Mzindakaya: waliohama CCM wapuuzwe
MWANASIASA mkongwe nchini, Chrisant Mzindakaya amewataka viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wagombea wao wa nafasi mbalimbali, wasigombane na waliohama chama hicho kwa kusisitiza kwamba wakifanya hivyo, watakuwa wanakosea.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi11 Oct
Dk Nchimbi awananga makada waliohama CCM
11 years ago
Habarileo28 Feb
Madiwani waliohama Chadema waingia CCM
MADIWANI waliojiuzulu na kuamua kuondoka katika Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambao ni Sebastiani Peter na Zacharia Mfuko wamejiunga rasmi na Chama Cha Mapinduzi (CCM) mbele ya Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye na uongozi wa mkoa wa chama hicho.
9 years ago
Daily News26 Aug
Mzindakaya ridicules CCM defectors
Daily News
VETERAN politician Dr Chrisant Mzindakaya has declared that he would never quit the ruling Chama Cha Mapinduzi “because it will be a great humiliation to me” as an elderly man. He said in an interview here that it is “bad for aged people to lick their ...
9 years ago
Habarileo25 Aug
Mzindakaya asema kuhama CCM ni fedheha
MWANASIASA mkongwe nchini, Dk Chrisant Mzindakaya amesema kuwa kwake ni fedheha kubwa kukihama Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwani itakuwa sawa na kulamba matapishi yake mwenyewe.
9 years ago
Habarileo23 Sep
‘Wapotoshaji sheria ya mtandao wapuuzwe’
WATANZANIA wametakiwa kuwapuuza wanaopotosha kuhusu sheria mpya ya mtandao wakidanganya kuwa inawabana wasio na hatia kwa kuunganisha kwenye kosa wapokeaji wa ujumbe au picha za mtandao zisizostahili.
10 years ago
Habarileo17 Oct
UVCCM wataka Maalim Seif na wenzake wapuuzwe
JUMUIYA ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) amewataka wananchi kupuuza na kutowasikiliza wanasiasa wapotoshaji wa mambo akiwemo Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad, badala yake waisome kwa utulivu, umakini na kuzingatia Katiba Inayopendekezwa.
10 years ago
Habarileo19 Aug
Mjumbe Bunge Maalum ataka Ukawa wapuuzwe
WATANZANIA wametakiwa kuwapuuza Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kwa maelezo kuwa Bunge Maalumu la Katiba likivunjwa na kurejea tena siku zijazo kundi hilo litatoka tena bungeni.
11 years ago
Government Union Structure10 Feb
Mzindakaya Faults Three
AllAfrica.com
THE three-government union proposed in the second draft of the new constitution will not only lead to the total collapse of the union that gave birth to Tanzania but also result in serious confusion in administrative hierarchy. Mr Chrisant Mzindakaya, who was ...
9 years ago
Habarileo04 Nov
Mzindakaya alonga
MWANASIASA mkongwe nchini, Dk Chrisant Mzindakaya amesema wakati umefika wananchi kufurahia Tanzania mpya isiyo na rushwa wala umasikini chini ya uongozi wa Rais John Magufuli.