Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ni kweli Rais huchaguliwa na Mungu lakini …

WAKATI tukisubiri majibu ya Uchaguzi Mkuu ili kumfahamu nani ataibuka rais wa taifa letu kwa awam

Privatus Karugendo

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Tanzania

Rais huchaguliwa kwa kura, si maandamano

MAANDALIZI ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania mwaka huu ni ya kipekee kutokana na kupambwa na mbwembwe nyingi ikiwamo misafara na maandamano makubwa ya wagombea urais. Ni jambo la kujivunia kuona kwamba wananchi wengi wameonyesha mwamko mkubwa wa ushabiki wa kisiasa.

 Hadi sasa dalili za awali zinaonyesha kwamba ushindani mkubwa wa kinyang’anyiro cha urais utakuwa kati ya Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Waziri wa Ujenzi, Dk....

 

10 years ago

GPL

KWELI MUNGU MKUBWA!

Na Waandishi Wetu, MWANZA HAKUNA neno jingine la kutumia zaidi ya kusema; KWELI MUNGU MKUBWA! Ni miezi mitano sasa imekatika tangu kusambaa kwa picha mitandaoni zilizomwonesha mwanaume mmoja akiwa ameshindiliwa sululu kichwani huku kisa kikiwa hakijulikani. Bw. Oka Kaombe akisimulia mkasa uliomkuta bara baada ya kupona majeraha ya sululu iliyozamishwa kichwani mwake.
Mbali na mitandao ya… ...

 

9 years ago

Raia Mwema

Ni kweli tunataka mabadiliko lakini si haya ya kubambikiziwa

KATI ya vitu ambavyo sikuwa nimevitarajia muda huu wa kampeni ni kuwa ningekuwa miongoni mwa saut

Lula wa Ndali Mwananzela

 

10 years ago

GPL

NI VYA KIPUUZI KWELI LAKINI VINA MAANA KUBWA KWENYE MAPENZI

NI Jumamosi nyingine mpenzi msomaji wa Love Story tunakutana katika uwanja wetu wa kuzungumza masuala mbalimbali yahusuyo maisha ya uhusiano.Niwashukuru wote ambao mnaendelea kutuma ujumbe mfupi wa maandishi kuonesha mnanufaika na kile ambacho tunakijadili hapa kila Jumamosi. Mada ya leo hapo juu inajieleza. Kwenye maisha ya uhusiano wengi wetu tunafanya makosa kwa wapenzi wetu pasipo kujua kama tunawakosea.Binadamu tulivyoumbwa...

 

10 years ago

GPL

NI VYA KIPUUZI KWELI LAKINI VINA MAANA KUBWA KWENYE MAPENZI-2

NI wiki nyingine tena mpenzi msomaji tunakutana katika safu hii ambapo tunaendelea na mada hii ambayo tuliianza wiki iliyopita, songa nayo ujifunze mengi. MSIFIE PALE ANAPOPENDEZA
Hakuna kitu kizuri kama kumwambia mpenzi wako ‘umependeza’ pale anapokuwa amependeza. Kauli hiyo itamfanya ajione thamani yake. Itamfanya ajue kwamba ili uweze kumwambia amependeza, anatakiwa avae mavazi ya aina gani. Asikwambie mtu,...

 

10 years ago

Bongo5

Sitti Mtemvu: Nalivua taji nililopewa na binadamu lakini alilonipa Mwenyezi Mungu bado analo

Sitti Mtemvu amesema amejivua taji la Miss Tanzania 2014 alilopewa na binadamu lakini anaamini lile alilopewa na Mwenyezi Mungu bado analo. Sitti amelivua taji hilo baada ya kuiandikia barua kamati ya Miss Tanzania, November 5 mwaka huu, kuhusiana na uamuzi wake huo. Mrembo huyo alikuwa akikabiliwa na shutuma za kudanganya umri wake, jambo ambalo lilililazimu […]

 

9 years ago

Mwananchi

Hongera Rais, lakini sasa jenga mfumo

Rais John Magufuli juzi alitengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Dk Edward Hoseah akieleza kuwa hajaridhishwa na utendaji wake hasa katika suala la upotevu wa makontena ambao umeisababishia Serikali kupoteza mapato.

 

10 years ago

Mtanzania

‘Tunataka rais mwenye hofu ya Mungu’

Pg 1Na Debora Sanja, Dodoma
MAKAMU wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal, amewataka Watanzania kuhakikisha rais watakayemchagua katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, lazima awe na hofu ya Mungu.
Dk. Bilal, alitoa kauli hiyo mjini Dodoma jana, wakati akizungumza katika hafla ya kusimikwa kwa Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dodoma, Beatus Kinyaiya.
Alisema kiongozi huyo, mbali na kuwa na hofu ya Mungu, lazima pia aweze kuongoza nchi bila kuwa na ubaguzi wa aina yoyote.
“Wakati tunapoelekea katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani