Singida yawapiga marufuku wageni wa Kenya na Uganda kununulia vitunguu mashambani
Baadhi ya wafanyabiashara wa zao la vitunguu pamoja na vibarua wa soko la vitunguu la Misuna manispaa ya Singida, wakiwa kwenye harakati kuchambua ili waweze kuuza zao hilo ambalo kwa msimu huu, ni chache ikilinganishwa na msimu uliopita.Msimu uliopita gunia moja mwanzoni liliuzwa kwa shilingi kati ya 90 na 85 lenye vitunguu bora, msimu huu kutokana na vitunguu kuwa vichache kutokana na uhaba mkubwa wa mvua,gunia moja limeanza kuuzwa kati ya shilingi 95 na 105,000.(Picha na Nathaniel...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Apr
Wafanyabiashara wa vitunguu Singida walia na Waganda, Wakenya
9 years ago
Dewji Blog24 Dec
Zaidi ya Mil 60 zilizotengwa kwa sherehe za miaka 50 ya Mkoa wa Singida kutumia kununulia vifaa tiba
![IMG_1426](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_1426.jpg)
![IMG_1439](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_1439.jpg)
5 years ago
BBCSwahili15 Feb
Manchester City: Uefa yawapiga marufuku mabingwa watetezi wa ligi ya England
5 years ago
BBCSwahili25 May
Virusi vya corona: Marekani yawapiga marufuku wasafiri wa kigeni kutoka Brazil
10 years ago
Dewji Blog28 Mar
TAKUKURU Singida yawapiga msasa waandishi mapambano dhidi ya rushwa
Mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Singida, Joshua Msuya,akifungua mafunzo ya ushirikishwaji waandishi wa habari katika mapambano dhidi ya rushwa yaliyohudhuriwa na wanachama wa Singida Press Club mkoa wa Singida.Mafunzo hayo ya siku moja,yalifanyika jana kwenye ukumbi wa mikutano wa TAKUKURU mjini hapa.Wa kwanza kushoto ni kaimu mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Singida,Jaffar Uledi na kulia ni Domina Mukama mratibu wa usimamiaji na utekelezaji wa miradi ya maendeleo (PETS coordinator).
5 years ago
BBCSwahili23 Jun
Virusi vya corona: Saudi Arabia yaweka marufuku ya Hija kwa wageni
11 years ago
BBCSwahili08 Apr
Msako wa wageni Kenya waendelea
11 years ago
Mwananchi20 Feb
‘Vimini’ marufuku Uganda
9 years ago
StarTV04 Nov
Maandamano ya UKAWA Singida yapigwa marufuku
Jeshi la Polisi limepiga marufuku maandamano ya kupinga matokeo ya Urais katika uchaguzi mkuu uliofanyika wiki iliyopita yaliyopangwa kufanywa mkoani Singida leo Jumanne na wanachama na wafuasi wa vyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA.
Imeelezwa kuwa Maandamano hayo yanayotarajiwa kuanza saa 4:00 asubuhi na kuishia kwenye Ofisi za wakuu wa Wilaya na mkoa pia yanalenga kushinikiza kutangzwa kwa Edward Lowasa wa CHADEMA kuwa ndiye mshindi wa nafasi wa Urais suala...