Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sheria ya ndoa ya Papa Francis na vitu unavyotakiwa kuvifahamu

papa1JOSEPH HIZA NA MITANDAO

JUMANNE wiki hii Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, alitangaza mageuzi makubwa juu ya namna kanisa hilo linavyoweza kushughulikia ubatilishaji wa ndoa.

Vifuatavyo ni baadhi ya vitu unavyotakiwa kuvifahamu.
Kwanza tuangalie; Ndoa batili ni nini? Je ni sawa na talaka? Ndoa batili ni uamuzi wa kutangaza kuwa muungano
huo wa watu wawili baina ya mwanamume na mwanamke haukutimiza vigezo vinavyoweza kuihalalisha ndoa tangu mwanzo.

Kwamba kuna kitu hakikuwa sawa wakati...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Papa Francis: Ndoa batili, inawezekana, ila…

Uamuzi uliofanywa na Papa Francis Jumanne  ya wiki hii kuanzisha mchakato wa kurahisisha wanandoa kuachana kwa talaka au ndoa kutenguliwa, umeshangaza wengi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Papa Francis kurahisisha sheria ya talaka

Kiongozi wa kanisa katoliki anatarajiwa kutangaza sheria mpya zitakazowaruhusu wakatoliki kutoa talaka na kuoana upya

 

9 years ago

BBCSwahili

Papa Francis akutana na karani aliyekataa ndoa za jinsia moja

Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis ameripotiwa kukutana na Kim Daviz karani wa Kentucky ambaye alifungwa jela kwa kukataa kutoa leseni za ndoa za wapenzi wa jinsia moja,wakati wa ziara yake huko Marekani.

 

9 years ago

Bongo5

Vitu unavyotakiwa kujua kabla ya kuanzisha biashara yako

Watu wengi wanatamani wawe wajasiriamali au wawe wafanyabiashara na wakati mwingine wameweza kukurupuka na kuingia kwenye biashara kichwa kichwa na wanakimbia. Kuna vitu ambavyo viko wazi na vinahitajika kujulikana kwa kila anayetamani kufanya biashara, inawezekana hakuna mtu anayekuambia kuhusu hivyo vitu ila leo unatakiwa mtu kuvijua kwa undani wake na umuhimu wake. Nimejaribu kufuatilia vibanda […]

 

11 years ago

GPL

PAPA FRANCIS AWATANGAZA PAPA JOHN PAUL II, JOHN XXIII KUWA WATAKATIFU

Mahujaji wakifuatilia tukio la kuwatangaza watakatifu Papa John Paul II na John XXIII jijini Vatican leo. Papa Francis akiongoza ibada kabla ya kuwatangaza watakatifu.…

 

9 years ago

BBCSwahili

Ziara ya Papa Francis, Kenya

Serikali ya Kenya imethibitisha kukamilika kwa maandalizi ya kumpokea kiongozi wa kanisa katoliki papa Francis.

 

11 years ago

BBCSwahili

Obama kukutana na Papa Francis

Rais wa Marekani ,Barrack Obama anatarajiwa kukutana na kiongozi wa kanisa Katoliki Papa Francis.

 

10 years ago

BBCSwahili

Papa Francis atoa Mpya

Makasisi wa kanisa katoliki wanaangazia mafunzo ya familia, na kutoa wito wa kuwachukulia wenye mapenzi ya jinsia moja kwa usawa

 

9 years ago

Mtanzania

Papa Francis kumfufua Nyerere

Part-PAR-Par8268607-1-1-0*Mama Maria Nyerere atangulia Uganda

 

NA MWANDISHI WETU

ZIARA ya Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis nchini Uganda imetajwa kuwa itafufua mchakato wa kumtangaza Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere kuwa mtakatifu.

Kwa mujibu wa mtandao wa ETN wa nchini Uganda, ziara hiyo ya kitume ya Papa Francis itamfikisha katika eneo la Namugongo ambalo mashahidi wa imani ya dini ya Kikristu walichomwa moto.

Ni katika eneo hilo la Namugongo ambako Hayati Nyerere alitangazwa kuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani