Bilal ataka wasiolipa kodi wadhibitiwe
MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal ameagiza wataalamu wa masuala ya kodi kujizatiti katika kupambana na watu wachache wasiolipa kodi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Mkurugenzi ataka ‘chomachoma’ wadhibitiwe
MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi mkoani Mtwara, Beatrice Dominic, amewataka Watendaji wa Kata na Vijiji kuwakamata wafanyabiashara wanaonunua korosho kinyume na utaratibu husika wa stakabadhi ghalani kwa...
10 years ago
Tanzania Daima30 Oct
DC Msambya ataka wataalamu wa kodi mgodini
MKUU wa Wilaya ya Ikungi mkoani Singida, Manju Msambya, ameiagiza Halmashauri ya Wilaya hiyo kupeleka wataalamu wa kodi na kuweka viwango vya ushuru katika mgodi wa machimbo ya dhahabu ya...
11 years ago
Mwananchi17 Jul
Tenga ataka viwango bora vya kodi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-R3reRAxCIxE/XsE5Wl_Q5fI/AAAAAAALqjs/g-HnTZwLydsn-yCvACUcAGOBZFuzYSX7wCLcBGAsYHQ/s72-c/4-1-2-768x494.jpg)
NAIBU WAZIRI MABULA ATAKA WADAIWA SUGU KODI YA ARDHI KUBANWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-R3reRAxCIxE/XsE5Wl_Q5fI/AAAAAAALqjs/g-HnTZwLydsn-yCvACUcAGOBZFuzYSX7wCLcBGAsYHQ/s640/4-1-2-768x494.jpg)
Naibu Waziri wa Adhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akimsikiliza Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka mkoa wa Iringa (IRUWASA) Gilbert Kayange baada ya kumpatia taarifa inayoonesha kiasi cha kodi ya pango la ardhi inachodaiwa Mamlaka hiyo wakati wa zoezi lake la kuwafikia wadaiwa sugu wa kodi ya ardhi katika mkoa wa Iringa tarehe 16 Mei 2020. (PICHA ZOTE NA WIZARA YA ARDHI)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/3-7.jpg)
Naibu Waziri wa Adhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akimkabidhi...
10 years ago
Habarileo18 Sep
Bilal ataka waandishi kuwa makini
MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal ameitaka vyombo vya habari kujiuliza mambo wanayoweza kuyaweka hadharani kwa kuyaandika au kuyatangaza na yanayofaa kuhifadhiwa kwa sasa nchi inapoelekea katika kipindi cha Uchaguzi Mkuu.
11 years ago
Habarileo09 Jun
Dk Bilal ataka sheria kufuatwa mipango miji
MAKAMU wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal, ametaka sheria zifuatwe katika upangaji wa miji na majiji nchini.
5 years ago
MichuziMABULA ATAKA MALIPO YA KODI YA PANGO LA ARDHI KWA MITANDAO YA SIMU KUEPUKA CORONA
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amewataka wamiliki wa ardhi wanaotaka kilipia kodi ya pango la ardhi kufanya hivyo kupitia mitandao ya simu za viganjani ili kuepuka misongamano inayoweza kuchangia maambukizi ya virusi vya Corona.
Dkt Mabula alitoa tahadhari hiyo juzi wilayani Bariadi mkoani Simiyu alipozungumza na Wakurugenzi na Watendaji wa sekta ya ardhi katika halmashauri za mkoa wa Simiyu akiwa katika ziara ya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-rycGlnSqnHA/VBgaqUi6k9I/AAAAAAAGj5M/OvkGi1coThc/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA TATU WA AFRIKA KUHUSU MASUALA YA USIMAMIZI WA KODI
![](http://1.bp.blogspot.com/-rycGlnSqnHA/VBgaqUi6k9I/AAAAAAAGj5M/OvkGi1coThc/s1600/01.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi mkutano mkuu wa tatu wa Afrika kuhusu masuala ya usimamizi wakodi uliofanyika kwenye Hoteli ya Double Tree, jijini Dar es Salaam, leo Septemba 16, 2014.
![](http://4.bp.blogspot.com/-9qUBVDltHDU/VBgaswVLgCI/AAAAAAAGj5s/KuvIm9EaP3s/s1600/3.jpg)
10 years ago
Habarileo07 Feb
Bilal ataka viongozi wa dini kuombea taifa amani
MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Bilal amewataka viongozi na waumini wa dini zote nchini, kuombea taifa ili Uchaguzi Mkuu na kura ya maoni kwa ajili ya Kkatiba Inayopendekezwa zimalizike kwa amani na utulivu.