Papa afungisha ndoa, apingwa
Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis amefungisha ndoa 20 katika Kanisa la Mtakatifu Petro mjini Vatican, lakini baadhi ya wakosoaji walipaza sauti kupinga kutokana na muundo wa ndoa hizo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi10 Sep
Uamuzi wa Papa kuhusu ndoa wapongezwa
10 years ago
BBCSwahili06 Oct
Papa kujadili ndoa na talaka kanisani
9 years ago
Mwananchi11 Sep
Papa Francis: Ndoa batili, inawezekana, ila…
9 years ago
Mtanzania12 Sep
Sheria ya ndoa ya Papa Francis na vitu unavyotakiwa kuvifahamu
JOSEPH HIZA NA MITANDAO
JUMANNE wiki hii Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, alitangaza mageuzi makubwa juu ya namna kanisa hilo linavyoweza kushughulikia ubatilishaji wa ndoa.
Vifuatavyo ni baadhi ya vitu unavyotakiwa kuvifahamu.
Kwanza tuangalie; Ndoa batili ni nini? Je ni sawa na talaka? Ndoa batili ni uamuzi wa kutangaza kuwa muungano
huo wa watu wawili baina ya mwanamume na mwanamke haukutimiza vigezo vinavyoweza kuihalalisha ndoa tangu mwanzo.
Kwamba kuna kitu hakikuwa sawa wakati...
9 years ago
BBCSwahili01 Oct
Papa Francis akutana na karani aliyekataa ndoa za jinsia moja
10 years ago
Mtanzania20 Feb
Makonda, Zelothe apingwa
Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
SIKU moja baada ya Rais Jakaya Kikwete kuteua wakuu wa wilaya wapya 27 na wengine 19 kuondolewa, wadau mbalimbali wamejitokeza wakidai huo ni mkakati wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) kutengeneza mazingira ya kuchakachua kura za maoni ili kiweze kushinda kwa urahisi.
Wadau hao pia wamedai katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu, chama hicho kimekuwa na utaratibu wa kuteua viongozi hao waweze kutengeneza mikakati ya ushindi katika maeneo yao.
Hata hivyo,...
10 years ago
BBCSwahili18 Feb
Rais Obama apingwa sheria ya uhamiaji
9 years ago
Dewji Blog25 Nov
#PAPA TOUR KENYA: Wakenya wampokea Papa kwa mara ya kwanza ujio wake Bara la Afrika!
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta akisalimiana na Papa Francis wakati alipowasili mapema leo Novemba 25 katika jiji la Nairobi nchini Kenya.
Papa Francis ameanza ziara yake Afrika kwa kuhimiza umoja, uwazi, kuwathamini vijana na kuyatunza mazingira.
Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki aliwasili Nairobi mwendo wa saa kumi unusu jioni na kukaribishwa kwa shangwe na viongozi wa kisiasa na kidini uwanja wa ndege.
Baada ya kuwasili, alielekea Ikulu ambako alipanda mti kisha kukutana na Rais Uhuru...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-M1khfgd4leU/Xpp_EjP7GaI/AAAAAAALnTA/Sc09fOgPU3cZZBsjkrBmcjPXlhxffa5BACLcBGAsYHQ/s72-c/sonko-1.jpg)
GAVANA APINGWA JUU YA MPANGO WAKE WA KUTUMIA POMBE KAMA KITAKASA KOO
![](https://1.bp.blogspot.com/-M1khfgd4leU/Xpp_EjP7GaI/AAAAAAALnTA/Sc09fOgPU3cZZBsjkrBmcjPXlhxffa5BACLcBGAsYHQ/s400/sonko-1.jpg)
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
LICHA ya Shirika la Afya Duniani kusema wazi kuwa pombe haiwezi kupigana dhidi ya virusi vya Corona (Covid-19) na kuwashauri watu wapunguze matumizi yake Gavana wa Mji mkuu wa Nairobi, nchini Kenya Mike Sonko kupitia mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyika mapema jumanne valithibitisha matumizi ya pombe katika Kupambana na virusi hivyo kwa kile alichoeleza kuwa pombe aina ya Hennessy ni kitakasa koo "throat sanitizer." CNN imeripoti.
Sonko ...