Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


IMF:Tishio la kuzorota kiuchumi lapanda

Shirika la Fedha Duniani (IMF) limesema kuwa hatari ya kuzorota kwa uchumi duniani imeongezeka.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

IMF KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KUIMARISHA SERA ZA KIUCHUMI



 Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) (kulia) akipeana mkono na Mwakilishi Mkazi mpya wa Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) nchini Tanzania, Bw. Jens Reinke, aliefika Ofisi za Wizara ya Fedha na Mipango Jijini Dodoma kujitambulisha.Mtakwimu Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBC), Dkt. Albina Chuwa (kulia) akieleza...

 

11 years ago

BBCSwahili

Hofu ya hali kuzorota CAR

Afisaa mkuu wa UN ameitaka jamii ya kimataifa kuongeza juhudi kuisaidia Jamhuri ya Afrika ya Kati kabla ya hali kuzorota.

 

11 years ago

BBCSwahili

CAR:Usalama wazidi kuzorota yasema U.N

Mjumbe maalum wa Umoja wa Mataifa katika nchi ya Jamhuri ya Africa ya Kati, Generali Babacar Gaye amesema kuwa usalama umezorota.

 

10 years ago

Mwananchi

Joto la uchaguzi lapanda

>Joto la Uchaguzi Mkuu limezidi kupanda, baada ya baadhi ya vyama vya siasa kuanza harakati za kuwatafuta wagombea, wapigakura na mawakala katika majimbo mbalimbali nchini.

 

10 years ago

Mtanzania

Joto la urais lapanda Z’bar

HamadRashidMohammedNa Mwandfishi Wetu, Zanzibarr

JOTO la kuwania urais wa Zanzibar limezidi kupanda huku mgombe wa nafasi hiyo kupitia Chama cha ADC, Hamad Rashid Mohamesd  akijitosa kuchukua fomu ya kuwania nafasi hiyo.

Hamad ametamba kuwa anatarajia kufanya mageuzi makubwa ya kiuchumi na kuanzisha shirika jipya la ndege la Zanzibar iwapo wananchi watampigia kura kuwa Rais mpya katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.

Hamad alitoa msimamo huo jana mara baada ya kukabidhiwa fomu ya kuwania urais na Mwenyekiti...

 

11 years ago

Mwananchi

Joto uchaguzi Serikali za mitaa lapanda

Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) imetangaza ongezeko la idadi ya kata, vijiji, mitaa na vitongoji nchini vitakavyotumika kwa ajili ya uchaguzi serikali za mitaa, huku hatua hiyo ikiibua hoja miongoni mwa wanasiasa na wasomi.

 

11 years ago

Mwananchi

Gawio la hisa Twiga Cement lapanda kwa asilimia tano

Gawio la hisa kwa wanahisa wa Kampuni ya Saruji ya Twiga (TPCC) kwa mwaka 2013 limepanda kwa asilimia tano. Ongezeko hilo lilitangazwa na Mkurugenzi Mtendaji wa TPCC, Alfonso Rodriguez kwenye Mkutano Mkuu wa 22 wa Mwaka uliofanyika juzi jijini hapa.

 

11 years ago

Michuzi

KUNDI LA KWANZA LA WATALII WA NDANI MLIMA KILIMANJARO LAPANDA KILELE CHA SHIRA

Mabasi maalumu yanayotumika kupandisha watalii wa ndani yakiwa katika foleni tayari kwa safari ya kuelekea mlima Kilimanjaro katika kilele cha Shira. Watalii wa ndani wakipatiwa maelezo juu ya mlima Kilimanjaro kablaya kuanza safari ya kuelekea Kilele cha Shira. Watalii wa ndani wakiwa ndani ya basi kuelekea kilele cha Shira mlima Kilimanjaro.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani