Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vijana CCM Iringa wamkingia kifua mwenyekiti

Vijana wa CCM wanaomuunga mkono mwenyekiti wa Mkoa wa Iringa, Jesca Msambatavangu anayetuhumiwa kukihujumu kwenye Uchaguzi Mkuu, wamemhakikishia ulinzi na kutowatambua wenzao wanaompinga.     

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wabunge wamkingia kifua Pinda

WABUNGE wamemkingia kifua Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kuhusu ushiriki wake katika sakata la Tegeta Escrow, huku wakitaka kodi ambayo haikulipwa kwa Serikali katika fedha hizo zilipwe.

 

10 years ago

Michuzi

VIJANA WA CCM IRINGA WAMPA NGUVU KATIBU WA MKOA HASSAN MTENGA KUKOMBOA JIMBO, LA IRINGA MJINI

Katibu wa CCM Mkoa wa Iringa, Hassan Mtenga katika kikao na baadhi ya vijana hao











KIU ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Manispaa ya Iringa kukomboa jimbo la Iringa Mjini katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu inazidi kuongezeka, baada ya umoja wake wa vijana (UVCCM Manispaa ya Iringa) kuahidi kuongeza nguvu ili kuufanikisha mkakati huo.


CCM ililipoteza jimbo hilo katika Uchaguzi Mkuu wa 2010 kwa Mchungaji Msigwa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) anayekaribia kumaliza muda wake.


Katika...

 

11 years ago

Michuzi

MWENYEKITI WA VIJANA CHADEMA NA VIJANA MIA MOJA KATA YA ORTURUMENTI WILAYA YA ARUMERU WAHAMIA CCM

 picha ikionyesha baadhi ya wanachama wapya waliojiunga na CCM, wakila kiapo, katikati ni aliyekuwa Mwenyekiti  wa Vijana CHADEMA kata ya Orturumenti Thomasi Kivuyo.  Mwenyekiti wa vijana chadema kata ya Orturumenti akiwa anatoa mkono kwa katibu wa siasa uenezi Jonasi Kitoro mara baada ya kukabidhiwa kadi ya ccm

Na Woinde Shizza,Arusha


Jumla ya wananchi 100 wa kata ya Ortumunti  wilayani Arumeru  kutoka katika vyama mbalimbali vya upinzani  wamehamia chama cha Mapinduzi akiwemo...

 

9 years ago

Mwananchi

Mwenyekiti CCM Iringa ‘kikaangoni’

Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Iringa kimepokea majina 102 ya wanachama wake, akiwamo Mwenyekiti wa CCM wa mkoa, Jesca Msambatavangu wanaotuhumiwa kukisaliti wakati wa Uchaguzi Mkuu na kupoteza Jimbo la Iringa Mjini pamoja na Manispaa ya Iringa.

 

9 years ago

StarTV

Kufungiwa Ndani Ya Ofisi Mwenyekiti wa CCM Iringa adai ni chuki binafsi

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Iringa Jesca Msambatavangu amedai kuwa hatua ya viongozi wa chama hicho kufungiwa ndani ya ofisi kwa zaidi ya saa nne iliyofanywa na kundi la Umoja wa Vijana UVCCM ni mbinu chafu zilizopangwa dhidi yake.

Uhai wa makundi ya kura za maoni na chuki binafsi vinatajwa kuwa ndiyo kiini cha maneno, vijembe na kuibuka kwa tukio hilo la kufungiwa ambalo pia limemhusisha mkuu wa mkoa aliyekuwa katika kikao cha kamati ya siasa Mkoa.

Mwenyekiti wa CCM Mkoa...

 

11 years ago

GPL

MAKAMU MWENYEKITI WA CCM BARA MZEE PHILIP MANGULA AWASILI MKOANI IRINGA

Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Mzee Philip Mangula akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Iringa Vijijini Mama Delfina Mtavilalu mara baada ya kuwasili katika ofisi za CCM mkoa wa Iringa ambapo alipokelewa na baadhi ya viongozi wa mkoa huo na kuelekea moja kwa moja ofisini ambapo alifanya mazungumzo mafupi na viongozi hao na baadae akakutana na waandishi wa habari.   Akizungumza na… ...

 

10 years ago

Habarileo

Mwenyekiti Mtopa wa CCM awapa somo vijana

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Lindi Ali Mtopa amewataka vijana wa chama hicho kuwaambia wananchi ukweli kwamba serikali ya chama hicho imeweka mazingira mazuri ya miundombinu ambayo yamewezesha wananchi wa mji wa Lindi kupata huduma za maji na barabara.

 

10 years ago

Vijimambo

MWENYEKITI WA CHADEMA IRINGA MJINI AINGIA MATATANI TENA, AMTUKANA MWENYEKITI WAKE WA MKOA, ASHITAKIWA

Picha ya Maktaba ikumuonesha Frank Nyalusi (mwenye suti nyeupe) ambaye ni Mwenyekiti wa Chadema Iringa Mjini akiwa chini ya ulinzi wa Polisi
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Iringa Mustapher Msowela amemshitaki mwenyekiti wa chama hicho jimbo la Iringa Mjini, Frank Nyalusi ambaye jana jeshi la Polisi lilifanikiwa kumtia nguvuni kabla ya kuachiwa kwa dhamana.Nyalusi aliyeshitakiwa katika kituo cha Polisi cha kati cha mjini Iringa jana, anatuhumiwa kumtusi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani