Joto la uchaguzi lapanda
>Joto la Uchaguzi Mkuu limezidi kupanda, baada ya baadhi ya vyama vya siasa kuanza harakati za kuwatafuta wagombea, wapigakura na mawakala katika majimbo mbalimbali nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi19 Oct
Joto uchaguzi Serikali za mitaa lapanda
9 years ago
Mtanzania21 Aug
Joto la urais lapanda Z’bar
Na Mwandfishi Wetu, Zanzibarr
JOTO la kuwania urais wa Zanzibar limezidi kupanda huku mgombe wa nafasi hiyo kupitia Chama cha ADC, Hamad Rashid Mohamesd akijitosa kuchukua fomu ya kuwania nafasi hiyo.
Hamad ametamba kuwa anatarajia kufanya mageuzi makubwa ya kiuchumi na kuanzisha shirika jipya la ndege la Zanzibar iwapo wananchi watampigia kura kuwa Rais mpya katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.
Hamad alitoa msimamo huo jana mara baada ya kukabidhiwa fomu ya kuwania urais na Mwenyekiti...
10 years ago
BBCSwahili25 Mar
9 years ago
Bongo Movies23 Sep
Joto la Uchaguzi la Sababisha JB Kuomba Asitoe Filamu Kipindi Hiki
Muongozaji na muigizaji wa filamu hapa Bongo , Jacob Stephen ‘JB’ amewaomba wadau wa tasnia ya filamu kuwa filamu yake mpya ya Chungu cha Tatu iliyomshirikisha mwigizaji Wema Sepetu aitoebaada ya uchaguzi utakaofanyika mwezi ujao jakokuwa kwa sasa ipo tayari hii ni kutokana na upepowa uchaguzi kuvuma kwa kasi na kugawa mashabiki.
Kupitia ukurasa wake mtandaoni, JB alifunguka
Wadau filam yenu ua Chungu Cha Tatu ipo tayari, lakini kwa sababu joto la uchaguzi liko juu nilikuwa naomba kwa...
10 years ago
BBCSwahili15 Apr
IMF:Tishio la kuzorota kiuchumi lapanda
9 years ago
GPL21 Sep
11 years ago
Mwananchi01 May
Gawio la hisa Twiga Cement lapanda kwa asilimia tano
11 years ago
MichuziKUNDI LA KWANZA LA WATALII WA NDANI MLIMA KILIMANJARO LAPANDA KILELE CHA SHIRA
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Breaking News: Matokeo ya uchaguzi Zanzibar yamefutwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC na uchaguzi utarudiwa baada ya siku 90
Hii ni kutokana na takwimu za kisiwa cha Pemba zimekuwa ni tofauti na watu waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura ndio kitu kilichopelekea mashaka na kuahirisha uchaguzi.
Taarifa hiyo imedhibitishwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha (Pichani) katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde.