Makonda azuia utoaji wa leseni kwa maeneo ya kuuzia magari
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda amezuia utoaji wa leseni za maeneo ya kuuzia magari ikiwa ni pamoja na kumuagiza Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa hiyo kuja na mpango kazi wa kutenga maeneo maalumu ya kuuzia magari ifikapo Desemba 26, mwaka huu.
Zuio hilo ni sehemu ya mpango mkakati wa kudhibiti ongezeko holela la maduka hayo na kisha kutoa mwaka mmoja kwa wamiliki wa maeneo hayo kujipanga na kuhamia kwenye maeneo husika yatakayopangwa na manispaa kwajili ya biashara hiyo.
Kuyumba kwa...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-anBJxm5odYo/VXx2NYDnRjI/AAAAAAAC6iQ/JxvMUDk-4Lk/s72-c/7.jpg)
KINANA AITAKA SERIKALI KURAHISISHA UTOAJI WA LESENI KWA WAFANYABIASHARA,MADEREVA WA MAGARI NA BODABODA
![](http://3.bp.blogspot.com/-anBJxm5odYo/VXx2NYDnRjI/AAAAAAAC6iQ/JxvMUDk-4Lk/s640/7.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-sbI-B1iVfYE/VXx18I7VJZI/AAAAAAAC6gI/hvmtw1Akl_4/s640/14.jpg)
5 years ago
MichuziMAAFISA WA ZFDA WAFANYA UKAGUZI WA MAENEO YA KUUZIA MAZIWA
Na Ramadhani Ali - Maelezo Zanzibar
Wakala wa Chakula na Dawa Zanzibar (ZFDA) imeanza ukaguzi wa wauza maziwa wasiofuata utaratibu unaokubaliwa ikiwemo sehemu zisizo rasmi ili kulinda afya za wananchi.
Mkurugenzi Idara ya Udhibiti Usalama wa Chakula wa ZFDA Dk. Khamis Ali Omar alisema ukaguzi umefanyika baada ya kutoa elimu na matangazo kwa wauza maziwa kuacha kutumia chupa na madumu ya plastiki na katika maeneo yasiyo rasmi.
Alisema chupa na madumu ya plastiki baada ya kutolewa maziwa...
Wakala wa Chakula na Dawa Zanzibar (ZFDA) imeanza ukaguzi wa wauza maziwa wasiofuata utaratibu unaokubaliwa ikiwemo sehemu zisizo rasmi ili kulinda afya za wananchi.
Mkurugenzi Idara ya Udhibiti Usalama wa Chakula wa ZFDA Dk. Khamis Ali Omar alisema ukaguzi umefanyika baada ya kutoa elimu na matangazo kwa wauza maziwa kuacha kutumia chupa na madumu ya plastiki na katika maeneo yasiyo rasmi.
Alisema chupa na madumu ya plastiki baada ya kutolewa maziwa...
9 years ago
MichuziWACHIMBAJI WADOGO SHINYANGA WAPATIWA MAFUNZO KUHUSU MFUMO MPYA WA UTOAJI LESENI ZA MADINI KWA NJIA YA MTANDAO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JQCJar-9Q-Y/Xl-VysRd-lI/AAAAAAALg7M/RR2ILAmxsP4d1u4NBU6VL6Li4hn4R5IlgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B2.04.17%2BPM.jpeg)
RC MAKONDA ATANGAZA DAWA KWA WAKANDARASI WANAOKIUKA TARATIBU ZA MIKATABA * RC Makonda asema hakuna mgonjwa wa Covid 19, awataka wananchi kufuata maelekezo Na Leandra Gabriel, Michuzi TV MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametangaza kamati ya w
![](https://1.bp.blogspot.com/-JQCJar-9Q-Y/Xl-VysRd-lI/AAAAAAALg7M/RR2ILAmxsP4d1u4NBU6VL6Li4hn4R5IlgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B2.04.17%2BPM.jpeg)
* RC Makonda asema hakuna mgonjwa wa Covid 19, awataka wananchi kufuata maelekezo
Na Leandra Gabriel, Michuzi TVMKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametangaza kamati ya watu 13 kutoka Serikali na sekta binafsi ambao...
5 years ago
MichuziRC TABORA AAGIZA UFUNGAJI WA MFUMO WA KUKUSANYA MAPATO KATIKA MAENEO YA UTOAJI HUDUMA ZA AFYA
NA TIGANYA VINCENT
MKUU wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri ameuagiza uongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Tabora kuhakikisha wanafunga Mfumo wa ukusanyaji wa mapato kwa katika maeneo yote yanayosuka na utoaji wa huduma za afya ili kuongeza kiwango cha ukusanyaji mapato.
Ukusanyaji wa mapato kwa njia za stakabadhi zilizo katika vitabu zimesababisha baadhi ya mapato kupotea na mengine kuishia mifukoni mwa watumishi wasio waaminifu.
Mwanri ametoa kauli hiyo jan20a wakati wa ukaguzi wa...
10 years ago
MichuziMAANDALIZI MBIO ZA MAGARI YAKAMILIKA,SASA KUFANYIKA JUMAPILI HII MAENEO YA KIA
Mafundi wakiweka mafuta ya ndege katika moja ya magari yanayoshiriki mbio hizo.
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0ie-ZBxmoTU/UyVGI4PJ8bI/AAAAAAAFT64/P183qmV7Zoo/s72-c/IMG_2832.jpg)
Mkandarasi wa mradi wa barabara ya mabasi yaendayo haraka aruhusu maeneo ya kugeuzia magari
![](http://2.bp.blogspot.com/-0ie-ZBxmoTU/UyVGI4PJ8bI/AAAAAAAFT64/P183qmV7Zoo/s1600/IMG_2832.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-w6nAHTyS_AE/UyVGJEonX2I/AAAAAAAFT68/jznXnprzgGs/s1600/IMG_2834.jpg)
KAMPUNI ya ujenzi wa barabara ya STRABAG inayoendelea na ujenzi kwa ajili ya mradi wa mabasi yaendayo haraka umeruhusu upande mmoja wa barabara uliokamilika kutumika ili kupunguza foleni ya magari yanayoka Kimara kuelekea katikati ya jiji au sehemu nyingine kupitia barabara ya Morogoro.
Mhandisi wa Wakala wa Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka (DART),Mhandisi John Shauri aliwaambia waandishi wa habari jijini Dar es Salaam mwishoni...
10 years ago
VijimamboMKUU WA WILAYA KINONDONI PAUL MAKONDA AKUTANA NA WANA UMOJA WA MAFUNDI MAGARI TEGETA KUTATUA MGOGORO WA ARDHI DHIDI YA MWEKEZAJIâ€
10 years ago
GPLMKUU WA WILAYA KINONDONI PAUL MAKONDA AKUTANA NA WANA UMOJA WA MAFUNDI MAGARI TEGETA KUTATUA MGOGORO WA ARDHI DHIDI YA MWEKEZAJI
 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (katikati), akiwa na Viongozi wa Umoja wa Mafundi Magari Tegeta wakati akikagua eneo lenye mgogoro wa ardhi kati ya wanaumoja huo pamoja na mwekezaji alipokwenda kuwasikiliza kuhusu mgogoro huo Dar es Salaam jana.  DC Paul Makonda akiwahutubia wana umoja huo.  Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda… ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania