Joto la Uchaguzi la Sababisha JB Kuomba Asitoe Filamu Kipindi Hiki
Muongozaji na muigizaji wa filamu hapa Bongo , Jacob Stephen ‘JB’ amewaomba wadau wa tasnia ya filamu kuwa filamu yake mpya ya Chungu cha Tatu iliyomshirikisha mwigizaji Wema Sepetu aitoebaada ya uchaguzi utakaofanyika mwezi ujao jakokuwa kwa sasa ipo tayari hii ni kutokana na upepowa uchaguzi kuvuma kwa kasi na kugawa mashabiki.
Kupitia ukurasa wake mtandaoni, JB alifunguka
Wadau filam yenu ua Chungu Cha Tatu ipo tayari, lakini kwa sababu joto la uchaguzi liko juu nilikuwa naomba kwa...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPLTASWILA BAADHI YA MADUKA YA KARIAKOO KATIKA KIPINDI HIKI CHA UCHAGUZI
9 years ago
Dewji Blog14 Aug
Mfugale: “Waandishi jiepusheni na ushabiki wa kisiasa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu”
Baadhi ya waandishi wa habari kutoka mikoa ya Singida, Kigoma, Katavi, Tabora na Shinyanga, wanaohudhuria mafunzo ya siku tano ya uandishi bora wa uchaguzi yanayoendelea kwenye hotel ya Vigimark nje kidogo ya mji wa Shinyanga.(Picha na Nathaniel Limu).
Mkufunzi Deodatus Mfugale, akitoa mada yake ya daftari la kudumu la wapiga kura kwenye mafunzo ya uandishi bora wa habari za uchaguzi yanayoendelea kwenye hotel ya Vigimark nje kidogo ya mji wa Shinyanga.
Na Nathaniel Limu,...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3kZD672co6w/VcW2rDGK7yI/AAAAAAAC9cs/-D9xzNpsdKM/s72-c/_MG_3326.jpg)
MAGUFULI AWATAKA WANA CCM KUSHIKAMANA NA KUWA WAMOJA HASA KIPINDI HIKI CHA UCHAGUZI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-3kZD672co6w/VcW2rDGK7yI/AAAAAAAC9cs/-D9xzNpsdKM/s640/_MG_3326.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--X4-_THewSc/VcW2rqCVoKI/AAAAAAAC9ck/UxO4hIOghF4/s640/_MG_3338.jpg)
9 years ago
Bongo530 Sep
Ben Pol ataja sababu 3 za kuachia wimbo mpya katika kipindi hiki cha uchaguzi
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-AR-hRWEL2bQ/VfQN02J9daI/AAAAAAAH4No/U4Nv6s1YiaE/s72-c/New%2BPicture.png)
BASATA YAONYA LUGHA CHAFU, MAADILI HUSUSAN KATIKA KIPINDI HIKI CHA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-AR-hRWEL2bQ/VfQN02J9daI/AAAAAAAH4No/U4Nv6s1YiaE/s320/New%2BPicture.png)
Lugha hiyo chafu ambayo inajidhihirisha kwa matusi ya wazi, maneno ya uchochezi, kashfa, kejeli, dharau na udhalilishaji wa kada mbalimbali za kijamii wakiwemo viongozi wa kitaifa inaonesha wazi kulenga katika kuigawa jamii na kufifisha...
9 years ago
Vijimambo02 Sep
UJUMBE WANGU KWA WAANDISHI WA HABARI TANZANIA KATIKA KUELEKEA KIPINDI HIKI CHA UCHAGUZI MKUU OCTOBER 25
![](https://fbcdn-photos-b-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t1.0-0/p206x206/11051210_912080395509439_5714058352690894029_n.jpg?oh=e66a17a0012cd76d268bf8b7c226d3ea&oe=56ABE6ED&__gda__=1451464971_71e7e2b7f6402c1f843658bd47b2daf1)
Kalamu yangu mdomo wangu leo nataka nizungumze na wanahabari wenzangu waandishi na wataangazaji pia nataka mjue kwambaa karama hii au kipaji hiki tumepewa sio kwamba sisi tulistahili sana kuliko wengine hapana ni kwamba tuliaminiwa kwamba tunaweza kutumia midomo yetu na kalamu zetu katika kusema na kuandika ukweli ili tuweze kuelimisha,kutoa habari na hata kuburudisha ikiwezeekana naomba niwashauri tutumie karama zetu vizuri tuache ushabiki ambao hautakuwa na manufaa yeyote kwa...
10 years ago
VijimamboASKOFU CHARLES GADI AFANYA MAOMBI MAKUBWA NCHINI INDIA KUOMBA KUPUNGUA KWA JOTO.
Na Dotto MwaibaleASKOFU Charles Gadi wa Huduma ya Good News for all Ministry akifanya maombi makubwa katika mji wa Hydrabad nchini India ili joto lipungue kwani tayari limekwisha uwa watu 2500 kutoka...
5 years ago
BBCSwahili18 Jun
Uchaguzi Marekani 2020: Trump adaiwa kuomba usaidizi wa rais Xi Jinping kushinda uchaguzi ujao
10 years ago
Mwananchi19 Aug
Hiki ni kipindi cha wachezaji kunyanyaswa