Wafanyabiashara wa vitunguu Singida walia na Waganda, Wakenya
Wafanyabiashara wa vitunguu katika Soko la Misuna, Singida wameiomba Serikali kuwasaka na kuwakamata wafanyabiashara kutoka Kenya na Uganda wanaonunua zao hilo moja kwa moja kutoka kwa wakulima kwa madai kuwa wanawanyonya wakulima na kuikosesha halmashauri mapato.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog13 Apr
Singida yawapiga marufuku wageni wa Kenya na Uganda kununulia vitunguu mashambani
Baadhi ya wafanyabiashara wa zao la vitunguu pamoja na vibarua wa soko la vitunguu la Misuna manispaa ya Singida, wakiwa kwenye harakati kuchambua ili waweze kuuza zao hilo ambalo kwa msimu huu, ni chache ikilinganishwa na msimu uliopita.Msimu uliopita gunia moja mwanzoni liliuzwa kwa shilingi kati ya 90 na 85 lenye vitunguu bora, msimu huu kutokana na vitunguu kuwa vichache kutokana na uhaba mkubwa wa mvua,gunia moja limeanza kuuzwa kati ya shilingi 95 na 105,000.(Picha na Nathaniel...
9 years ago
Mwananchi26 Aug
Wafanyabiashara walia na soko
11 years ago
Mwananchi22 Apr
Wafanyabiashara walia na vikwazo
10 years ago
Mwananchi24 Jul
Wafanyabiashara walia na Tanesco
11 years ago
Tanzania Daima02 Jan
Wafanyabiashara walia na ushuru
USHURU wa mabango na kodi nyingine zinazotozwa kwa wafanyabiashara wa mji wa Mailimoja zimeelezwa kuwa ni changamoto kubwa kwa wafanyabiashara. Akizungumza wakati akikabidhi zawadi mbalimbali kwa wateja walionunua simu kwenye...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jun
Wafanyabiashara wa matunda walia na miundombinu mibovu
MATUNDA ni lishe muhimu kwa binadamu, lakini yanahitaji uhifadhi mzuri kabla ya kuliwa. Kwa mfanyabiashara, matundani mali ingawa kuoza ni rahisi. Yakiwa mabichi yanaweza kuuzwa kwa bei nzuri, lakini yakishaanza...
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
Wafanyabiashara walia nyanya kupanda bei
NYANYA ni tunda au mboga? Mkanganyiko huo umeibuka kwa sababu ya tofauti ya matumizi kati ya wanasayansi na wapishi. Wanasayansi wanasema nyanya ni tunda. Kwa hapa nchini, nyanya hutumika kwenye...
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
Wafanyabiashara Mwenge walia kituo kuhama
WAFANYABIASHARA wa eneo la Kituo cha Daladala Mwenge, Dar es Salaam, wameilalamikia serikali kwa kuhamisha kituo hicho na kukipeleka Makumbusho kwa kuwa sasa biashara zao zimedorora. Wakizungumza na Tanzania Daima...
9 years ago
Mwananchi25 Dec
Wafanyabiashara K’koo walia, TRA yawajibu