Picha: Lillian Kamanzima aahidi makubwa baada ya kuchukua taji la Sitti Mtemvu
Aliyekuwa mshindi wa pili kwenye shindano la Miss Tanzania 2014, Lillian Kamazima amekabidhiwa taji la Miss Tanzania 2014 na kamati ya Miss Tanzania baada ya Sitti Mtevu kujivua. Miss Tanzania Lillian Kamazima akizungumza na waandishi wa habari Akizungumza na waandishi wa habari leo katika mkutano uliyofanyikia kwenye hoteli ya JB Belmont jijini Dar es Salaam, […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
SITTI MTEMVU AVISHWA TAJI LA MISS TANZANIA 2014
10 years ago
GPL
MISS TANZANIA 2014, SITTI MTEMVU AJIVUA TAJI
11 years ago
GPL13 Oct
SITTI MTEMVU ALIVYOTWAA TAJI LA MISS TANZANIA 2014
10 years ago
Tanzania Daima09 Nov
Sitti Mtemvu avua taji Redd’s Miss Tanzania
REDD’S Miss Tanzania Sitti Abbas Mtemvu ameamua kuvua taji la Redds Miss Tanzania alilovikwa usiku wa Oktoba 11 mwaka huu katika Ukumbi wa Mliamani City, jijini Dar es Salaam. Katika...
11 years ago
GPL
SITTI MTEMVU ATWAA TAJI LA MISS TANZANIA 2014
11 years ago
Tanzania Daima13 Oct
Sitti Mtemvu atwaa taji la Redd’s Miss Tanzania 2014
MREMBO Sitti Abbas Mtemvu kutoka Temeke, juzi usiku alitwaa taji la Redd’s Miss Tanzania 2014, baada ya kuibuka kidedea katika fainali za shindano hilo lililofanyika ukumbi wa Mlimani City, jijini...
11 years ago
Vijimambo
Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu, aamua kujivua taji mwenyewe
11 years ago
Bongo525 Oct
Sitti Mtemvu alidanganya umri, vielelezo vinamsuta, uwezekano wa kuvuliwa taji ni 100%
11 years ago
Vijimambo
HASHIM LUNDENGA AKANUSHA HABARI ZA SITTI MTEMVU aka MISS TANZANIA KUJIVUA TAJI.

Uvumi wa Sitti kuvua taji hilo umetokana na taarifa zilizotolewa kupitia akaunti ya Facebook mrembo huyo anayelalamikiwa kughushi vyeti vya kuzaliwa, akisema kutokana na vidole vya lawama anavyooshewa kiasi cha kuosa amani,...