Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pinda- Watajeni wanaobeza wabunge

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amemtaka Mbunge wa Jimbo la Nkasi Kusini Deosderius Mipata (CCM) kuwataja viongozi wa Serikali wanaobeza wabunge katika suala zima la utekelezaji wa maendeleo katika maeneo yao.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

‘Watajeni wanaojihusisha na rushwa’

TAASISI ya Kuzuia, Kupambana na Rushwa (Takukuru), imesema katika kumuenzi Mwalimu Julius Nyerere dhidi ya rushwa, Watanzania wanatakiwa kutoa ushirikiano na kuwataja watu wanaojihusisha na vitendo hivyo badala ya kulalamika...

 

11 years ago

Mwananchi

Wabunge wazidi kumwandama Pinda

Mzimu wa kung’olewa unazidi kumwandama Waziri Mkuu, Mizengo Pinda huku Mbunge wa Muhambwe, Felix Mkosamali (NCCR), akitaka Bunge lipige kura ya kutokuwa na imani naye.

 

10 years ago

Habarileo

Wabunge wamkingia kifua Pinda

WABUNGE wamemkingia kifua Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kuhusu ushiriki wake katika sakata la Tegeta Escrow, huku wakitaka kodi ambayo haikulipwa kwa Serikali katika fedha hizo zilipwe.

 

11 years ago

Mwananchi

Pinda, vyama visivyo na wabunge wateta

Waziri Mkuu Mizengo Pinda jana alikutana na wanachama wa vyama vya upinzani visivyo na wabunge kwenye Bunge la Jamhuri ya Muungano na kuwataka kuwa kitu kimoja katika vikao vya Bunge Maalumu la Katiba vinavyoendelea Mjini Dodoma.

 

11 years ago

Mwananchi

Wabunge wa CCM wamgomea Waziri Mkuu Pinda

>Wabunge wa CCM jana mchana walimgomea Mwenyekiti wa Kamati ya Wabunge (Party Cocas) ya chama hicho, Mizengo Pinda na kushinikiza mawaziri watatu ambao wizara zao zimetajwa kushindwa kusimamia vyema Operesheni Tokomeza Ujangili wajiuzulu.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mizengo Pinda aimiza Wabunge kushiriki mazoezi na michezo kulinda afya zao

553

Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akiwapongeza wachezaji wa timu za Bunge la Jamuhuri kwenye tafrija ya kuukaribisha mwaka mpya wa 2015 katika majengo ya Bunge hilo Mjini Dodoma.

Waziri Mkuu wa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Mizengo Peter Pinda aliwapongeza wanamichezo wa Timu za Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuliletea sifa kubwa Bunge hilo kwenye mashindano ya michezo mbali mbali ya Kitaifa na Kimataifa.

Mh. Pinda alitoa pongezi hizo katika Tafrija maalum ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Nchimbi awananga wanaobeza uteuzi wa Ma - DC

Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Dk Rehema Nchimbi amewashukia wanaodai kuwa wakuu wapya wa wilaya walioteuliwa na Rais Jakaya Kikwete hivi karibuni, ni matumizi mabaya ya fedha za Serikali.

 

10 years ago

Mwananchi

Kamani awananga wanaobeza kilimo

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Dk. Titus Kamani amesema sekta ya kilimo na ufugaji iko kwenye wakati mgumu kutokana na wasomi wengi wa sekta hizo kuacha kujishughulisha nazo.

 

11 years ago

Habarileo

Ikulu yawajia juu wanaobeza uteuzi

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue.MJADALA kuhusu uteuzi wa Baraza la Mawaziri jipya lililotangazwa karibuni hauna maana na ni kupoteza muda, imeelezwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani