Rais huchaguliwa kwa kura, si maandamano
MAANDALIZI ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania mwaka huu ni ya kipekee kutokana na kupambwa na mbwembwe nyingi ikiwamo misafara na maandamano makubwa ya wagombea urais. Ni jambo la kujivunia kuona kwamba wananchi wengi wameonyesha mwamko mkubwa wa ushabiki wa kisiasa.
Hadi sasa dalili za awali zinaonyesha kwamba ushindani mkubwa wa kinyang’anyiro cha urais utakuwa kati ya Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Waziri wa Ujenzi, Dk....
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Mwema04 Nov
Ni kweli Rais huchaguliwa na Mungu lakini …
WAKATI tukisubiri majibu ya Uchaguzi Mkuu ili kumfahamu nani ataibuka rais wa taifa letu kwa awam
Privatus Karugendo
9 years ago
StarTV06 Nov
Wakazi Longido washerehekea kwa maandamano ya amani kuapishwa rais Magufuli
Wakazi wa mkoa wa Arusha wamesherehekea kwa namna mbalimbali kuapishwa kwa Rais mpya wa Tanzania Dakta John Pombe Magufuli, ambapo huko Wilayani Longido eneo la mpakani mwa Tanzania na Kenya, wafugaji wa jamii ya kimaasai wamefanya maandamano ya amani kumpongeza kiongozi huyo. Kituo hiki kimefika katika maeneo mbalimbali ya Longido na kushuhudia wananchi wakiwa wanafuatilia matangazo ya moja kwa moja yaliyokuwa yakirushwa na vituo mbalimbali vya televisheni kutoka uwanja wa Taifa Jijini Dar...
9 years ago
BBCSwahili30 Oct
Maandamano Haiti kuhusu wizi wa kura za urais
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/HlyKQC6Okzw/default.jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar15 Oct
Mbowe Amjibu Rais Kikwete Kuhusu Idadi ya Wapiga Kura na Zuio la Wananchi Kulinda Kura Vituoni
Mwenyekiti wa Chadema, Mh Freeman Thursday, October 15, 2015 Mwenyekiti wa Chadema, mh Freeman Mbowe amemtaka Rais Kikwete kutovuruga amani ya nchi na badala yake amemtaka aondoke madarakani na kuiacha nchi ikiwa salama. Mbowe alitoa kauli […]
The post Mbowe Amjibu Rais Kikwete Kuhusu Idadi ya Wapiga Kura na Zuio la Wananchi Kulinda Kura Vituoni appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
VijimamboRais Kikwete ajiandikisha Kupiga kura kwa kutumia BVR Msoga leo
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-f4abLxE1Pt0/VebLc6C5jiI/AAAAAAAH1ww/vbveGdyg4Mo/s72-c/download.jpg)
KUCHAMGUA RAIS DINI NA UTAJIRI SI VIGEZO MUHIMU KWA WAPIGA KURA DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-f4abLxE1Pt0/VebLc6C5jiI/AAAAAAAH1ww/vbveGdyg4Mo/s320/download.jpg)
Matokeo haya yametolewa na Twaweza kwenye muhtasari wa utafiti wenye jina la Je, Wanajua? Takwimu kuhusu uelewa wa wapiga kura. Muhtasari umetokana na Sauti za Wananchi,...
10 years ago
BBCSwahili26 Apr
Maandamano yazuka dhidi ya rais Burundi
10 years ago
BBCSwahili21 May
Burundi: rais aonekana akicheza licha ya maandamano