MAAFISA WA ZFDA WAFANYA UKAGUZI WA MAENEO YA KUUZIA MAZIWA
Na Ramadhani Ali - Maelezo Zanzibar
Wakala wa Chakula na Dawa Zanzibar (ZFDA) imeanza ukaguzi wa wauza maziwa wasiofuata utaratibu unaokubaliwa ikiwemo sehemu zisizo rasmi ili kulinda afya za wananchi.
Mkurugenzi Idara ya Udhibiti Usalama wa Chakula wa ZFDA Dk. Khamis Ali Omar alisema ukaguzi umefanyika baada ya kutoa elimu na matangazo kwa wauza maziwa kuacha kutumia chupa na madumu ya plastiki na katika maeneo yasiyo rasmi.
Alisema chupa na madumu ya plastiki baada ya kutolewa maziwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV24 Dec
Makonda azuia utoaji wa leseni kwa maeneo ya kuuzia magari
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda amezuia utoaji wa leseni za maeneo ya kuuzia magari ikiwa ni pamoja na kumuagiza Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa hiyo kuja na mpango kazi wa kutenga maeneo maalumu ya kuuzia magari ifikapo Desemba 26, mwaka huu.
Zuio hilo ni sehemu ya mpango mkakati wa kudhibiti ongezeko holela la maduka hayo na kisha kutoa mwaka mmoja kwa wamiliki wa maeneo hayo kujipanga na kuhamia kwenye maeneo husika yatakayopangwa na manispaa kwajili ya biashara hiyo.
Kuyumba kwa...
10 years ago
MichuziNaibu Katibu Mkuu afungua Mkutano wa Kamati ya Ukaguzi ya Nchi za Maziwa Makuu
BOFYA HAPA...
10 years ago
GPLABBAS MTEMVU AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MAENEO YALIYOHARIBIWA NA MVUA
10 years ago
Dewji Blog20 May
Mtemvu afanya ziara ya ukaguzi wa maeneo yaliyoharibiwa na mvua jimboni kwake
Diwani wa Soko la Tazara Vetenary Zahoro Maganga akitoa maelezo kwa Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu alipotembelea maeneo yaliyoharibiwa na mvua akiongozana na viongozi wa Wakala wa Serikali wa Barabara (Tanroads) jinsi maji yanavyotakiwa kufata mfereji huo ambao haupitishi maji kupeleka katika mfereji huo (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu (kulia) akizungumza na viongozi wa Wakala wa Serikali wa Barabara (Tanroads) katika ziara ya kutembelea...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yP6-KfuMVvg/XncHKzjNDPI/AAAAAAALkrg/vHaNepjB8-Q6ox1yNf_OqZSE1Zzdfw29wCLcBGAsYHQ/s72-c/8e613680-6aa0-4c21-825d-d60cdce33be9.jpg)
WAZIRI KAMWELWE AWAAGIZA MAMENEJA WA TANROADS KUIMARISHA UKAGUZI WA MIUNDOMBINU KATIKA MAENEO YAO
Charles James, Globu ya Jamii
KUTOKANA na mvua kali ambazo zinaendelea kunyeesha katika maeneo mbalimbali nchini, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe amewaagiza mameneja wote wa TANROADS nchini kuimarisha miundombinu ya barabara na madaraja kwenye maeneo yao.
Agizo hilo pia limeenda kwa Mamlaka za hali ya news nchini kuhakikisha wanatoa taarifa za hali ya hewa hususani za mvua mara kwa mara kwa wananchi.
Waziri Kamwelwe pia ametoa wito kwa wananchi wote kuchukua...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9H4qzsRmOgg/VmiSTP_vvrI/AAAAAAAILSY/Rs0sOkICLzc/s72-c/picha%2Bno.3.jpg)
WAFANYAKAZI WA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII WAFANYA USAFI MAENEO MBALIMBALI JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-9H4qzsRmOgg/VmiSTP_vvrI/AAAAAAAILSY/Rs0sOkICLzc/s640/picha%2Bno.3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-95kqMR8lgEU/VmiSOV25w9I/AAAAAAAILR8/X2OMnGTqlAk/s640/Picha%2Bno.%2B4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3RCsCH-4hWY/VmiSOo9GjGI/AAAAAAAILSA/1KldodrMqKw/s640/Picha%2Bno.%2B2.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-5qnnvxb0nZo/VK7MEALaCsI/AAAAAAAAsOo/qBVYyKrQ1xs/s72-c/1.jpg)
UGENI WA MTEMVU KUTOKA MAREKANI WAFANYA ZIARA YA KIHISTORIA YA MAFUNZO KATIKA MAENEO MBALIMBALI JIMBO LA TEMEKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-5qnnvxb0nZo/VK7MEALaCsI/AAAAAAAAsOo/qBVYyKrQ1xs/s1600/1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nq-Bq0UGzew/Xs06TISBecI/AAAAAAALrp0/Ru9FypGHwgMBx6w9gFEYEBHU89x-79iuACLcBGAsYHQ/s72-c/691e059f-77aa-4222-9545-832e5d6f3b51.jpg)
AFISA TARAFA ITISO AWATAKA MAAFISA UGANI NA WATENDAJI WA KATA KUWATAMBUA WAKULIMA WA UFUTA KATIKA MAENEO YAO
AFISA Tarafa wa Tarafa ya Itiso Wilaya ya Chamwino, Remedius Emmanuel amesema serikali ina nia njema ya kuwasaidia wakulima kupitia mfumo wa Stakabadhi ghalani kwenye zao la ufuta.
Remedius ameyasema hayo leo katika mkutano wake na wananchi wa Tarafa yake uliolenga kujenga uelewa wa pamoja na kutoa ufafanuzi juu ya azma ya Wakala wa Taifa was Hifadhi ya Chakula (NFRA) kuweka kituo cha kununulia mahindi katika Tarafa hiyo.
NFRA wameweka kituo hiko kwenye Kijiji cha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Yi-XfVF4dOE/XnJL-jaaaWI/AAAAAAALkU4/hBg6ivTFlgcPD8qGLrqHGX8_39t_NmkAgCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B1.jpg)
KATIBU MKUU CHRISTOPHER KADIO, APOKEA TAARIFA YA UKAGUZI MRADI WA DAR CITY UNAOHUSISHA UJENZI WA NYUMBA ZA MAAFISA WA POLISI OYSTERBAY, KIJITONYAMA NA KITUO CHA POLISI OYSTERBAY
![](https://1.bp.blogspot.com/-Yi-XfVF4dOE/XnJL-jaaaWI/AAAAAAALkU4/hBg6ivTFlgcPD8qGLrqHGX8_39t_NmkAgCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-HChpUr1rla8/XnJL_mIKIwI/AAAAAAALkU8/zVi-NrGMzyQfX56Z8dW0C3kADpiabL5aQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B2.jpg)