Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LAKI 3 YAZUIA NDOA KANISANI

Na Mwandishi Wetu, Mbeya
KATIKA  hali  isiyotarajiwa na wengi,  harusi iliyokuwa ifungwe jijini Mbeya Jumamosi iliyopita kati ya bwana harusi, Fadhili Mahenga (28) na bi. harusi Naomi Ngoje imeshindikana  baada ya mume mtarajiwa kushindwa kumalizia mahari ya shilingi laki tatu. Tukio hilo limetokea katika Kitongoji cha Makunguru, Mtaa wa Ilolo Jijini Mbeya na kusababisha sintofahamu  kwa familia ya mume mtarajiwa....

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

NDOA YA MWALIMU AIBU KANISANI

Stori: Haruni Sanchawa na Makongoro Oging’ MWALIMU mmoja wa Shule ya Msingi Makurumla iliyopo Magomeni jijini Dar es Salaam, Maria Samuel Hoza, amejikuta akiaibika vibaya baada ya mumewe, Bryton Muhanje kumkuta akiwa katika hatua za mwisho za kufunga ndoa nyingine kwenye Kanisa Katoliki la Kigogo Luhanga, Jumamosi iliyopita. Mwalimu wa Shule ya Msingi Makurumla, Maria Samuel Hoza akiwa katika harakati za kufunga ndoa yake...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ndoa yakwama kanisani Dar

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida Paroko Msaidizi wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam Parokia ya Mtakatifu Yohane Mbatizaji Luhanga, Padri Richard D’souza, ameshindwa kufungisha ndoa baada ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Papa kujadili ndoa na talaka kanisani

Papa Francis amefungua rasmi mkutano wa viongozi wakuu wa kanisa hilo kujadili maswala kama vile uzazi wa mpango, talaka na ndoa za jinsia moja.

 

10 years ago

GPL

MKE AANGUA KILIO KANISANI MUMEWE AKIFUNGA NDOA YA PILI

Shani Ramadhani na Harun Sanchawa
DHAMBI? Neema Pangani, mkazi wa jijini Dar alijikuta akiangua kilio kanisani wakati mumewe Daniel Mhina alipokuwa anamuoa mke wa pili, Irene Lema, Risasi Mchanganyiko lina stori kamili. Neema Pangani, akilia baada ya mumewe kuoa mke wa pili. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita katika Kanisa la Evangelistic Assemblies of God (EAGT) Bonde la Baraka lililopo maeneo ya Alimaua Kijitonyama...

 

9 years ago

Dewji Blog

Waziri wa Mambo ya Nje, Balozi Augustine Mahiga atembelea AICC na Laki Laki Arusha

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,Kanda na Kimataifa, Balozi Augustine Mahiga(kulia)akiwasili kwenye  kituo cha mikutano cha  kimataifa cha Arusha International Conference Center (AICC) ambacho ni sehemu ya Wizara hiyo,kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa AICC, Elishilia Kaaya. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kanda na Kimataifa, Balozi Augustine Mahiga akisaini kitabu cha wageni. Mkurugenzi Mtendaji wa  Arusha International Conference Center...

 

11 years ago

GPL

MAHARI YA LULU LAKI 8

Na Mwandishi Wetu
Imevuja kuwa mwanaume atakayetaka kumuoa staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ atalazimika kutoa si chini ya shilingi laki nane (800,000) kama mahari ili kumuoa mwigizaji huyo. Elizabeth Michael ‘Lulu’. Kwa mujibu wa chanzo makini cha gazeti hili, wanaume wengi wamekuwa wakimendea kufunga ndoa na Lulu lakini wakashindwa njia za kumpata. Ilidaiwa kuwa kikwazo kikubwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mfanyabiashara aporwa laki 8/- Ngara

p>KUNDI la watu wanaosadikiwa kuwa majambazi limemvamia mfanyabiashara katika Kijiji cha Rulenge wilayani Ngara mkoani Kagera na kumpora fedha kiasi cha shilingi laki nane. Tukio hilo limetokea Alhamisi iliyopita majira...

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: MKE ASIYE WA NDOA NA MTOTO WA NJE YA NDOA HAWARITHI KISHERIA

Na  Bashir  Yakub.
Kumekuwepo  na utata  mkubwa  kuhusu  urithi  wa  mali  za  marehemu  hasa  inapotokea  kuwa  marehemu  alikuwa  na  mke   zaidi  ya mmoja  na  hapohapo  watoto  wanaotokana  na  mama  tofauti.  Tumeshashuhudia  magomvi  makubwa  misibani   lakini  pia  tumeshuhudia  na  tunaendelea kushuhudia  utitiri  wa mashauri  kuhusu  mkanganyiko  wa  mali za marehemu ambaye  familia  yake  ni  ya watoto  wanatokana  na  mama  tofauti. Kutokana  na  hayo  kuna umuhimu  mkubwa  wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971, chanzo cha ongezeko la mimba na ndoa za utotoni nchini

x

Mratibu wa Utetezi Taifa, SOS Tanzania/Zanzibar, John Batista, akizungumza katika Mdahalo wa Nijali uliolenga ndoa za utotoni na mimba za utotoni  kwa kushirikisha Chama cha Waandishi wa Habari za Watoto, (TAJOC) na wengine, uliofanyika leo katika Hoteli Regency jijini Dar es Salaam.

Na Andrew Chale, Modewjiblog.com

Imeelezwa kuwa, kuongezeka kwa ndoa za utotoni inatokana na sheria ya ndoa ya mwaka 1971 kuendelea kutumika wakati hali yake ni mbaya kwa watoto wakike kushindwa kufikia ndoto...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani