Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msako wa wageni Kenya waendelea

Kati ya watu 3000 waliokamatwa katika msako unaoendelea nchini Kenya 69 wamefikishwa mahakamani 450 bado wanachunguzwa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Msako wa wasichana waendelea Nigeria

Maafisa wa usalama, wawindaji na walinzi wanaendelea kuwatafuta karibu wasichana 100 wa shule waliotekwa nyara kaskazini mashariki mwa Nigeria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wageni waendelea kushambuliwa A Kusini

Kumekuwa na mashambulizi zaidi usiku dhidi ya biashara zinazomilikiwa na raia wa kigeni nchini Afrika Kusini

 

11 years ago

BBCSwahili

Wageni waendelea kuondoka Sudan Kusini

Kati ya wanaokimbia ghasia za Sudan Kusini ni wafanyakazi katika visima vya mafuta - tegemeo kubwa la nchi

 

5 years ago

Bongo5

Video: Msako waendelea kwa muuaji wa pasaka aliyempiga risasi mzee mpita njia na kuweka video ya tukio Facebook

Msako mkali unaendelea kumnasa Steve Stephens, 37 wa Cleveland, Ohia nchini Marekani, aliyehusika kwenye tukio la mauaji ya mzee wa miaka 74, Robert Godwin.

Muuaji huyo alidai kufanya kitendo hicho baada ya kukorofishana na mpenzi wake, na hasira zake aliamua kuzihamishia kwa mzee mpitanjia huyo huku akirekodi mauaji hayo na kuweka video Facebook.

Godwin, mfanyakazi wa zamani wa kiwandani na fundi mechanic, ana watoto 10 na wajukuu 14.

Mtoto wa kike, Tonya Godwin-Baines ameiambia CNN...

 

11 years ago

BBCSwahili

Msako dhidi ya raia wa kigeni Kenya

Polisi nchini Kenya wamewakamata mamia ya raia wa kigeni mjini Nairobi huku msako mkali ukifanywa dhidi ya watu wanaoshukiwa kuwa nchini humo kinyume na sheria.

 

10 years ago

Dewji Blog

Singida yawapiga marufuku wageni wa Kenya na Uganda kununulia vitunguu mashambani

DSC04783

Baadhi ya wafanyabiashara wa zao la vitunguu pamoja na vibarua wa soko la vitunguu la Misuna manispaa ya Singida, wakiwa kwenye harakati kuchambua ili waweze kuuza zao hilo ambalo kwa msimu huu, ni chache ikilinganishwa na msimu uliopita.Msimu uliopita gunia moja mwanzoni liliuzwa kwa shilingi kati ya 90 na 85 lenye vitunguu bora, msimu huu kutokana na vitunguu kuwa vichache kutokana na uhaba mkubwa wa mvua,gunia moja limeanza kuuzwa kati ya shilingi 95 na 105,000.(Picha na Nathaniel...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mgomo wa waalimu Kenya waendelea

Muungano wa vyama vya wafanyakazi nchini Kenya kimetoa ilaani ya siku 7 kwa serikali kutekeleza agizo la nyongesa ya mishahara kwa waalimu

 

11 years ago

Michuzi

11 years ago

BBCSwahili

Msako wa wasichana 100 Nigeria

Vikosi vya usalama katika jimbo la Borno vinawatafuta wasichana wa shule waliotekwa na watu wanaoshukiwa kua wa kundi hilo hilo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani