Dk Nchimbi awananga makada waliohama CCM
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Dk Emmanuel Nchimbi amewafananisha viongozi waliokihama chama hicho na kujiunga na upinzani kuwa ni sawa na wachezaji mpira wa miguu waliochoka ambao hawawezi kuleta ushindi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi14 Oct
Dk Nchimbi awananga wanaobeza uteuzi wa Ma - DC
9 years ago
Habarileo14 Oct
Mzindakaya: waliohama CCM wapuuzwe
MWANASIASA mkongwe nchini, Chrisant Mzindakaya amewataka viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wagombea wao wa nafasi mbalimbali, wasigombane na waliohama chama hicho kwa kusisitiza kwamba wakifanya hivyo, watakuwa wanakosea.
11 years ago
Habarileo28 Feb
Madiwani waliohama Chadema waingia CCM
MADIWANI waliojiuzulu na kuamua kuondoka katika Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambao ni Sebastiani Peter na Zacharia Mfuko wamejiunga rasmi na Chama Cha Mapinduzi (CCM) mbele ya Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye na uongozi wa mkoa wa chama hicho.
10 years ago
Mwananchi21 Jun
Jaji Warioba awananga wagombea urais CCM
10 years ago
Mwananchi28 Feb
Makada CCM wamvaa JK
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
CCM yawasulubu makada wake
KAMATI ya Maadili ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imewasulubu makada wake watatu miongoni mwa sita ambao wanatuhumiwa kwenda kinyume cha maadili ya chama hicho tawala. Makada hao ambao baadhi yao...
10 years ago
Mwananchi19 Jan
CCM kuwabana makada escrow
11 years ago
Tanzania Daima16 Jul
Makada CCM waonya kubebana
BAADHI ya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamesema watamkataa mgombea yeyote wa urais atakayebebwa au kupata upendeleo wa baadhi ya vigogo au kundi lolote kwa maslahi binafsi. Wakizungumza na...
10 years ago
Mtanzania25 Aug
Makada CCM wamgwaya Pinda
![Waziri Mkuu Mizengo Pinda](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Waziri-Mkuu-Mizengo-Pinda.jpg)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
SIKU moja baada ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda kutangaza nia ya kujitosa kuwani urais katika Uchaguzi Mkuu 2015, baadhi ya wanachama wa CCM na wasomi wamekuwa na maoni tofauti.
Hali hiyo imekuwa tofauti ambapo Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Philip Mangula, alishindwa kueleza kwa undani kauli hiyo ya Pinda huku akisema hawezi kuzungumza jambo lolote kwa sasa hadi pale atakapomaliza vikao vya chama.
Akizungumza na MTANZANIA jana kwa njia...