Kufungiwa Ndani Ya Ofisi Mwenyekiti wa CCM Iringa adai ni chuki binafsi
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Iringa Jesca Msambatavangu amedai kuwa hatua ya viongozi wa chama hicho kufungiwa ndani ya ofisi kwa zaidi ya saa nne iliyofanywa na kundi la Umoja wa Vijana UVCCM ni mbinu chafu zilizopangwa dhidi yake.
Uhai wa makundi ya kura za maoni na chuki binafsi vinatajwa kuwa ndiyo kiini cha maneno, vijembe na kuibuka kwa tukio hilo la kufungiwa ambalo pia limemhusisha mkuu wa mkoa aliyekuwa katika kikao cha kamati ya siasa Mkoa.
Mwenyekiti wa CCM Mkoa...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi20 Jan
Chuki zaanza ndani ya CCM, Sinyanga, Monduli, Mgeja, Lowasa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-el4kpUinAZ0/XlkRfKtsE3I/AAAAAAALf1E/6gUEb4eyLmY6RQ9DC7u8XKdxgcomCS8vwCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
MWENYEKITI WA CCM RAIS DKT MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM OFISI NDOGO YA CCM MTAA WA LUMUMBA JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-el4kpUinAZ0/XlkRfKtsE3I/AAAAAAALf1E/6gUEb4eyLmY6RQ9DC7u8XKdxgcomCS8vwCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-gat0M-ZcteU/XlkRftkbMRI/AAAAAAALf1I/gpmSwKe5EjoqknzE3_Vaf-54KozZL6UcQCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Xqq1BMIyUYM/XkjU_abYF8I/AAAAAAACHsg/D2e1hA15jekrx7Gnq7PAgj2yW504fGiUACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200216_080217_565.jpg)
MAKAMU MWENYEKITI WA CCM TANZANIA BARA AZINDUA OFISI YA CCM MKOA WA GEITA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Xqq1BMIyUYM/XkjU_abYF8I/AAAAAAACHsg/D2e1hA15jekrx7Gnq7PAgj2yW504fGiUACLcBGAsYHQ/s320/IMG_20200216_080217_565.jpg)
15.02.2020
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Ndugu Philip Japhet Mangula amezindua jengo la ofisi ya CCM Mkoani Geita ambalo ni limejengwa na viongozi wa Chama na Serikali, Wanachama wa CCM pamoja na wadau mbalimbali Mkoani hapo.
Aidha, Ndugu Mangula akiwahutubia wana CCM hao...
9 years ago
Mwananchi25 Dec
Mwenyekiti CCM Iringa ‘kikaangoni’
9 years ago
Mwananchi23 Dec
Vijana CCM Iringa wamkingia kifua mwenyekiti
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/03/11.jpg)
MAKAMU MWENYEKITI WA CCM BARA MZEE PHILIP MANGULA AWASILI MKOANI IRINGA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-QTUl34bu7oQ/VSfNq30WvrI/AAAAAAAHQHE/FgJHCcFrMro/s72-c/unnamed%2B(80).jpg)
Ofisi za Taasisi za Serikali kufungiwa LUKU
Waziri wa Nishati na Madini George Simbachawene amesema kuwa Shirika la Umeme Nchini (Tanesco) lina mpango wa kufunga mita za LUKU katika ofisi za taasisi zote za serikali kama moja ya mikakati yake katika ukusanyaji wa mapato.
Simbachawene aliyasema hayo wakati wa kikao chake na Balozi wa Marekani Nchini, Mark Childress aliyemtembelea ofisini kwake lengo likiwa ni kujadili hatua iliyofikiwa ya utekelezaji wa mpango wa kuboresha sekta ndogo ya umeme na...
10 years ago
Vijimambo31 Dec
REGINALD MENGI HUTUMIA KISINGIZIO CHA UTETEZI WA WANYONGE KUZIFANYA CHUKI ZAKE BINAFSI ZIWE NI UGOMVI WA KITAIFA
![](http://www.bongocelebrity.com/wp-content/uploads/2013/09/MenginaMuhongo.jpg.jpg)
10 years ago
VijimamboMWENYEKITI WA CHADEMA IRINGA MJINI AINGIA MATATANI TENA, AMTUKANA MWENYEKITI WAKE WA MKOA, ASHITAKIWA
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Iringa Mustapher Msowela amemshitaki mwenyekiti wa chama hicho jimbo la Iringa Mjini, Frank Nyalusi ambaye jana jeshi la Polisi lilifanikiwa kumtia nguvuni kabla ya kuachiwa kwa dhamana.Nyalusi aliyeshitakiwa katika kituo cha Polisi cha kati cha mjini Iringa jana, anatuhumiwa kumtusi...