Tunataka tusitake mabadiliko ni lazima
ASILIMIA kubwa ya Watanzania na hasa vijana wa mijini na vijijini wanataka mabadiliko. Kwa vile mabadiliko ni ya aina nyingi, ni muhimu kusisitiza kwamba mjadala wetu umejikita zaidi kwenye mabadiliko...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-M0uTlRh0GcI/Xs9uWwrQ8oI/AAAAAAALr0E/eSEch24cnFQDQcxr5Jtb5xvTxRNoI2EvgCLcBGAsYHQ/s72-c/EDdEGvdWwAEj_j9-660x400.jpg)
LAZIMA TUJITAFAKARI TUNATAKA KUISHI NA CORONA KWA STAILI GANI? ...TUNAJISAHAU
Na Zainab Nyamka-Michuzi TV
IKIWA zimepita siku kadhaa toka itangazwe kwamba maambukizi ya virusi vya Corona nchini kupungua, tumeanza kushuhudia Watanzania waanza kuishi maisha yale yale...
Sijui ni nani ameturoga sisi watanzania, ina maana tumeshasahau? Au tunaendelea kuamini kuwa hautatupata tena?
Kauli ya Rais Dkt.John Magufuli iheshimiwe na kutekelezwa ila tusisahau wajibu wetu kama wananchi watiifu kwake.Ni sawa maambukizi ya Corona yameoungua lakini tuendelee kujikinga kwani ugonjwa upo...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-anJearEjYck/XuqIgOroXxI/AAAAAAAAdMs/GO3YmnfiP4gMjmBikfi8qone_Ew1aCiWwCLcBGAsYHQ/s72-c/Usalama-2.jpg)
TUNATAKA MABADILIKO SHERIA YA USALAMA BARABARANI.....!
![Usalama-2 Usalama-2](https://1.bp.blogspot.com/-anJearEjYck/XuqIgOroXxI/AAAAAAAAdMs/GO3YmnfiP4gMjmBikfi8qone_Ew1aCiWwCLcBGAsYHQ/s400/Usalama-2.jpg)
1. KUDHIBITI Mwendokasi (Speed) kwa kuweka alama za mwendo kikomo maeneo yenye halaiki, kama vile sokoni, mashuleni, na mijini; na kuweka tafsiri sahihi ya maana ya maeneo ya makazi.
2. Kuwafanya wote dereva na abiria wa Pikipiki avae Kofia ngumu (helmet), ili abiria asiyevaa kofia na ipo apigwe faini yeye mwenyewe;
3. Kuwafanya abiria wote kwenye gari wafunge mikanda (seat belts) na sio wa siti za mbele tu. Kwani ajali zinapotokea abiria wote wanapata madhara. Sheria itamke wazi kuwa abiria...
9 years ago
Raia Mwema19 Aug
TUNATAKA “mabadiliko” au MABADILIKO?
UPEPO wa mabadiliko nchini unaendelea kuvuma.
Lula wa Ndali Mwananzela
9 years ago
Raia Mwema23 Sep
Ni kweli tunataka mabadiliko lakini si haya ya kubambikiziwa
KATI ya vitu ambavyo sikuwa nimevitarajia muda huu wa kampeni ni kuwa ningekuwa miongoni mwa saut
Lula wa Ndali Mwananzela
9 years ago
Mtanzania09 Oct
Kingunge: Mabadiliko lazima
NA FREDY AZZAH, ARUSHA
MWANASIASA mkongwe nchini, Kingunge Ngombale Mwiru, jana kwa mara ya kwanza alipanda jukwaani kumnadi mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa na kusema mabadiliko ni lazima.
Kingunge aliyasema hayo jijini Arusha kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika viwanja vya Shule ya Msingi Sinoni.
Kingunge alihutubia huku mvua ikinyesha, lakini wananchi waliokuwa eneo hilo hawakuondoka.
“Historia yangu, nimeshiriki katika kuleta mabadiliko na...
10 years ago
Raia Tanzania09 Jul
Mabadiliko lazima kwa Rungwe mpya — Mwaitenda
MWANDISHI WETU
“JIMBO la Rungwe Magharibi hakuna ‘wakuja wala wafyeka msitu’ kila mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo ametoa mchango wa hali na mali kukijenga na kukitangaza chama hiki, hivyo mchango wa kila moja uheshimiwe.”
Ni kauli ya Ahobokile Mwaitenda (38), aliyetangaza kuwania ubunge katika jimbo hilo kwa tiketi ya Chadema katika mahojiano na Raia Tanzania.
Mwaitenda alitoa kauli hiyo kutokana na makala iliyowahi kuandikwa na gazeti dada ya hili...
9 years ago
Dewji Blog12 Sep
Mabadiliko boraa ndiyo wanainchi wanayohitaji na sio bora mabadiliko-Dkt Magufuli
![](http://2.bp.blogspot.com/-UwLK6fCowmI/VfMYWqj8AHI/AAAAAAAC-9U/RvDXxyZyNzs/s640/_MG_5213.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-V3NXh4LQFcI/VfMYKjOzTtI/AAAAAAAC-9E/NPLO1xXAxGE/s640/_MG_5242.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UwLK6fCowmI/VfMYWqj8AHI/AAAAAAAC-9U/RvDXxyZyNzs/s72-c/_MG_5213.jpg)
DKT MAGUFULI ALIVYOITEKA MUSOMA, ASEMA MABADILIKO BORA NDIYO WANAINCHI WANAYOHITAJI NA SIO BORA MABADILIKO
![](http://2.bp.blogspot.com/-UwLK6fCowmI/VfMYWqj8AHI/AAAAAAAC-9U/RvDXxyZyNzs/s640/_MG_5213.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-V3NXh4LQFcI/VfMYKjOzTtI/AAAAAAAC-9E/NPLO1xXAxGE/s640/_MG_5242.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UwLK6fCowmI/VfMYWqj8AHI/AAAAAAAC-9U/RvDXxyZyNzs/s72-c/_MG_5213.jpg)
MABADILIKO BORA NDIYO WANAINCHI WANAYOHITAJI NA SIO BORA MABADILIKO-DKT MAGUFULI
![](http://2.bp.blogspot.com/-UwLK6fCowmI/VfMYWqj8AHI/AAAAAAAC-9U/RvDXxyZyNzs/s640/_MG_5213.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6tB5GfgHDpE/VfMY1jMfO5I/AAAAAAAC-9s/7u7KRNpoCzQ/s640/_MG_5246.jpg)