Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KIJIJI CHAENDESHA MSAKO KUWANASA WALAWITI

Stori: Joseph Ngilisho, Arusha
WANANCHI zaidi ya 500 wa Kijiji cha Moivaro na Chekereni katika Kata ya Moshono, wilayani Arumeru wamelazimika kuendesha oparesheni ya kuwasaka wanaume wanaolawiti wanaume wenzao baada ya kugundulika sehemu kubwa ya wanaume katika kijiji hicho wamelawitiwa. Wananchi wa Kijiji cha Moivaro na Chekereni katika Kata ya Moshono, wilayani Arumeruwakiwa kwenye kikao cha kuwasaka walawiti Inadaiwa kuwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Papa ashutumu mapadri walawiti Kanisani

Papa Francis, amewasili Roma baada ya kukamilisha ziara yake ya siku tatu Mashariki ya Kati.

 

10 years ago

Habarileo

Polisi yatoa mil. 50/- kuwanasa wauaji

Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova SIKU moja baada ya tukio la kuuawa kwa watu saba wakiwemo askari wanne katika Kituo cha Polisi Stakishari, Ukonga jijini Dar es Salaam, Jeshi la Polisi nchini limetangaza donge nono la Sh milioni 50 kwa watakaofanikisha kukamatwa kwa wahusika wa tukio hilo.

 

10 years ago

Michuzi

Chuo Kikuu cha Uhio chaendesha mafunzo kwa vijana kuwa viongozi bora

Na Chalila Kibuda ,Globu ya Jamii
Chuo Kikuu cha Uhio nchini Marekani kinaendesha mafunzo kwa vijana ya kuwa viongozi bora katika nchi zilizopo katika jangwa la Sahara.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo,Katibu wa Kwanza wa Mawasiliano ya Umma wa Ubalozi wa Marekani nchini,Marissa Maurer amesema kuwa program ya kutoa mafunzo kwa viongozi vijana imaeazishwa na Chuo Kikuu Cha Uhio nchini Marekani  ambapo fedha inayoendesha mafunzo ni ya serikali ya watu Marekani...

 

10 years ago

Vijimambo

Ngoma Africa band na Jinamizi lao la Bongo Dansi barani ulaya lazidi kuwanasa washabiki

Imebainika kuwa bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band aka FFU-ughaibuni almaarufu viumbe wa ajabu Anunnaki Alien,inayoongoza na mwanamuziki Ebrahim Makunja aka kamanda Ras Makunja,bendi hiyo imejukuta ipo katika hali ya kukosa usingizi tena baada ya kutakiwa kutumbuiza maomyesho zaidi katika msimu ujao wa joto,watayarishaji wa maonyesho makubwa ya nje barani ulaya wanashinikizwa na washabiki wao lazima waipandishe jukwaani Ngoma Africa Band kutokana na mdundo wao...

 

10 years ago

GPL

CHAMA CHA WAANDISHI MTWARA CHAENDESHA ZOEZI LA USAFI NA KUPANDA MITI KATIKA HOSPITALI YA MKOA HUO

Mwandishi wa habari wa Mwananchi Communication,Haika Kimaro(kushoto) pamoja na Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu wakishiriki kufanya usafi katika hospitali ya mkoa wa Mtwara. Ambapo chama cha waandishi wa habari cha mkoa huo kwa kushirikia na Vodacom Tanzania na vijana waliohadhirika na madawa ya kulevya vilianda shughuli hiyo na kupanda miti 10 kuzunguka hospitali hiyo.… ...

 

11 years ago

Michuzi

KAMPENI ZA CCM JIMBO LA CHALINZE ZAENDELEA KIJIJI KWA KIJIJI

  Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Pwani,Mwishehe Shaban Mlawa akimnadi Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze (CCM),Ridhiwani Jakaya Kikwete katika Mkutano wa Kampeni za CCM uliofanyika kwenye kijiji cha Misakazi,Kata ya Ubena ndani ya Jimbo la Chalinze leo Machi 20, 2014   Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze (CCM),Ridhiwani Jakaya Kikwete (katikati) akitambulishwa na Mwenyekiti wa Kijiji cha Mwidu,Mzee Mohamed Said kwa Bw. Chomiki kutoka...

 

11 years ago

Michuzi

11 years ago

BBCSwahili

Msako wa wageni Kenya waendelea

Kati ya watu 3000 waliokamatwa katika msako unaoendelea nchini Kenya 69 wamefikishwa mahakamani 450 bado wanachunguzwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Msako wa wasichana waendelea Nigeria

Maafisa wa usalama, wawindaji na walinzi wanaendelea kuwatafuta karibu wasichana 100 wa shule waliotekwa nyara kaskazini mashariki mwa Nigeria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani