Papa kujadili ndoa na talaka kanisani
Papa Francis amefungua rasmi mkutano wa viongozi wakuu wa kanisa hilo kujadili maswala kama vile uzazi wa mpango, talaka na ndoa za jinsia moja.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili05 Mar
Uganda kujadili Muswada wa Ndoa, Talaka
Kwa mujibu wa wanaharakati, muswada huo ukipitishwa, utaimarisha sana haki za wanawake
9 years ago
BBCSwahili08 Sep
Papa Francis kurahisisha sheria ya talaka
Kiongozi wa kanisa katoliki anatarajiwa kutangaza sheria mpya zitakazowaruhusu wakatoliki kutoa talaka na kuoana upya
11 years ago
BBCSwahili27 May
Papa ashutumu mapadri walawiti Kanisani
Papa Francis, amewasili Roma baada ya kukamilisha ziara yake ya siku tatu Mashariki ya Kati.
11 years ago
Mwananchi06 Jul
Papa Francis aruhusu wanamaombi kanisani
Makao Makuu ya Kanisa Katoliki (Vatican), yametangaza kuwatambua rasmi makasisi wake wanaoombea na kutoa pepo wanaowashikilia waumini wao kama yanavyofanya makanisa ya Kipentekoste.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FqkiRUfegCiYg2CV44nQBq3clcaRUNSrVylun*17OXWQnNSUvUkYI9j5Sttt*yCtZO3NhNbScR1HZ0tcDbyYQ4aHS53aZhin/LAKI3.jpg?width=650)
LAKI 3 YAZUIA NDOA KANISANI
Na Mwandishi Wetu, Mbeya
KATIKA hali isiyotarajiwa na wengi, harusi iliyokuwa ifungwe jijini Mbeya Jumamosi iliyopita kati ya bwana harusi, Fadhili Mahenga (28) na bi. harusi Naomi Ngoje imeshindikana baada ya mume mtarajiwa kushindwa kumalizia mahari ya shilingi laki tatu. Tukio hilo limetokea katika Kitongoji cha Makunguru, Mtaa wa Ilolo Jijini Mbeya na kusababisha sintofahamu kwa familia ya mume mtarajiwa....
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vD-hYj2mu0R5*O*EdicAJ*Nc2jud3oX5tRsHGlNXVhxQ4t6zNWQFNdhczs324mO4g1TkYYZ7v*vUD8-0ok*mXwSOoI1QkTZO/mwalimu.jpg)
NDOA YA MWALIMU AIBU KANISANI
Stori: Haruni Sanchawa na Makongoro Oging’ MWALIMU mmoja wa Shule ya Msingi Makurumla iliyopo Magomeni jijini Dar es Salaam, Maria Samuel Hoza, amejikuta akiaibika vibaya baada ya mumewe, Bryton Muhanje kumkuta akiwa katika hatua za mwisho za kufunga ndoa nyingine kwenye Kanisa Katoliki la Kigogo Luhanga, Jumamosi iliyopita. Mwalimu wa Shule ya Msingi Makurumla, Maria Samuel Hoza akiwa katika harakati za kufunga ndoa yake...
10 years ago
Tanzania Daima01 Sep
Ndoa yakwama kanisani Dar
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida Paroko Msaidizi wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam Parokia ya Mtakatifu Yohane Mbatizaji Luhanga, Padri Richard D’souza, ameshindwa kufungisha ndoa baada ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/L5FNdOkpk1bpm*HH-DycXKB5KgnqbMwYsfJKvkqrHJGTpx7MWWpWaUWOEnOhTp7qfkQJjauM*DrusdV-y0LWKXZPeyZc*zxC/334.jpg?width=650)
MKE AANGUA KILIO KANISANI MUMEWE AKIFUNGA NDOA YA PILI
Shani Ramadhani na Harun Sanchawa
DHAMBI? Neema Pangani, mkazi wa jijini Dar alijikuta akiangua kilio kanisani wakati mumewe Daniel Mhina alipokuwa anamuoa mke wa pili, Irene Lema, Risasi Mchanganyiko lina stori kamili. Neema Pangani, akilia baada ya mumewe kuoa mke wa pili. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita katika Kanisa la Evangelistic Assemblies of God (EAGT) Bonde la Baraka lililopo maeneo ya Alimaua Kijitonyama...
10 years ago
Mwananchi16 Sep
Papa afungisha ndoa, apingwa
Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis amefungisha ndoa 20 katika Kanisa la Mtakatifu Petro mjini Vatican, lakini baadhi ya wakosoaji walipaza sauti kupinga kutokana na muundo wa ndoa hizo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania