Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakazi Kilosa hatarini kufa njaa

WAKAZI wa kata za Magole, Kitete na Msowero, Tarafa ya Magole wilayani Kilosa, Morogoro wanakabiliwa na njaa baada ya mazao yao kulishwa  mifugo kusudi mashambani na kuharibiwa msimu wa mavuno...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Asilimia 51 ya watoto nchini hatarini kufa

Asilimia 51 ya watoto nchini imebainika hunyweshwa dawa zinazotibu ugonjwa wa malaria bila kuwa na ugonjwa huo.

 

11 years ago

Habarileo

Kiwanda cha matunda Madeke hatarini kufa

KIWANDA cha kusindika matunda cha Madeke kilichozinduliwa miezi saba iliyopita na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kinaelekea kufa baada ya kukosa fedha za uendeshaji. Wakulima wa Wilaya ya Njombe kilipo kiwanda hicho wameeleza masikitiko yao wakisema hali hiyo itarudisha nyuma mwamko wao wa uzalishaji wa matunda.

 

9 years ago

Dewji Blog

Zaidi ya wakazi 5,000 hatarini kukumbwa na magonjwa ya mlipuko

SAM_0061

Choo cha muda kinachotumiwa na wanafunzi pamoja na walimu wa shule ya msingi TARU namba saba. (Picha zote na Jumbe Ismailly).

SAM_0066

Baadhi ya wananchi wa kata ya Mang’onyi wakiwa kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni za uchaguzi mkuu kumnadi mgombea wa ubunge wa jimbo hilo.

Na Jumbe Ismailly, Ikungi            

ZAIDI ya wakazi 5,000 wa Kijiji cha Sambaru,kata ya Mang’onyi,wilaya ya Ikungi,Mkoani Singida wamo hatarini kupatwa na magonjwa ya mlipuko kutokana na kujisaidia vichakani kwa kutokuwa na...

 

10 years ago

Vijimambo

MTIA NIA WA UBUNGE JIMBO LA KILOSA RAJAB MSABAHA KAUZELA AENDELEA NA ZIARA ZA UFUNGUZI WA MATAWI YA CHADEMA JIMBONI KILOSA

Mwanachama wa CHADEMA akiandaa bendera tayari kwa ufunguzi wa Tawi la Chadema Jimboni KilosaMtia ni wa Ubunge Kilosa Ndugu Rajab Msabaha Kauzela akipandisha bendera kama ishara ya ufunguzi wa Tawi la Chadema katika mwendelezo wa ziara zake za ufunguzi wa matawi ili kujenga chama Jimboni KilosaWananchi waliofurika kushuhudia ufunguzi wa Tawi Jipya la Chadema moto wa gesi Jimboni KilosaNdugu Kauzela akihutubia wakazi wa Kilosa katika ufunguzi wa Tawi la CHADEMA Jimboni KilosaNdugu Kauzela...

 

10 years ago

Vijimambo

MTIA NIA WA UBUNGE JIMBO LA KILOSA KUPITIA CHADEMA NDUGU RAJAB MSABAHA KAUZELA AANZA RASMI SAFARI YAKE YA KUWAKOMBOA WANA-KILOSA

Rajab Msabaha Kauzela  mtia nia wa Ubunge Jimbo la Kilosa  ambaye pia alikuwa Katibu Mwenezi wa Tawi a CHADEMA Washington DCRajab Msabaha Kauzela (wa nne kutoka kushoto) akiwa na mnadhimu wa kambi ya upinzani ambaye pia ni mbunge wa Singida Mashariki Mh Tundu Lissu (wa tatu kutoka kushoto) pamoja na viongozi wengine wa chadema Morogoro.Rajab Msabaha Kauzela akiwahutubia wakazi wa Kilosa waliokusanyika kumsikiliza katika mkutano wa hadhara, akielezea mikakati yake endapo wana-Kilosa...

 

10 years ago

Michuzi

WAKAZI WA SHINYANGA WAKUNWA NA UJIO WA TAMASHA LA FIESTA,LEO KUSAMBAZA UPENDO KWA WAKAZI WA GEITA

Pichani kati msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka THT,Rachael akiwa na madansa wake wakilishambulia jukwaa kwa namna ya kipekee usiku huu kwenye tamasha la Fiesta ndani ya uwanja mdogo wa Kambarage mjini Shinyanga.Wasanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya,Ney Wa Mitego (pichani kulia) na Stamina wakilishambulia jukwaa kwa wimbo wao wa Huko Kwenu vipi,huku makele ya shangwe yakiwa yametawala kila kona ya uwanja mdogo wa Kambarage mjini Shinyanga usiku huu.Sehemu ya mashabiki wa Fiesta...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Agizo la JK Kilosa laibua mapya

KAULI ya Rais Jakaya Kikwete aliyoitoa hivi karibuni kwa uongozi wa Wilaya ya Kilosa mkoani hapa kuhakikisha wamepima viwanja ndani ya wiki moja kuwagawia wahanga wa mafuriko na kuwasaidia ujenzi,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wahanga wa Viwanja Kilosa kumwona JK

SAM_1377

Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Jakaya Kikwete akizungumza na wananchi wa wilayani Kilosa mkoani Morogoro hivi karibuni.

Na Mwandishi wetu

KAULI ya Rais Jakaya Kikwete aliyoitoa hivi karibuni kwa uongozi wa Wilaya ya Kilosa mkoani humo kuhakikisha wamepima viwanja ndani ya wiki moja kuwagawia wahanga wa mafuriko na kuwasaidia ujenzi, limepuuzwa na kusababisha wahanga hao kukusudia kuonana naye.

Hata hivyo, uongozi wa Halmashauri akiwemo Mkurugenzi, Idd Mshili na Mwenyekiti, Ameir...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani