Sheria ya ndoa ya Papa Francis na vitu unavyotakiwa kuvifahamu
JOSEPH HIZA NA MITANDAO
JUMANNE wiki hii Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, alitangaza mageuzi makubwa juu ya namna kanisa hilo linavyoweza kushughulikia ubatilishaji wa ndoa.
Vifuatavyo ni baadhi ya vitu unavyotakiwa kuvifahamu.
Kwanza tuangalie; Ndoa batili ni nini? Je ni sawa na talaka? Ndoa batili ni uamuzi wa kutangaza kuwa muungano
huo wa watu wawili baina ya mwanamume na mwanamke haukutimiza vigezo vinavyoweza kuihalalisha ndoa tangu mwanzo.
Kwamba kuna kitu hakikuwa sawa wakati...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi11 Sep
Papa Francis: Ndoa batili, inawezekana, ila…
9 years ago
BBCSwahili08 Sep
Papa Francis kurahisisha sheria ya talaka
9 years ago
BBCSwahili01 Oct
Papa Francis akutana na karani aliyekataa ndoa za jinsia moja
9 years ago
Bongo524 Aug
Vitu unavyotakiwa kujua kabla ya kuanzisha biashara yako
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6Yn8z8hshnSzsmEtFULgSqp7EIBWm7u0rI*VBAzV1JlzKMK0G39aR9ZRgi0dRgkTMKHnbPqQEWFmYuuwHhcmY9P/1.jpg?width=650)
PAPA FRANCIS AWATANGAZA PAPA JOHN PAUL II, JOHN XXIII KUWA WATAKATIFU
9 years ago
BBCSwahili23 Nov
Ziara ya Papa Francis, Kenya
11 years ago
BBCSwahili27 Mar
Obama kukutana na Papa Francis
10 years ago
BBCSwahili14 Oct
Papa Francis atoa Mpya
9 years ago
Mtanzania28 Nov
Papa Francis kumfufua Nyerere
*Mama Maria Nyerere atangulia Uganda
NA MWANDISHI WETU
ZIARA ya Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis nchini Uganda imetajwa kuwa itafufua mchakato wa kumtangaza Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere kuwa mtakatifu.
Kwa mujibu wa mtandao wa ETN wa nchini Uganda, ziara hiyo ya kitume ya Papa Francis itamfikisha katika eneo la Namugongo ambalo mashahidi wa imani ya dini ya Kikristu walichomwa moto.
Ni katika eneo hilo la Namugongo ambako Hayati Nyerere alitangazwa kuwa...