Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Papa afungisha ndoa, apingwa

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis amefungisha ndoa 20 katika Kanisa la Mtakatifu Petro mjini Vatican, lakini baadhi ya wakosoaji walipaza sauti kupinga kutokana na muundo wa ndoa hizo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Uamuzi wa Papa kuhusu ndoa wapongezwa

Uamuzi wa Papa Francis kulegeza masharti ya utaratibu wa kubatilisha ndoa kwa waumini wa kanisa hilo umepokewa kwa hisia tofauti.

 

10 years ago

BBCSwahili

Papa kujadili ndoa na talaka kanisani

Papa Francis amefungua rasmi mkutano wa viongozi wakuu wa kanisa hilo kujadili maswala kama vile uzazi wa mpango, talaka na ndoa za jinsia moja.

 

9 years ago

Mwananchi

Papa Francis: Ndoa batili, inawezekana, ila…

Uamuzi uliofanywa na Papa Francis Jumanne  ya wiki hii kuanzisha mchakato wa kurahisisha wanandoa kuachana kwa talaka au ndoa kutenguliwa, umeshangaza wengi.

 

9 years ago

Mtanzania

Sheria ya ndoa ya Papa Francis na vitu unavyotakiwa kuvifahamu

papa1JOSEPH HIZA NA MITANDAO

JUMANNE wiki hii Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, alitangaza mageuzi makubwa juu ya namna kanisa hilo linavyoweza kushughulikia ubatilishaji wa ndoa.

Vifuatavyo ni baadhi ya vitu unavyotakiwa kuvifahamu.
Kwanza tuangalie; Ndoa batili ni nini? Je ni sawa na talaka? Ndoa batili ni uamuzi wa kutangaza kuwa muungano
huo wa watu wawili baina ya mwanamume na mwanamke haukutimiza vigezo vinavyoweza kuihalalisha ndoa tangu mwanzo.

Kwamba kuna kitu hakikuwa sawa wakati...

 

9 years ago

BBCSwahili

Papa Francis akutana na karani aliyekataa ndoa za jinsia moja

Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis ameripotiwa kukutana na Kim Daviz karani wa Kentucky ambaye alifungwa jela kwa kukataa kutoa leseni za ndoa za wapenzi wa jinsia moja,wakati wa ziara yake huko Marekani.

 

10 years ago

Mtanzania

Makonda, Zelothe apingwa

napeNa Waandishi Wetu, Dar es Salaam
SIKU moja baada ya Rais Jakaya Kikwete kuteua wakuu wa wilaya wapya 27 na wengine 19 kuondolewa, wadau mbalimbali wamejitokeza wakidai huo ni mkakati wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) kutengeneza mazingira ya kuchakachua kura za maoni ili kiweze kushinda kwa urahisi.
Wadau hao pia wamedai katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu, chama hicho kimekuwa na utaratibu wa kuteua viongozi hao waweze kutengeneza mikakati ya ushindi katika maeneo yao.
Hata hivyo,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais Obama apingwa sheria ya uhamiaji

Mahakama nchini Marekani imesitisha utekelezaji wa sheria ya Rais Obama kuhusu uhamiaji

 

9 years ago

Dewji Blog

#PAPA TOUR KENYA: Wakenya wampokea Papa kwa mara ya kwanza ujio wake Bara la Afrika!

IMG-20151125-WA0024

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta akisalimiana na Papa Francis wakati alipowasili mapema leo Novemba 25 katika jiji la Nairobi nchini Kenya.

Papa Francis ameanza ziara yake Afrika kwa kuhimiza umoja, uwazi, kuwathamini vijana na kuyatunza mazingira.

Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki aliwasili Nairobi mwendo wa saa kumi unusu jioni na kukaribishwa kwa shangwe na viongozi wa kisiasa na kidini uwanja wa ndege.

Baada ya kuwasili, alielekea Ikulu ambako alipanda mti kisha kukutana na Rais Uhuru...

 

5 years ago

Michuzi

GAVANA APINGWA JUU YA MPANGO WAKE WA KUTUMIA POMBE KAMA KITAKASA KOO


Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
LICHA ya Shirika la Afya Duniani kusema wazi kuwa pombe haiwezi kupigana dhidi ya virusi vya Corona (Covid-19) na kuwashauri watu wapunguze matumizi yake Gavana wa Mji mkuu wa Nairobi, nchini Kenya Mike Sonko kupitia mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyika mapema jumanne valithibitisha matumizi ya pombe katika Kupambana na virusi hivyo kwa kile alichoeleza kuwa pombe aina ya Hennessy ni kitakasa koo "throat sanitizer." CNN imeripoti.
Sonko ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani