Ni kweli Rais huchaguliwa na Mungu lakini …
WAKATI tukisubiri majibu ya Uchaguzi Mkuu ili kumfahamu nani ataibuka rais wa taifa letu kwa awam
Privatus Karugendo
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Tanzania13 Aug
Rais huchaguliwa kwa kura, si maandamano
MAANDALIZI ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania mwaka huu ni ya kipekee kutokana na kupambwa na mbwembwe nyingi ikiwamo misafara na maandamano makubwa ya wagombea urais. Ni jambo la kujivunia kuona kwamba wananchi wengi wameonyesha mwamko mkubwa wa ushabiki wa kisiasa.
Hadi sasa dalili za awali zinaonyesha kwamba ushindani mkubwa wa kinyang’anyiro cha urais utakuwa kati ya Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Waziri wa Ujenzi, Dk....
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oj4MhhoM4fSGurTUrl9GFC-*m8GxKXkmpzr8zS*QE5Gk0QPPsJ7X60uM4haJIgxhe9r81L1MsJyL2vNSt-dI-S-YZ3TjHqam/FRONTUWAZI80.jpg?width=650)
KWELI MUNGU MKUBWA!
9 years ago
Raia Mwema23 Sep
Ni kweli tunataka mabadiliko lakini si haya ya kubambikiziwa
KATI ya vitu ambavyo sikuwa nimevitarajia muda huu wa kampeni ni kuwa ningekuwa miongoni mwa saut
Lula wa Ndali Mwananzela
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KhhA6XZToLo4*hRp0bi-s-bYdVOB8OaZbiv714gEXMP1*PLTiyJLfETSwh9KON93ZTlQOtZm8IOy3lRDuZ4rNTJIFR1dbHkr/Untitled1.jpg?width=650)
NI VYA KIPUUZI KWELI LAKINI VINA MAANA KUBWA KWENYE MAPENZI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UQSvRDwuxJKW4B*dqo00Kia0ZyDDtxLbi1A2oI2aRSQ07iElhrv3ycKkjQdYqqIXSEqAyNSW7XohW6SzCSyCUEETp46tukOZ/1.jpg?width=650)
NI VYA KIPUUZI KWELI LAKINI VINA MAANA KUBWA KWENYE MAPENZI-2
11 years ago
Michuzi06 May
10 years ago
Bongo508 Nov
Sitti Mtemvu: Nalivua taji nililopewa na binadamu lakini alilonipa Mwenyezi Mungu bado analo
9 years ago
Mwananchi18 Dec
Hongera Rais, lakini sasa jenga mfumo
10 years ago
Mtanzania19 Jan
‘Tunataka rais mwenye hofu ya Mungu’
Na Debora Sanja, Dodoma
MAKAMU wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal, amewataka Watanzania kuhakikisha rais watakayemchagua katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, lazima awe na hofu ya Mungu.
Dk. Bilal, alitoa kauli hiyo mjini Dodoma jana, wakati akizungumza katika hafla ya kusimikwa kwa Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dodoma, Beatus Kinyaiya.
Alisema kiongozi huyo, mbali na kuwa na hofu ya Mungu, lazima pia aweze kuongoza nchi bila kuwa na ubaguzi wa aina yoyote.
“Wakati tunapoelekea katika...