toka nchi ipate uhuru haijawahi kufanya uchaguzi uliyo na ushindani mkubwa kama wa mwaka huu kutokana na joto la uchaguzi na ushabiki kuwa kubwa .
Mkuu wa wilaya ya Kondoa Shabani Kisu anapata nafasi katika uzinduzi...
10 years ago
Bongo Movies04 Oct
Riyama Awaasa Wasanii Wanaotumika Kutetea Matumbo ya Wanasiasa, Wakati…
Habari wapendwa wangu Leo naomba kuongea na wewe MTANZANIA mwenzangu rafiki yangu unae Like na ku comment katika ukurasa wangu (kwenye mtandao wa Instagram) naamini wewe ndio balozi wangu utake nifikishia ujumbe wangu Kwa jamii inayo tuzunguka.
Ndugu zangu kupiga kura ni haki ya kila MTANZANIA hivo shime tujitokeze kwa wingi kwa wale umri unao tu ruhusu kupiga kura angalizo usikubali kushurutishwa na mtu wa aina yeyote yule kwa kumchagua kiongozi anae mtaka yeye kwa maslahi yake, bali...