Wabunge wamkingia kifua Pinda
WABUNGE wamemkingia kifua Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kuhusu ushiriki wake katika sakata la Tegeta Escrow, huku wakitaka kodi ambayo haikulipwa kwa Serikali katika fedha hizo zilipwe.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi23 Dec
Vijana CCM Iringa wamkingia kifua mwenyekiti
10 years ago
Mwananchi09 Feb
Pinda awakingia kifua wanavyuo wasiolipa ada
11 years ago
Habarileo16 May
Pinda- Watajeni wanaobeza wabunge
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amemtaka Mbunge wa Jimbo la Nkasi Kusini Deosderius Mipata (CCM) kuwataja viongozi wa Serikali wanaobeza wabunge katika suala zima la utekelezaji wa maendeleo katika maeneo yao.
11 years ago
Mwananchi11 Dec
Wabunge wazidi kumwandama Pinda
11 years ago
Mwananchi18 Mar
Pinda, vyama visivyo na wabunge wateta
11 years ago
Mwananchi21 Dec
Wabunge wa CCM wamgomea Waziri Mkuu Pinda
10 years ago
Dewji Blog07 Feb
Mizengo Pinda aimiza Wabunge kushiriki mazoezi na michezo kulinda afya zao
Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akiwapongeza wachezaji wa timu za Bunge la Jamuhuri kwenye tafrija ya kuukaribisha mwaka mpya wa 2015 katika majengo ya Bunge hilo Mjini Dodoma.
Waziri Mkuu wa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Mizengo Peter Pinda aliwapongeza wanamichezo wa Timu za Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuliletea sifa kubwa Bunge hilo kwenye mashindano ya michezo mbali mbali ya Kitaifa na Kimataifa.
Mh. Pinda alitoa pongezi hizo katika Tafrija maalum ya...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9l26CrgDE0Q/U26En-q46oI/AAAAAAAFgsk/DjNEY_CI0go/s72-c/IMG_8783.jpg)
11 years ago
GPLYANGA (WABUNGE) WALIVYOISAMBARATISHA SIMBA (WABUNGE) KATIKA TAMASHA LA MATUMAINI 2014