MAGUFULI ASISITIZA JAMBO LA AMANI KWA WAKAZI WA KIMAMBA WILAYANI KILOSA
![](http://img.youtube.com/vi/mwPfXYEEryE/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/E0JutyU5NTw/default.jpg)
9 years ago
StarTV07 Oct
Magufuli asisitiza amani na utulivu kwa mkoa wa Arusha
Mgombea urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dokta John Magufuli ameonya kuwa kuendelea kwa vitendo vya vurugu mkoani Arusha huenda kukaharibu sifa ya mkoa huo ambao unaheshimika kitaifa na kimataifa.
Dokta Magufuli amesema heshima ya Mji huo imeifanya Tanzania kujulikana zaidi duniani kuwa nchi yenye amani na utulivu ingawa sasa vitendo vya vurugu mkoani humo vinahofiwa kuipoteza sifa hiyo.
Mbio za kuusaka urais kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM zimemfikisha Dokta John Magufuli katika...
9 years ago
StarTV06 Nov
Wakazi Longido washerehekea kwa maandamano ya amani kuapishwa rais Magufuli
Wakazi wa mkoa wa Arusha wamesherehekea kwa namna mbalimbali kuapishwa kwa Rais mpya wa Tanzania Dakta John Pombe Magufuli, ambapo huko Wilayani Longido eneo la mpakani mwa Tanzania na Kenya, wafugaji wa jamii ya kimaasai wamefanya maandamano ya amani kumpongeza kiongozi huyo. Kituo hiki kimefika katika maeneo mbalimbali ya Longido na kushuhudia wananchi wakiwa wanafuatilia matangazo ya moja kwa moja yaliyokuwa yakirushwa na vituo mbalimbali vya televisheni kutoka uwanja wa Taifa Jijini Dar...
10 years ago
Dewji Blog21 Jul
Magufuli azoa wanachama wapya alipokuwa akiwashukuru na kuwaaga wakazi wa Muganza wilayani Chato leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-GgLU7dnzPto/Va0Pu3sHDUI/AAAAAAAC81w/kJ7avus_Nnw/s640/_MG_8966.jpg)
Mgombea Urais kwa chama cha Mapinduzi CCM, Dkt. John Pombe Magufuli akipokea kadi za Wanachama wa vyama mbalimbali vya upinzani na kujiunga na CCM,jioni hii katika viwanja vya mji mdogo wa Muganza,wilayani Chato Mkoani Geita, Mh Magufuli amezoa wanachama wapya waliorudisha kadi zao wapatao zaidi ya 150.
![](http://4.bp.blogspot.com/-MDbAJFcfXQo/Va0PxW0goEI/AAAAAAAC814/_rpGkbaLch4/s640/_MG_8967.jpg)
Mgombea Urais kwa chama cha Mapinduzi CCM, Dkt. John Pombe Magufuli akipokea kadi za Wanachama wa vyama mbalimbali vya upinzani na kujiunga na CCM, jioni hii katika viwanja vya mji mdogo wa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GgLU7dnzPto/Va0Pu3sHDUI/AAAAAAAC81w/kJ7avus_Nnw/s72-c/_MG_8966.jpg)
MAGUFULI AZOA WANACHAMA WAPYA ALIPOKUWA AKIWASHUKURU NA KUWAAGA WAKAZI WA MJI MDOGO WA MUGANZA WILAYANI CHATO LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-GgLU7dnzPto/Va0Pu3sHDUI/AAAAAAAC81w/kJ7avus_Nnw/s640/_MG_8966.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MDbAJFcfXQo/Va0PxW0goEI/AAAAAAAC814/_rpGkbaLch4/s640/_MG_8967.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima26 Jan
Wakazi Kilosa hatarini kufa njaa
WAKAZI wa kata za Magole, Kitete na Msowero, Tarafa ya Magole wilayani Kilosa, Morogoro wanakabiliwa na njaa baada ya mazao yao kulishwa mifugo kusudi mashambani na kuharibiwa msimu wa mavuno...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cFSv-yJm2DTAbWDo8Za-TKdf5u7nC50pItGoaIVF0-849UFxdnQ6BRoAxlUgYS-MtUOJWMaBJzVd9phZUNZoAfre0P8xNU1E/BREAKING.gif)
AJALI YA BASI NA TRENI YAUA 5 NA KUJERUHI 24 WILAYANI KILOSA
10 years ago
VijimamboKIJIJI CHA GONGONI WILAYANI KILOSA WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
5 years ago
MichuziMAJALIWA AKAGUA UJENZI WA BARABARA YA MUDA KATIKA ENEO LA KIYEGEYA WILAYANI KILOSA