Ni kweli tunataka mabadiliko lakini si haya ya kubambikiziwa
KATI ya vitu ambavyo sikuwa nimevitarajia muda huu wa kampeni ni kuwa ningekuwa miongoni mwa saut
Lula wa Ndali Mwananzela
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo20 Mar
CCM-Tunataka serikali mbili lakini hatulazimishi
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesisitiza msimamo wake kuhusu muundo wa Muungano ni serikali mbili, lakini ikiwa wananchi wataamua vinginevyo katika mchakato unaoendelea, wataheshimu uamuzi. Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye leo aliwaambia waandishi wa habari kuwa, CCM inaendelea kuamini katika Muungano wa Serikali mbili na itasimamia hilo ingawa haimlazimishi mtu, taasisi wala chama chochote kuamini katika msimamo huo.
10 years ago
Tanzania Daima17 Aug
Tunataka tusitake mabadiliko ni lazima
ASILIMIA kubwa ya Watanzania na hasa vijana wa mijini na vijijini wanataka mabadiliko. Kwa vile mabadiliko ni ya aina nyingi, ni muhimu kusisitiza kwamba mjadala wetu umejikita zaidi kwenye mabadiliko...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-anJearEjYck/XuqIgOroXxI/AAAAAAAAdMs/GO3YmnfiP4gMjmBikfi8qone_Ew1aCiWwCLcBGAsYHQ/s72-c/Usalama-2.jpg)
TUNATAKA MABADILIKO SHERIA YA USALAMA BARABARANI.....!
![Usalama-2 Usalama-2](https://1.bp.blogspot.com/-anJearEjYck/XuqIgOroXxI/AAAAAAAAdMs/GO3YmnfiP4gMjmBikfi8qone_Ew1aCiWwCLcBGAsYHQ/s400/Usalama-2.jpg)
1. KUDHIBITI Mwendokasi (Speed) kwa kuweka alama za mwendo kikomo maeneo yenye halaiki, kama vile sokoni, mashuleni, na mijini; na kuweka tafsiri sahihi ya maana ya maeneo ya makazi.
2. Kuwafanya wote dereva na abiria wa Pikipiki avae Kofia ngumu (helmet), ili abiria asiyevaa kofia na ipo apigwe faini yeye mwenyewe;
3. Kuwafanya abiria wote kwenye gari wafunge mikanda (seat belts) na sio wa siti za mbele tu. Kwani ajali zinapotokea abiria wote wanapata madhara. Sheria itamke wazi kuwa abiria...
9 years ago
Raia Mwema19 Aug
TUNATAKA “mabadiliko” au MABADILIKO?
UPEPO wa mabadiliko nchini unaendelea kuvuma.
Lula wa Ndali Mwananzela
9 years ago
Raia Mwema04 Nov
Ni kweli Rais huchaguliwa na Mungu lakini …
WAKATI tukisubiri majibu ya Uchaguzi Mkuu ili kumfahamu nani ataibuka rais wa taifa letu kwa awam
Privatus Karugendo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KhhA6XZToLo4*hRp0bi-s-bYdVOB8OaZbiv714gEXMP1*PLTiyJLfETSwh9KON93ZTlQOtZm8IOy3lRDuZ4rNTJIFR1dbHkr/Untitled1.jpg?width=650)
NI VYA KIPUUZI KWELI LAKINI VINA MAANA KUBWA KWENYE MAPENZI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UQSvRDwuxJKW4B*dqo00Kia0ZyDDtxLbi1A2oI2aRSQ07iElhrv3ycKkjQdYqqIXSEqAyNSW7XohW6SzCSyCUEETp46tukOZ/1.jpg?width=650)
NI VYA KIPUUZI KWELI LAKINI VINA MAANA KUBWA KWENYE MAPENZI-2
9 years ago
MillardAyo15 Dec
Inawezekana na gari lako ni Passo lakini halivutii kama haya mengine 6
Wanasema gari ni mtu mwenyewe, katika utafiti wa harakaharaka wa macho nimegundua miongoni mwa magari mengi yanayotumika na Watanzania sasa hivi ni pamoja na Passo ambayo inasifika kwa kuwa na nafasi nzuri ndani lakini pia utumiaji wa mafuta ni mdogo, vilevile spea kupatikana ni rahisi. Pamoja na kwamba unaweza kufurahi umepata gari ambalo halitumii sana […]
The post Inawezekana na gari lako ni Passo lakini halivutii kama haya mengine 6 appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MichuziMCHAGUENI DKT MAGUFULI NDIYE ATAKAYEWEZA KULETA MABADILIKO YA KWELI-KINANA