Mtemvu apinga matokeo Temeke
ALIYEKUWA mgombea ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu amefungua kesi ya uchaguzi namba 2 ya mwaka huu katika Mahakama Kuu kanda ya Dar es Salaam akipinga matokeo ya ubunge katika jimbo hilo.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziMTEMVU AFUNGUA KESI YA KUPINGA MATOKEO YA UCHAGUZI JIMBO LA TEMEKE
9 years ago
MichuziKesi ya kupinga matokeo ya ubunge iliyowailishwa na aliyekuwa Mbunge wa Temeke Abbas Mtemvu yaanza
9 years ago
BBCSwahili28 Oct
Lowassa apinga matokeo ya uchaguzi TZ
Mgombea wa urais kupitia tiketi ya CHADEMA Edward Lowassa amesema kuwa hatokubali matokeo ya uchaguzi wa urais yanayoendelea kutolewa na tume ya uchaguzi nchini Tanzania NEC.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/k597Gy8eW*Uj7aeolEUbTMgkO5c7*tcWqeEjO2VZLm9JBx0CtXiQynX6ejgRPz69lUFlQyUFU0MOwBL*NXSw8j*j58wpmal0/MMGM3002.jpg?width=650)
SITTI MTEMVU MISS TEMEKE 2014
Mshindi wa taji la Miss Temeke 2014, Sitti Mtemvu akipungia mkono mara tu baada ya kutangazwa rasmi kuwa ndie aliestahili kupata taji hilo katika shindano lililomalizika usiku wa kuamkia leo kwenye Ukumbi wa TCC Club, Chang'ombe jijini Dar es salaam.Kushoto ni Mshindi wa pili,Salama Saleh na kulia ni Mshindi wa tatu,Neema Mollely. Miss Temeke 2014,Sitti Mtemvu akiwa ni mwenye tabasamu zito mara baada ya kutwaa taji… ...
10 years ago
MichuziMTEMVU ATEMBELEA WAATHIRIKA WA MVUA TEMEKE
11 years ago
Michuzi09 Feb
MTEMVU ANOGESHA MASHINDANO YA SOKA SERIKALI ZA MITAA TEMEKE
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania