Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mzindakaya: waliohama CCM wapuuzwe

MWANASIASA mkongwe nchini, Chrisant Mzindakaya amewataka viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wagombea wao wa nafasi mbalimbali, wasigombane na waliohama chama hicho kwa kusisitiza kwamba wakifanya hivyo, watakuwa wanakosea.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Dk Nchimbi awananga makada waliohama CCM

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Dk Emmanuel Nchimbi amewafananisha viongozi waliokihama chama hicho na kujiunga na upinzani kuwa ni sawa na wachezaji mpira wa miguu waliochoka ambao hawawezi kuleta ushindi.

 

11 years ago

Habarileo

Madiwani waliohama Chadema waingia CCM

MADIWANI waliojiuzulu na kuamua kuondoka katika Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambao ni Sebastiani Peter na Zacharia Mfuko wamejiunga rasmi na Chama Cha Mapinduzi (CCM) mbele ya Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye na uongozi wa mkoa wa chama hicho.

 

9 years ago

Daily News

Mzindakaya ridicules CCM defectors


Mzindakaya ridicules CCM defectors
Daily News
VETERAN politician Dr Chrisant Mzindakaya has declared that he would never quit the ruling Chama Cha Mapinduzi “because it will be a great humiliation to me” as an elderly man. He said in an interview here that it is “bad for aged people to lick their ...

 

9 years ago

Habarileo

Mzindakaya asema kuhama CCM ni fedheha

MWANASIASA mkongwe nchini, Dk Chrisant Mzindakaya amesema kuwa kwake ni fedheha kubwa kukihama Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwani itakuwa sawa na kulamba matapishi yake mwenyewe.

 

9 years ago

Habarileo

‘Wapotoshaji sheria ya mtandao wapuuzwe’

WATANZANIA wametakiwa kuwapuuza wanaopotosha kuhusu sheria mpya ya mtandao wakidanganya kuwa inawabana wasio na hatia kwa kuunganisha kwenye kosa wapokeaji wa ujumbe au picha za mtandao zisizostahili.

 

10 years ago

Habarileo

UVCCM wataka Maalim Seif na wenzake wapuuzwe

JUMUIYA ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) amewataka wananchi kupuuza na kutowasikiliza wanasiasa wapotoshaji wa mambo akiwemo Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad, badala yake waisome kwa utulivu, umakini na kuzingatia Katiba Inayopendekezwa.

 

10 years ago

Habarileo

Mjumbe Bunge Maalum ataka Ukawa wapuuzwe

WATANZANIA wametakiwa kuwapuuza Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kwa maelezo kuwa Bunge Maalumu la Katiba likivunjwa na kurejea tena siku zijazo kundi hilo litatoka tena bungeni.

 

11 years ago

Government Union Structure

Mzindakaya Faults Three


Mzindakaya Faults Three-Government Union Structure
AllAfrica.com
THE three-government union proposed in the second draft of the new constitution will not only lead to the total collapse of the union that gave birth to Tanzania but also result in serious confusion in administrative hierarchy. Mr Chrisant Mzindakaya, who was ...

 

9 years ago

Habarileo

Mzindakaya alonga

MWANASIASA mkongwe nchini, Dk Chrisant Mzindakaya amesema wakati umefika wananchi kufurahia Tanzania mpya isiyo na rushwa wala umasikini chini ya uongozi wa Rais John Magufuli.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani