Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tunataka Katiba ya Tanzania si ya CCM

BAADA ya takriban siku 40 za mivutano ya kuandaa kanuni na taratibu mbalimbali, kesho wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wataanza kupitia ibara 17 za rasimu ya Katiba mpya iliyoandaliwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Viongozi wa Siasa Muache Uswahili mtupatie katiba ya watu wote siyo ya CCM,AU CHADEMA,AU CUFU TUNATAKA KATIBA.

Mheshimiwa michuzi tunashukulu sana kwa kazi yako ya kutujulisha yanayoendelea TANZANIA leo naomba unipe nafasi niweke ya moyoni mwangu na maoni yangu kuhusu huu mstakabali wa kupata katiba ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania, mengi yamekuwa yakisemwa sana kuhusu hii katiba au ni muundo ghani wa muungano tunaoutaka,watu wengi na wana siasa wamesahu kwamba muungano huu na katiba hii ya zamani ndio umetufanya tuwe na undungu  na pia tuwe na amani mpaka hapa tulipo watu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tunataka kunusuru mchakato wa katiba mpya ili iweje?

NAKUMBUKA nilipoingia darasani kufundishwa namna ya kutumia kompyuta, mwalimu aliyeingia darasani wa kwanza alianza na sentensi fupi ya kimombo kabla hata hatujasalimiana na kutambulishana. Nakumbuka alisema “garbage in, garbage out.”...

 

11 years ago

Mwananchi

Kinana: Tunataka CCM ya Nyerere na Karume

>Wiki hii Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete alimpongeza Kinana akisema ameanza kukirudisha chama kwenye mstari.

 

11 years ago

Habarileo

CCM-Tunataka serikali mbili lakini hatulazimishi

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesisitiza msimamo wake kuhusu muundo wa Muungano ni serikali mbili, lakini ikiwa wananchi wataamua vinginevyo katika mchakato unaoendelea, wataheshimu uamuzi. Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye leo aliwaambia waandishi wa habari kuwa, CCM inaendelea kuamini katika Muungano wa Serikali mbili na itasimamia hilo ingawa haimlazimishi mtu, taasisi wala chama chochote kuamini katika msimamo huo.

 

10 years ago

TheCitizen

KATIBA REVIEW: Govt and CCM to share blame on Katiba issue

>What has been in controversy for several months about the referendum date now is clear. At last, what has been anticipated by the majority citizenry has been fulfilled – the referendum has indefinitely been put on hold.  Last year, President Jakaya Kikwete, while on a state visit to China, announced that the referendum day would be on April 30.  It was argued that the President’s mandate in setting a date for the referendum is given vide section 4 of the Referendum Act,...

 

10 years ago

Raia Mwema

Tunataka kampeni za amani

MWISHONI mwa wiki hii, vyama vya siasa vitazindua rasmi kampeni zao kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa

Ezekiel Kamwaga

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tunataka uchaguzi wa amani

WAKATI wananchi wa kata 27 kutoka halmashauri mbalimbali nchini wakisubiri kupiga kura Jumapili ijayo kuwachagua madiwani wa kata zao, taarifa za kuwepo kwa vurugu kwenye kampeni hizo zinasikika na kusababisha...

 

11 years ago

TheCitizen

New Katiba not CCM’s agenda

The Constitution, with all the conceptions accorded to it by politicians, academicians and different scholars as the supreme law of the country and the law above all laws in the country or the way others argue that it is a contract of the people on how they should be ruled or rule themselves, still is purely a political document used by politicians to achieve their political ends

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hatutengenezi Katiba ya CCM

MIONGONI mwa mambo yanayoibua maswali mengi katika mchakato wa Katiba mpya hususan hatua hii ya Bunge Maalumu la Katiba, ni ujanja unaotumiwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM). CCM kupitia kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani