Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafanyibiashara wa UG waionya Kenya

Wafanyibiashara wa Uganda wamelipa Shirika la ukusanyaji Ushuru nchini kenya KRA wiki mbili kushughulikia malalamiko yao

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Wafanyabiashara wa UG waionya Kenya


Wafanyibiashara wa Uganda chini ya muungano wa Wanabiashara wa mji wa Kampala Uganda KACITA wamelipa Shirika la ukusanyaji Ushuru nchini kenya KRA wiki mbili kuitoa mizingo yote inayoelekea Uganda la sivyo waigomee bandari ya Mombasa.

Ilani hiyo iliafikiwa siku ya Alhamisi baada ya saa kadhaa za majadiliano kuhusu athari za hatua ya KRA ya kutoza kodi bidhaa zote zinazoingia katika badari hiyo.

Awali ,wafanyibiashara walikuwa wakilipa ada wanayotozwa wakati wanapochukua mizigo yao pamoja na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Westgate:Wakimbizi wafanyibiashara Daadab

Wakimbizi wafanyibiashara walivyoanza maisha upya katika kambi ya wakambizi ya Daadab

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafanyabiashara waionya TRA

JUMUIYA ya Wafanyabiashara nchini (JWT), imesema kuanzia leo endapo kutatokea mgongano baina ya wafanyabiashara  na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuhusu  suala la mashine za EFDs  wasije wakalaumiwa. Kauli hiyo...

 

11 years ago

Habarileo

Mashehe, mapadri waionya NEC

WAKATI Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza mpango wa kuboresha Daftari la Kudumu la Wapigakura ili kuruhusu Watanzania wenye sifa kujiandikisha upya, viongozi wa dini nchini wameitaka tume hiyo kubadilisha pia siku ya kupiga kura, kutoka siku ya Jumapili ambayo huwa ya ibada hadi siku ya katikati ya wiki.

 

10 years ago

Mwananchi

Viongozi wa dini waionya Serikali

Siku chache baada ya vurugu kulikumba kongamano la kujadili mambo ya msingi katika Katiba Mpya lililofanyika katika Ukumbi wa Blue Pearl jijini na kuzuka kwa madai ya kupigwa kwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Mpya, Jaji Joseph Warioba viongozi wa dini wameonya kuwa kuna hatari ya nchi kuingia katika machafuko.

 

10 years ago

BBCSwahili

Manusura wa Auschwitz waionya dunia

Manusura wa mauaji ya kimbari katika kambo ya Auschwitz wameihimiza dunia kutoruhusu uhalifu wa mauaji hayo ya Holocaust.

 

10 years ago

Mwananchi

Ukawa waionya Serikali bajeti 2015/16

Dodoma\Dar. Siku moja baada ya Waziri wa Fedha, Saada Mkuya kuwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya Serikali kwa mwaka 2015/16, Waziri wa Fedha Kivuli, James Mbatia amesema watawasilisha bajeti yao ambayo kama Serikali itaipuuza, itawagharimu. Mkuya aliwasilisha Bajeti ya Serikali ambayo makadirio yake ni Sh22.4 trilioni.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wasomi waionya CCM kuhusu Katiba mpya

WASOMI na wafuatiliaji wa mchakato wa kupatikana kwa Katiba mpya wamekitaka Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuheshimu maoni ya wananchi yaliyotolewa na Tume ya  Mabadiliko ya Katiba. Wananchi hao wamefikia hatua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani