Sitti Mtemvu: Nalivua taji nililopewa na binadamu lakini alilonipa Mwenyezi Mungu bado analo
Sitti Mtemvu amesema amejivua taji la Miss Tanzania 2014 alilopewa na binadamu lakini anaamini lile alilopewa na Mwenyezi Mungu bado analo. Sitti amelivua taji hilo baada ya kuiandikia barua kamati ya Miss Tanzania, November 5 mwaka huu, kuhusiana na uamuzi wake huo. Mrembo huyo alikuwa akikabiliwa na shutuma za kudanganya umri wake, jambo ambalo lilililazimu […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL13 Oct
SITTI MTEMVU ALIVYOTWAA TAJI LA MISS TANZANIA 2014
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MISS TANZANIA 2014, SITTI MTEMVU AJIVUA TAJI
10 years ago
Tanzania Daima09 Nov
Sitti Mtemvu avua taji Redd’s Miss Tanzania
REDD’S Miss Tanzania Sitti Abbas Mtemvu ameamua kuvua taji la Redds Miss Tanzania alilovikwa usiku wa Oktoba 11 mwaka huu katika Ukumbi wa Mliamani City, jijini Dar es Salaam. Katika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DkRfQoehpOrQSv8I2weOw-sIRAgZmBmZYwd8-HA8YCk-W0VXvEiRdWl4PgJn1WY0v*b8AHpg2ydxWt0Y3fehZnToQ*LArB3U/1.jpg)
SITTI MTEMVU AVISHWA TAJI LA MISS TANZANIA 2014
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Dy9ynGgwNlQix8gYlXT*181j-yqQkKAHdGTfSIqi1-f72rOWR-ppDQ5ET9ND8gslO24mjCQqkZtCL-2Xkz2FrOye8ZHhyQc7/breakingnews.gif)
SITTI MTEMVU ATWAA TAJI LA MISS TANZANIA 2014
10 years ago
Tanzania Daima13 Oct
Sitti Mtemvu atwaa taji la Redd’s Miss Tanzania 2014
MREMBO Sitti Abbas Mtemvu kutoka Temeke, juzi usiku alitwaa taji la Redd’s Miss Tanzania 2014, baada ya kuibuka kidedea katika fainali za shindano hilo lililofanyika ukumbi wa Mlimani City, jijini...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-tK7x5nteWDQ/VEwIdP5QkgI/AAAAAAADKkc/t0kYCCkDwkQ/s72-c/sitti2.jpg)
Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu, aamua kujivua taji mwenyewe
10 years ago
Bongo525 Oct
Sitti Mtemvu alidanganya umri, vielelezo vinamsuta, uwezekano wa kuvuliwa taji ni 100%
10 years ago
Bongo508 Nov
Picha: Lillian Kamanzima aahidi makubwa baada ya kuchukua taji la Sitti Mtemvu