MTEMVU AWAKINGIA KIFUA MAMALISHE DHIDI YA BOMOABOMOA TEMEKE
![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx*jgfb9S4pHFANVh04RKyU1aOPpeCOKMmX0wn2oJV0H2I1sTfcX1et4XffvbGXMEBFXa9Zjf4VFENGuTRoxy8OV/3.Mtemvuakishangaa.jpg)
Mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu (kulia) akitazama hali ilivyobaki baada ya bomoabomoa iliyofanywa na jiji kwenye vibanda vya mamalishe katika mtaa wa Mbozi, Temeke. Mmoja wa Mamalishe eneo la Mtaa wa Viwanda la Mbozi, Temeke Dar es Salaam, Amina Saidi (kushoto) akilalamika mbele ya Mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu, mbunge huyo alipotembelea eneo la tukio kuona hali halisi… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog22 Jun
Mtevu awakingia kifua mamalishe dhidi ya bomoabomoa Temeke
Mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu (kulia) akitazama hali ilivyobaki baada ya bomoabomoa iliyofanywa na Jiji kwenye vibanda vya mamalishe katika mtaa wa Mbozi, Temeke.
Na Mwandishi Wetu
BOMOA Boboa ya vibanda vya mamalishe katika eneo la Viwanda la Mbozi, Temeke Dar es Salaam, limezua mtafaruku kufuatia mbunge wa jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu kuwakingia kifua mamalishe hao.
Pamoja na kuahidi kuchukua hatua ya kupambana kisheria na Halmashuri ya Jiji la Dar es Salaam, inayoendesha bomoa boboa...
10 years ago
Mwananchi28 Apr
Waziri wa Mkapa awakingia kifua wagombea urais
10 years ago
Mwananchi09 Feb
Pinda awakingia kifua wanavyuo wasiolipa ada
9 years ago
Habarileo22 Nov
Mtemvu apinga matokeo Temeke
ALIYEKUWA mgombea ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu amefungua kesi ya uchaguzi namba 2 ya mwaka huu katika Mahakama Kuu kanda ya Dar es Salaam akipinga matokeo ya ubunge katika jimbo hilo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/k597Gy8eW*Uj7aeolEUbTMgkO5c7*tcWqeEjO2VZLm9JBx0CtXiQynX6ejgRPz69lUFlQyUFU0MOwBL*NXSw8j*j58wpmal0/MMGM3002.jpg?width=650)
SITTI MTEMVU MISS TEMEKE 2014
10 years ago
MichuziMTEMVU ATEMBELEA WAATHIRIKA WA MVUA TEMEKE