Pinda awakingia kifua wanavyuo wasiolipa ada
>Serikali imeviagiza vyuo vya elimu ya juu nchini kutowazuia wanafunzi wake kufanya mitihani hata kama hawajalipia ada, badala yake washikilie vyeti vyao hadi pale watakapolipa fedha wanazodaiwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo22 Mar
Wasiolipa ada za ardhi kukiona
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Makazi, William Lukuvi, ameagiza halmashauri zote nchini kutoa notisi ya kufuta hati za wamiliki wote wasiolipa ada za ardhi kwenye maeneo yenye migogoro ya ardhi ambayo haiendelezwi kisheria.
10 years ago
Mwananchi28 Apr
Waziri wa Mkapa awakingia kifua wagombea urais
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx*jgfb9S4pHFANVh04RKyU1aOPpeCOKMmX0wn2oJV0H2I1sTfcX1et4XffvbGXMEBFXa9Zjf4VFENGuTRoxy8OV/3.Mtemvuakishangaa.jpg)
MTEMVU AWAKINGIA KIFUA MAMALISHE DHIDI YA BOMOABOMOA TEMEKE
11 years ago
Dewji Blog22 Jun
Mtevu awakingia kifua mamalishe dhidi ya bomoabomoa Temeke
Mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu (kulia) akitazama hali ilivyobaki baada ya bomoabomoa iliyofanywa na Jiji kwenye vibanda vya mamalishe katika mtaa wa Mbozi, Temeke.
Na Mwandishi Wetu
BOMOA Boboa ya vibanda vya mamalishe katika eneo la Viwanda la Mbozi, Temeke Dar es Salaam, limezua mtafaruku kufuatia mbunge wa jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu kuwakingia kifua mamalishe hao.
Pamoja na kuahidi kuchukua hatua ya kupambana kisheria na Halmashuri ya Jiji la Dar es Salaam, inayoendesha bomoa boboa...
10 years ago
Habarileo28 Nov
Wabunge wamkingia kifua Pinda
WABUNGE wamemkingia kifua Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kuhusu ushiriki wake katika sakata la Tegeta Escrow, huku wakitaka kodi ambayo haikulipwa kwa Serikali katika fedha hizo zilipwe.
10 years ago
Habarileo17 Sep
Bilal ataka wasiolipa kodi wadhibitiwe
MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal ameagiza wataalamu wa masuala ya kodi kujizatiti katika kupambana na watu wachache wasiolipa kodi.
11 years ago
Habarileo09 Jun
Ataka wanavyuo kuiamini CCM
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewahakikishia wanavyuo kwamba changamoto zote wanazokabiliana nazo ikiwamo suala la mikopo pamoja na mazingira yasiyo rafiki kwao, vitaendelea kufanyiwa ufumbuzi na serikali.
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
SBL kufadhili wanavyuo kwa 100%
KAMPUNI ya Bia ya Serengeti (SBL), kupitia mradi wa EABL Foundation, mwaka huu tena imetoa ufadhili wa masomo ya chuo kikuu kwa kugharamia kwa asilimia 100 ikiwemo karo, malazi na...
11 years ago
Habarileo22 Apr
Wanavyuo wawasihi Ukawa kurejea bungeni
WANAFUNZI kutoka vyuo 10 vya elimu ya juu nchini, wamewasihi wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kurejea ndani ya Bunge Maalumu la Katiba kuendelea na majadiliano.