msako wa nondozzzzzzz......
![](http://4.bp.blogspot.com/-SvGPOGkjVvM/Ux320tYI6vI/AAAAAAAFSyI/VWbcBu2I11A/s72-c/00d42b92a98fcd8a6df61e0421989cda.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xaQMj3Ex_5c/Xqcn47UEeVI/AAAAAAALoZY/gsSZ7aN8e2AmqHCwq3AcCjqVxblYOF0GgCLcBGAsYHQ/s72-c/FB_IMG_1588006499134-1.jpg)
MSAKO MKALI WA SUKARI WAANZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-xaQMj3Ex_5c/Xqcn47UEeVI/AAAAAAALoZY/gsSZ7aN8e2AmqHCwq3AcCjqVxblYOF0GgCLcBGAsYHQ/s1600/FB_IMG_1588006499134-1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/FB_IMG_1588006506529.jpg)
**********************************
Na Mwandishi wetu Mihambwe
Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu akiambatana na Kamati ya ulinzi na usalama ya Tarafa wameongoza msako mkali wa kukagua utekelezaji wa bei elekezi ya sukari iliyotolewa na Serikali hivi karibuni.
Gavana Shilatu alipita kwenye maduka ya jumla na ya rejareja kuona namna Wafanyabiashara wanavyouza sukari ambapo kwa bei ya rejareja hawatakiwi kuuza zaidi ya bei ya Tsh. Elfu tatu (3,000/=) kwa kilogram moja na kukuta maduka...
10 years ago
BBCSwahili29 Jan
Malaysia yasitisha msako wa MH370
Serikali ya Malaysia imesitisha shughuli ya kuitafuta ndege iliyopotea ya MH370 na kuitaja kama ajali huku ikisema abiria wote waliangamia
10 years ago
Tanzania Daima06 Sep
Msako wa fisi Geita waanza
IDARA ya Maliasili na Utalii Wilaya za nyang’hwale na Geita kupitia kitengo cha wanyamapori imeanza msako mkali wa kuwaua Fisi ambao siku za hivi karibuni wamegeuka tishio kwa binadamu hususani...
11 years ago
BBCSwahili18 Apr
Msako wa wasichana waendelea Nigeria
Maafisa wa usalama, wawindaji na walinzi wanaendelea kuwatafuta karibu wasichana 100 wa shule waliotekwa nyara kaskazini mashariki mwa Nigeria.
11 years ago
BBCSwahili18 Apr
Msako wa wasichana 100 Nigeria
Vikosi vya usalama katika jimbo la Borno vinawatafuta wasichana wa shule waliotekwa na watu wanaoshukiwa kua wa kundi hilo hilo
11 years ago
BBCSwahili08 Apr
Msako wa wageni Kenya waendelea
Kati ya watu 3000 waliokamatwa katika msako unaoendelea nchini Kenya 69 wamefikishwa mahakamani 450 bado wanachunguzwa.
10 years ago
BBCSwahili19 Dec
Msako kwenye mtandao wa Instagram
Mtandao wa kijamii wa Instagram umefuta mamilioni ya akaunti za watumiaji wa mtandao huo ambazo zilikuwa zikituma ujumbe ovyo ovyo kwa watumiaji wengine wa mtandao huo.
11 years ago
BBCSwahili22 Mar
Malaysia:Msako waingia wiki ya 3
Msako wa ndege ya Malaysia iliyopotea umeingia wiki yake ya tatu bila mafanikio ya kupata kilichosemekana kuwa mabaki ya ndege hiyo
11 years ago
BBCSwahili11 Feb
Msako dhidi ya Mafia wanasa 26
Maafisa wa usalama kutoka Marekani na Italia wamewatia mbaroni watu 26 wanaohusishwa na makundi mawili ya Mafia
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania