Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tenga ataka viwango bora vya kodi

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirikisho la Viwanda Tanzania (CTI), Leodegar Tenga ameitaka Serikali kupanga viwango vya kodi kwenye bidhaa vitakavyoweka mazingira bora ya kuendesha viwanda nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wakwepa kodi walalamikia uwingi na viwango

BAADHI ya wafanyabiashara wanaokwepa kulipa kodi, wamedai moja ya sababu inayofanya wao kushindwa kutimiza wajibu wao, ni uwepo wa viwango vya juu vya malipo ambavyo pia ni vingi.

 

10 years ago

Michuzi

CHAMA cha Waandishi wa Habari za Kodi Tanzania (TAWNET) umeipongeza kampuni ya mawasiliano ya Vodacom kuwa walipa kodi bora wakubwa

CHAMA cha Waandishi wa Habari za Kodi Tanzania (TAWNET) umeipongeza kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania kwa kuwa moja kati ya walipa kodi bora wakubwa wa pili kwa mwaka 2014.
Sambamba na kampuni ya Vodacom, TAWNET pia imeipongeza kampuni ya bia Tanzania (TBL) na Kampuni ya Sigara Tanzania (TCC) kuweza kushika nafasi katika makampuni matatu bora. Mwaka huu, mchango wa Vodacom katika pato la taifa umeongezeka na kuisukuma kampuni hiyo katika nafasi ya pili kutoka ya tatu waliyoshika...

 

10 years ago

Habarileo

DC ataka maabara zijengwe kwa viwango

MKUU wa Wilaya ya Gairo mkoani Morogoro, Khanifa Karamagi amewataka wanaohusika na ujenzi wa vyumba vya maabara kujenga kwa kuzingatia viwango na ubora, ikiwa ni pamoja na kuwatumia wataalamu wa ujenzi ili michango ya wananchi itumike ipasavyo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Viwango vya juu vya joto vitakumba Dunia

Miaka miwili inayokuja itakuwa na joto la juu zaidi kwa mujibu wa idara ya utabiri wa hali ya hewa nchini Uingereza

 

10 years ago

Tanzania Daima

DC Msambya ataka wataalamu wa kodi mgodini

MKUU wa Wilaya ya Ikungi mkoani Singida, Manju Msambya, ameiagiza Halmashauri ya Wilaya hiyo kupeleka wataalamu wa kodi na kuweka viwango vya ushuru katika mgodi wa machimbo ya dhahabu ya...

 

10 years ago

Habarileo

Bilal ataka wasiolipa kodi wadhibitiwe

MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal ameagiza wataalamu wa masuala ya kodi kujizatiti katika kupambana na watu wachache wasiolipa kodi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je ni kwanini inakua vigumu kulinganisha viwango vya corona kimataifa?

Je unapaswa kuwa unalinganisha takwimu za Covid-19 kati ya nchi mbali mbali?

 

10 years ago

Michuzi

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani