Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Joto la uchaguzi lapanda

>Joto la Uchaguzi Mkuu limezidi kupanda, baada ya baadhi ya vyama vya siasa kuanza harakati za kuwatafuta wagombea, wapigakura na mawakala katika majimbo mbalimbali nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Joto uchaguzi Serikali za mitaa lapanda

Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) imetangaza ongezeko la idadi ya kata, vijiji, mitaa na vitongoji nchini vitakavyotumika kwa ajili ya uchaguzi serikali za mitaa, huku hatua hiyo ikiibua hoja miongoni mwa wanasiasa na wasomi.

 

9 years ago

Mtanzania

Joto la urais lapanda Z’bar

HamadRashidMohammedNa Mwandfishi Wetu, Zanzibarr

JOTO la kuwania urais wa Zanzibar limezidi kupanda huku mgombe wa nafasi hiyo kupitia Chama cha ADC, Hamad Rashid Mohamesd  akijitosa kuchukua fomu ya kuwania nafasi hiyo.

Hamad ametamba kuwa anatarajia kufanya mageuzi makubwa ya kiuchumi na kuanzisha shirika jipya la ndege la Zanzibar iwapo wananchi watampigia kura kuwa Rais mpya katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.

Hamad alitoa msimamo huo jana mara baada ya kukabidhiwa fomu ya kuwania urais na Mwenyekiti...

 

10 years ago

BBCSwahili

Joto la Uchaguzi Nigeria

Joto la Uchaguzi limeikumba Nigeria siku chache kabla ya upigaji kura.

 

9 years ago

Bongo Movies

Joto la Uchaguzi la Sababisha JB Kuomba Asitoe Filamu Kipindi Hiki

Muongozaji na muigizaji wa filamu hapa Bongo , Jacob Stephen ‘JB’ amewaomba wadau  wa tasnia  ya filamu kuwa filamu yake mpya ya Chungu cha Tatu iliyomshirikisha mwigizaji Wema Sepetu  aitoebaada ya uchaguzi utakaofanyika mwezi ujao jakokuwa kwa sasa ipo tayari hii ni kutokana na upepowa uchaguzi kuvuma kwa kasi na kugawa mashabiki.

Kupitia ukurasa wake mtandaoni, JB alifunguka

Wadau filam yenu ua Chungu Cha Tatu ipo tayari, lakini kwa sababu joto la uchaguzi liko juu nilikuwa naomba kwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

IMF:Tishio la kuzorota kiuchumi lapanda

Shirika la Fedha Duniani (IMF) limesema kuwa hatari ya kuzorota kwa uchumi duniani imeongezeka.

 

11 years ago

Mwananchi

Gawio la hisa Twiga Cement lapanda kwa asilimia tano

Gawio la hisa kwa wanahisa wa Kampuni ya Saruji ya Twiga (TPCC) kwa mwaka 2013 limepanda kwa asilimia tano. Ongezeko hilo lilitangazwa na Mkurugenzi Mtendaji wa TPCC, Alfonso Rodriguez kwenye Mkutano Mkuu wa 22 wa Mwaka uliofanyika juzi jijini hapa.

 

11 years ago

Michuzi

KUNDI LA KWANZA LA WATALII WA NDANI MLIMA KILIMANJARO LAPANDA KILELE CHA SHIRA

Mabasi maalumu yanayotumika kupandisha watalii wa ndani yakiwa katika foleni tayari kwa safari ya kuelekea mlima Kilimanjaro katika kilele cha Shira. Watalii wa ndani wakipatiwa maelezo juu ya mlima Kilimanjaro kablaya kuanza safari ya kuelekea Kilele cha Shira. Watalii wa ndani wakiwa ndani ya basi kuelekea kilele cha Shira mlima Kilimanjaro.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

9 years ago

Dewji Blog

Breaking News: Matokeo ya uchaguzi Zanzibar yamefutwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC na uchaguzi utarudiwa baada ya siku 90

am4

Hii ni kutokana na takwimu za kisiwa cha Pemba zimekuwa ni tofauti na watu waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura ndio kitu kilichopelekea mashaka na kuahirisha uchaguzi.

Taarifa hiyo imedhibitishwa na Mwenyekiti  wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha (Pichani) katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani