Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pinda awakingia kifua wanavyuo wasiolipa ada

>Serikali imeviagiza vyuo vya elimu ya juu nchini kutowazuia wanafunzi wake kufanya mitihani hata kama hawajalipia ada, badala yake washikilie vyeti vyao hadi pale watakapolipa fedha wanazodaiwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wasiolipa ada za ardhi kukiona

Waziri wa wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William LukuviWAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Makazi, William Lukuvi, ameagiza halmashauri zote nchini kutoa notisi ya kufuta hati za wamiliki wote wasiolipa ada za ardhi kwenye maeneo yenye migogoro ya ardhi ambayo haiendelezwi kisheria.

 

10 years ago

Mwananchi

Waziri wa Mkapa awakingia kifua wagombea urais

Mwanasiasa na mkongwe aliyewahi kuwa waziri katika Awamu ya Tatu chini ya Rais Benjamin Mkapa, Njelu Kasaka amekishauri chama chake cha CCM kuwaruhusu wanachama wanaotaka kuwania urais kujitangaza.

 

11 years ago

GPL

MTEMVU AWAKINGIA KIFUA MAMALISHE DHIDI YA BOMOABOMOA TEMEKE

Mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu (kulia) akitazama hali ilivyobaki baada ya bomoabomoa iliyofanywa na jiji kwenye vibanda vya mamalishe katika mtaa wa Mbozi, Temeke. Mmoja wa Mamalishe eneo la Mtaa wa Viwanda la Mbozi, Temeke Dar es Salaam, Amina Saidi (kushoto) akilalamika mbele ya Mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu, mbunge huyo alipotembelea eneo la tukio kuona hali halisi… ...

 

11 years ago

Dewji Blog

Mtevu awakingia kifua mamalishe dhidi ya bomoabomoa Temeke

3. Mtemvu akishangaa

Mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu (kulia) akitazama hali ilivyobaki baada ya bomoabomoa iliyofanywa na Jiji kwenye vibanda vya mamalishe katika mtaa wa Mbozi, Temeke.

Na Mwandishi Wetu

BOMOA Boboa ya vibanda vya mamalishe katika eneo la Viwanda la Mbozi, Temeke Dar es Salaam, limezua mtafaruku kufuatia mbunge wa jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu kuwakingia kifua mamalishe hao.

Pamoja na kuahidi kuchukua hatua ya kupambana kisheria na Halmashuri ya Jiji la Dar es Salaam, inayoendesha bomoa boboa...

 

10 years ago

Habarileo

Wabunge wamkingia kifua Pinda

WABUNGE wamemkingia kifua Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kuhusu ushiriki wake katika sakata la Tegeta Escrow, huku wakitaka kodi ambayo haikulipwa kwa Serikali katika fedha hizo zilipwe.

 

10 years ago

Habarileo

Bilal ataka wasiolipa kodi wadhibitiwe

MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal ameagiza wataalamu wa masuala ya kodi kujizatiti katika kupambana na watu wachache wasiolipa kodi.

 

11 years ago

Habarileo

Ataka wanavyuo kuiamini CCM

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewahakikishia wanavyuo kwamba changamoto zote wanazokabiliana nazo ikiwamo suala la mikopo pamoja na mazingira yasiyo rafiki kwao, vitaendelea kufanyiwa ufumbuzi na serikali.

 

10 years ago

Tanzania Daima

SBL kufadhili wanavyuo kwa 100%

KAMPUNI ya Bia ya Serengeti (SBL), kupitia mradi wa EABL Foundation, mwaka huu tena imetoa ufadhili wa masomo ya chuo kikuu kwa kugharamia kwa asilimia 100 ikiwemo karo, malazi na...

 

11 years ago

Habarileo

Wanavyuo wawasihi Ukawa kurejea bungeni

Freeman MboweWANAFUNZI kutoka vyuo 10 vya elimu ya juu nchini, wamewasihi wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kurejea ndani ya Bunge Maalumu la Katiba kuendelea na majadiliano.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani