Wakazi Longido washerehekea kwa maandamano ya amani kuapishwa rais Magufuli
Wakazi wa mkoa wa Arusha wamesherehekea kwa namna mbalimbali kuapishwa kwa Rais mpya wa Tanzania Dakta John Pombe Magufuli, ambapo huko Wilayani Longido eneo la mpakani mwa Tanzania na Kenya, wafugaji wa jamii ya kimaasai wamefanya maandamano ya amani kumpongeza kiongozi huyo. Kituo hiki kimefika katika maeneo mbalimbali ya Longido na kushuhudia wananchi wakiwa wanafuatilia matangazo ya moja kwa moja yaliyokuwa yakirushwa na vituo mbalimbali vya televisheni kutoka uwanja wa Taifa Jijini Dar...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-BGclK02VcsI/VjvFdN8DBqI/AAAAAAAIEdk/EUh70hhjlaE/s640/j1.jpg)
HAFLA YA MCHAPALO (COCKTAIL PARTY) WA KUSHEREHEKEA KUAPISHWA KWA RAIS DK. MAGUFULI
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/mwPfXYEEryE/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-PiJUG1k8eHU/VjvJBBS2NaI/AAAAAAAIEh4/iPUigMuECb8/s72-c/j4.jpg)
HAFLA YA MCHAPALO (COCKTAIL PARTY) WA KUSHEREHEHEA KUAPISHWA KWA RAIS DKT MAGUFULI
![](http://2.bp.blogspot.com/-PiJUG1k8eHU/VjvJBBS2NaI/AAAAAAAIEh4/iPUigMuECb8/s640/j4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OdeDs3NfXn4/VjvLBP8KQwI/AAAAAAAIEjg/V3FbetKVVc0/s640/j5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Eu3NqRs9qsg/VjvMpvz3AgI/AAAAAAAIEk0/_rrWsyVNwco/s640/j6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ylgyM61Pknk/VjvGQ5WjUhI/AAAAAAAIEeQ/jD43al7C6yU/s640/j16.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PYgpuauzhPU/Xuw1t-nDWvI/AAAAAAALug0/OSHjJMNQffs8OWeNDtOKdpMNQTjBXYPYwCLcBGAsYHQ/s72-c/F87A4420-2-768x435.jpg)
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AMUWAKILISHA RAIS MAGUFULI KWENYE KUAPISHWA RAIS MPYA WA BURUNDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-PYgpuauzhPU/Xuw1t-nDWvI/AAAAAAALug0/OSHjJMNQffs8OWeNDtOKdpMNQTjBXYPYwCLcBGAsYHQ/s640/F87A4420-2-768x435.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Bujumbura Nchini Burundi kwa ajili ya kumuwaklilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kwenye shughuli ya kuapishwa Rais Mpya wa Burundi Mhe. Evariste Ndayishimiye leo Juni 18,2020. Kushoto ni Makamu wa Rais wa Burundi Mhe. Gasten Sindimwa.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/F87A4435-2-1024x600.jpg)
9 years ago
CCM Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-BGclK02VcsI/VjvFdN8DBqI/AAAAAAAIEdk/EUh70hhjlaE/s72-c/j1.jpg)
HAFLA YA MCHAPALO (COCKTAIL PARTY) WA KUSHEREHEHEA KUAPISHWA KWA RAIS DKT JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI
![](http://1.bp.blogspot.com/-BGclK02VcsI/VjvFdN8DBqI/AAAAAAAIEdk/EUh70hhjlaE/s640/j1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fVR6X_9naFk/VjvG8BgfcvI/AAAAAAAIEfE/OwnOs2yzKFU/s640/j2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0wCTSx1Bo-E/VjvILEfyaHI/AAAAAAAIEgg/8wDoy7L5xkw/s640/j3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-PiJUG1k8eHU/VjvJBBS2NaI/AAAAAAAIEh4/iPUigMuECb8/s640/j4.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xblQYeTELv8/XqcrZwO73OI/AAAAAAALoZs/isrh0B5HreEyiZwA9QWaYJ5nyR9zGBwiwCLcBGAsYHQ/s72-c/4-4-1024x944.jpg)
TAASISI YA AMANI KWA WAISLAMU TANZANIA YAMPONGEZA RAIS MAGUFULI MAPAMBANO DHIDI YA CORON, YATOA RAI KWA WANANCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-xblQYeTELv8/XqcrZwO73OI/AAAAAAALoZs/isrh0B5HreEyiZwA9QWaYJ5nyR9zGBwiwCLcBGAsYHQ/s400/4-4-1024x944.jpg)
TAASISI ya Amani kwa Waislamu Tanzania (TIPF) kupitia Mwenyekiti wake Sadiki Godigodi imeipongeza hotuba ya Rais Dk. John Magufuli ambayo ameitoa siku za karibuni kuhusu hali halisi ya janga la ugonjwa wa Covid-19 nchini.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti huyo ni kwamba hotuba ya Rais Magufuli imejaa matumaini hususn katika matumizi ya dawa za kujifukiza huku akiwataka wataalamu wa kitaifa na kimataifa kuhakikisha wanafanyia kazi dawa hizo za asili zilizoonesha matumaini...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cDEmeB8bWGRty6pSv7bb1n-NdJOTCkyWYJDj9BFjcdV0sU-MHFx3*-rk-mWbZGjcKEh6oQrBSe5OY-AN6ENWkAtHo2VfgStq/18795_1018344841509273_755717327467522337_n.jpg?width=750)
RAIS MTEULE JOHN POMBE MAGUFULI KUAPISHWA LEO
9 years ago
Dewji Blog03 Nov
Mazoezi ya kuapishwa kuwa Rais Dk Magufuli yapamba moto Dar
Kibanda cha kitakachotumika wakati wa kuapishwa kwa Rais Mteule, Dk John Magufuli kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kesho kutwa kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.(PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG).
Askari wa Jeshi la Wananchi akiigiza kama Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini, Jenerali Davis Mwamunyange na mwingine akiigiza kama Rais anayemaliza muda wake, Jakaya Kikwete wakati wa mazoezi ya sherehe za kuapishwa Rais wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-ZP3-TuKZ4j4/ViKSeKIoqzI/AAAAAAABnVY/HwAo-JQIbSs/s72-c/IMG_3426.jpg)
WAKAZI WA JIJI LA MWANZA WAIPOKEA CCM KWA MIKONO MIWILI, WASEMA MAGUFULI NI RAIS AJAYE
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZP3-TuKZ4j4/ViKSeKIoqzI/AAAAAAABnVY/HwAo-JQIbSs/s640/IMG_3426.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-N4OFXUyGH8I/ViJyWRLai6I/AAAAAAABnT8/0T9IUSrEqag/s640/IMG_3650.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hJ8S1nfzars/ViJyMWFwJjI/AAAAAAABnTs/cI5VWdnamrw/s640/IMG_3645.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-E9z_Kmcoiig/ViJy8-SFKjI/AAAAAAABnUs/kisPwdLu3SE/s640/IMG_3729.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10