Wakazi Kilosa hatarini kufa njaa
WAKAZI wa kata za Magole, Kitete na Msowero, Tarafa ya Magole wilayani Kilosa, Morogoro wanakabiliwa na njaa baada ya mazao yao kulishwa mifugo kusudi mashambani na kuharibiwa msimu wa mavuno...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi17 Jul
Asilimia 51 ya watoto nchini hatarini kufa
11 years ago
Habarileo20 Feb
Kiwanda cha matunda Madeke hatarini kufa
KIWANDA cha kusindika matunda cha Madeke kilichozinduliwa miezi saba iliyopita na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kinaelekea kufa baada ya kukosa fedha za uendeshaji. Wakulima wa Wilaya ya Njombe kilipo kiwanda hicho wameeleza masikitiko yao wakisema hali hiyo itarudisha nyuma mwamko wao wa uzalishaji wa matunda.
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/mwPfXYEEryE/default.jpg)
9 years ago
Dewji Blog16 Sep
Zaidi ya wakazi 5,000 hatarini kukumbwa na magonjwa ya mlipuko
Choo cha muda kinachotumiwa na wanafunzi pamoja na walimu wa shule ya msingi TARU namba saba. (Picha zote na Jumbe Ismailly).
Baadhi ya wananchi wa kata ya Mang’onyi wakiwa kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni za uchaguzi mkuu kumnadi mgombea wa ubunge wa jimbo hilo.
Na Jumbe Ismailly, Ikungi
ZAIDI ya wakazi 5,000 wa Kijiji cha Sambaru,kata ya Mang’onyi,wilaya ya Ikungi,Mkoani Singida wamo hatarini kupatwa na magonjwa ya mlipuko kutokana na kujisaidia vichakani kwa kutokuwa na...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-gAIz8XA_emk/VYCd_2YMHjI/AAAAAAAAS1A/K0v8lGIEjWg/s72-c/IMG-20150615-WA0074.jpg)
MTIA NIA WA UBUNGE JIMBO LA KILOSA RAJAB MSABAHA KAUZELA AENDELEA NA ZIARA ZA UFUNGUZI WA MATAWI YA CHADEMA JIMBONI KILOSA
![](http://4.bp.blogspot.com/-gAIz8XA_emk/VYCd_2YMHjI/AAAAAAAAS1A/K0v8lGIEjWg/s640/IMG-20150615-WA0074.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--XIDaazNF0U/VYCd_wLt1cI/AAAAAAAAS1E/Js2vlgddoA0/s640/IMG-20150615-WA0076.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZNMbe4iXn5w/VYCd_0sKuuI/AAAAAAAAS1M/Xr64PHEa9Ks/s640/IMG-20150615-WA0083.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-r_in6x89OZs/VYCeEgAZ3xI/AAAAAAAAS1c/f8Gs5nkpu4k/s640/IMG-20150615-WA0075.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-euy7poih4kU/VYCeEz6OM4I/AAAAAAAAS14/cg4NKED40ow/s640/IMG-20150615-WA0078%2B%25281%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-REgLQL4rYXY/VYCeE7HF33I/AAAAAAAAS1Y/Dmkb8ST_Myo/s640/IMG-20150615-WA0089.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0xIWAU7wBws/VYCeFLH85WI/AAAAAAAAS1g/cyajnGWBahA/s640/IMG-20150615-WA0095.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--cEkomPKyGg/VYCeFQdG4eI/AAAAAAAAS1o/Uy7-Bh0b15U/s640/IMG-20150615-WA0099.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-SB79Pcj9q5M/VX2iLMTn1EI/AAAAAAAASxY/1EatthTluEc/s72-c/IMG-20150518-WA0004.jpg)
MTIA NIA WA UBUNGE JIMBO LA KILOSA KUPITIA CHADEMA NDUGU RAJAB MSABAHA KAUZELA AANZA RASMI SAFARI YAKE YA KUWAKOMBOA WANA-KILOSA
![](http://3.bp.blogspot.com/-SB79Pcj9q5M/VX2iLMTn1EI/AAAAAAAASxY/1EatthTluEc/s1600/IMG-20150518-WA0004.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2ip2ueH4r6o/VX2iMhBZwkI/AAAAAAAASxg/OXLcOEcJarI/s1600/IMG-20150614-WA0000.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vMBmd6X6jTg/VX2iP9ToCiI/AAAAAAAASxo/0DRLlJHZdk0/s1600/IMG-20150613-WA0023.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0cPmGNgf51M/VBNloT72_bI/AAAAAAACquM/1WIpqy1LTpo/s72-c/5.jpg)
WAKAZI WA SHINYANGA WAKUNWA NA UJIO WA TAMASHA LA FIESTA,LEO KUSAMBAZA UPENDO KWA WAKAZI WA GEITA
![](http://3.bp.blogspot.com/-0cPmGNgf51M/VBNloT72_bI/AAAAAAACquM/1WIpqy1LTpo/s1600/5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qvJtI-FXRpE/VBNpzXDxTgI/AAAAAAACquk/NcynDHmhNvE/s1600/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-txkv9zEdcDM/VBNp0e6MWFI/AAAAAAACqu0/xzNCMXQVVRg/s1600/4.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima11 Sep
Agizo la JK Kilosa laibua mapya
KAULI ya Rais Jakaya Kikwete aliyoitoa hivi karibuni kwa uongozi wa Wilaya ya Kilosa mkoani hapa kuhakikisha wamepima viwanja ndani ya wiki moja kuwagawia wahanga wa mafuriko na kuwasaidia ujenzi,...
10 years ago
Dewji Blog11 Sep
Wahanga wa Viwanja Kilosa kumwona JK
Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Jakaya Kikwete akizungumza na wananchi wa wilayani Kilosa mkoani Morogoro hivi karibuni.
Na Mwandishi wetu
KAULI ya Rais Jakaya Kikwete aliyoitoa hivi karibuni kwa uongozi wa Wilaya ya Kilosa mkoani humo kuhakikisha wamepima viwanja ndani ya wiki moja kuwagawia wahanga wa mafuriko na kuwasaidia ujenzi, limepuuzwa na kusababisha wahanga hao kukusudia kuonana naye.
Hata hivyo, uongozi wa Halmashauri akiwemo Mkurugenzi, Idd Mshili na Mwenyekiti, Ameir...