Msako wa wageni Kenya waendelea
Kati ya watu 3000 waliokamatwa katika msako unaoendelea nchini Kenya 69 wamefikishwa mahakamani 450 bado wanachunguzwa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili18 Apr
Msako wa wasichana waendelea Nigeria
10 years ago
BBCSwahili17 Apr
Wageni waendelea kushambuliwa A Kusini
11 years ago
BBCSwahili21 Dec
Wageni waendelea kuondoka Sudan Kusini
5 years ago
Bongo514 Feb
Video: Msako waendelea kwa muuaji wa pasaka aliyempiga risasi mzee mpita njia na kuweka video ya tukio Facebook
Msako mkali unaendelea kumnasa Steve Stephens, 37 wa Cleveland, Ohia nchini Marekani, aliyehusika kwenye tukio la mauaji ya mzee wa miaka 74, Robert Godwin.
Muuaji huyo alidai kufanya kitendo hicho baada ya kukorofishana na mpenzi wake, na hasira zake aliamua kuzihamishia kwa mzee mpitanjia huyo huku akirekodi mauaji hayo na kuweka video Facebook.
Godwin, mfanyakazi wa zamani wa kiwandani na fundi mechanic, ana watoto 10 na wajukuu 14.
Mtoto wa kike, Tonya Godwin-Baines ameiambia CNN...
11 years ago
BBCSwahili31 Jan
Msako dhidi ya raia wa kigeni Kenya
10 years ago
Dewji Blog13 Apr
Singida yawapiga marufuku wageni wa Kenya na Uganda kununulia vitunguu mashambani
Baadhi ya wafanyabiashara wa zao la vitunguu pamoja na vibarua wa soko la vitunguu la Misuna manispaa ya Singida, wakiwa kwenye harakati kuchambua ili waweze kuuza zao hilo ambalo kwa msimu huu, ni chache ikilinganishwa na msimu uliopita.Msimu uliopita gunia moja mwanzoni liliuzwa kwa shilingi kati ya 90 na 85 lenye vitunguu bora, msimu huu kutokana na vitunguu kuwa vichache kutokana na uhaba mkubwa wa mvua,gunia moja limeanza kuuzwa kati ya shilingi 95 na 105,000.(Picha na Nathaniel...
9 years ago
BBCSwahili10 Sep
Mgomo wa waalimu Kenya waendelea
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SvGPOGkjVvM/Ux320tYI6vI/AAAAAAAFSyI/VWbcBu2I11A/s72-c/00d42b92a98fcd8a6df61e0421989cda.jpg)
11 years ago
BBCSwahili18 Apr
Msako wa wasichana 100 Nigeria